kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,323
- 12,594
Utumbo gani alikata? Ama Kweli nipo nyuma ya calendar [emoji1001]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utumbo gani alikata? Ama Kweli nipo nyuma ya calendar [emoji1001]
Umenikumbusha jana nilikuwa namsikia Sophie Umelowa wa Harmonize, anasema "mimi ni children" yaani 'young' na Kajala ni mtu mzima.Unadhani ata English najua mkuu basi tu kuiga
Huyo jamaa ana mawazo ya kimasikini.Kwa hio zizuiliwe kwa sababu wewe mchana hujala? Kwani Kuna mtu kadhulumiwa
Elimu ni kitu muhimu sana, pesa za kiujanja ujanja kama hizi huwa hazikai bank Bali unaziweka kwenye asset kama real estate, bank unakaa na pesa ambayo maelezo yake yamenyooka.Nami nilishangaa. Mfanyabiashara/mtu binafsi ana-deposit 18mil usd!! Na kwa biashara ipi Mtu ana-risk kukulipa cash!! Kama ni kweli hata benki wana makosa makubwa
Why nikutajie wakati nishamwaga mboga kuhusu bank details zake itakua kumuexpose kitu ambacho si maadili japo bank sipo kitambo.Hizo Lori zimesajiliwa kwa jina gani au nitajie plate no moja nitampa mtu wa TRA atanipa jina la mmiliki Kisha tutaangalia hizo Lori zilizo kwa jina lake zipo ngapi😁 maisha Ni rahisi kwa sasa
Hata ukiamua kunitukana haikuongezei kitu. Kama we ni mdada usidhani wote humu ni wadada wenzio jaribu kuwa na heshima hata kama huna hoja.Wewe na mpunga nachagua mpunga
Yes mpunga namaanisha ule tunaolima
Nimekwambia hakuna gari inayosubiriwa kuuzwa ikalipe deni zote hazidaiwi wat if nikiamua ziuza zote bila kuongeza mzigo Ni sh ngapi ? Kwa akili yako unahisi Nina show room tu mbili Sina biashara zingine?
Haya Nina mashimo mawili geita yalikuwa ya mzee after his death yalishakuwa yangu ..naona tuishie hapo siwezi bishana na wadada wa bank huwa nawachukulia Kama huduma kwa wateja tu
Hata Mimi ni mwaminifu sana sekta zote ila usiangalie mtu kwa nje Iman ipo ndani.Tafiti zinaonesha wenzetu waislam waioshika dini kweli walio wengi ni waaminifu sana ukilinganisha na idadi ya waaminifu kwa upande wa pili. uaminifu kuanzia kwenye mahusiano, Biashara, kazi etc. Sio watu wa tamaa za kijinga!!!
Sasa wema kwa wanaume wote hawa angechanganyaa je? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] asingekua na Pa kuegemea jaman? LolAcha bana wabongo wanahonga hela ya nauli tu kwenda kuchakatwa na kurudi kwenu labda kwa mbaali na sabuni za kuogea hapo utajiri anapataje
Mbona huulizii why mie ama wewe hatunazo hizo lakini. Kwa Nini unafuatilia utajili wa mtu na sio umasikini wa watu ili ujue chanzo zao wanyanyuke kimaisha watoke kwenye Lindi la umasikini lakini.kazipataje bilioni 57?
Kapata wapi mbona huulizii watu wamepata wapi umasikini Ila mkuu umefanya mpaka nimeogopa ama nikuigope. Yaani shida yako hata Nini. Hizi sio hela nyingi Ni za kawaida ukiweka katika dola Ni kitu Kama dola 25Milioni so ni hela ya kawaida nje sema hapa bongo kwa wamasikini wengi ukiwa hata na dola 10k unavimba kumbe wenzako Ni hela ya kuhonga Tena one night stand.kikubwa namna hii Cha pesa kapata wapi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa ule wembamba wa nn? Alikata utumbo ili awe model. UwiiiihUtumbo gani alikata? Ama Kweli nipo nyuma ya calendar [emoji1001]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaahUmenikumbusha jana nilikuwa namsikia Sophie Umelowa wa Harmonize, anasema "mimi ni children" yaani 'young' na Kajala ni mtu mzima.
Mkuu kwa niaba ya wezangu, naomba utueleweshe Kuna hasara gani katika kuweka mpunga mrefu bank,Why nikutajie wakati nishamwaga mboga kuhusu bank details zake itakua kumuexpose kitu ambacho si maadili japo bank sipo kitambo.
Hata ukiamua kunitukana haikuongezei kitu. Kama we ni mdada usidhani wote humu ni wadada wenzio jaribu kuwa na heshima hata kama huna hoja.
Ndiyoooo....Yaani me ndo nimebaki kutoa macho hapa, jamani huyu mbona ana skendo za utapeli mdaaaa, huyo wema mwenyewe alimtapeli huko burundi, gigy money nae alishaachwa kwenye mataa huko kenya.
Nimeshangaa sana kusikia ana b 57 [emoji44] mweeh!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ana tapeli had wadada anao date nao? Bas tapeli wa kimataifa lol.Ndiyoooo....
Ni tapeli mzuri huyu..
Kuna Dada ana kazi ya kuripoti Polisi kila Ijumaa sababu ya huyu mtu...
Aisee...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa ule wembamba wa nn? Alikata utumbo ili awe model. Uwiiiih
Sent using Jamii Forums mobile app