Sambinyakwe kitololo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 2,419
- 2,940
Yani mchukue bill 57 asee nitamla mtu dog style bila kujali cheo chakeMtakatishaji pesa kabanwa
Enzi za Magufuli angekuta account inasoma 00.00. kabisa halafu wantamwezi wanatulia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani mchukue bill 57 asee nitamla mtu dog style bila kujali cheo chakeMtakatishaji pesa kabanwa
Enzi za Magufuli angekuta account inasoma 00.00. kabisa halafu wantamwezi wanatulia
Wewe bank labda uwe mlinziWhy nikutajie wakati nishamwaga mboga kuhusu bank details zake itakua kumuexpose kitu ambacho si maadili japo bank sipo kitambo.
Hata ukiamua kunitukana haikuongezei kitu. Kama we ni mdada usidhani wote humu ni wadada wenzio jaribu kuwa na heshima hata kama huna hoja.
Kama ni pesa halali hakuna tatizo, lakini kama ni pesa za Jànja Jànja ni risk sana.Mkuu kwa niaba ya wezangu, naomba utueleweshe Kuna hasara gani katika kuweka mpunga mrefu bank,
Au hayo masharti yaliyopo nyuma ya form 🙏🙏
Hana hata mia uyo ni kujitapa tuBro niungie ten kiongozi
Ungekuwa nayo ungemheshimu jamaa.Pesa ndogo Sana hio am 32yrs na Nina 1B kasoro ..na sijulikani na mtu yoyote natembelea tu ka vanguard ..show room ya magari ziko mbili mikoa miwili tofauti
Hahaaaaa!Umenikumbusha jana nilikuwa namsikia Sophie Umelowa wa Harmonize, anasema "mimi ni children" yaani 'young' na Kajala ni mtu mzima.
Ni network hiyo, mfano mjukuu wa Idd Amin ni waziri kwenye serikali ya Museven yeye ndio kiongozi mkuu wa Cartel.Kabla ya hiyo Million 18 kuwekwa it means account yake ilikuwa na Million 7 na points.
Chunguza kwa umakini miamala yake. Inaenda sana Kenya kwa namba ya Safaricom USD 70,000 +254706111191. Yaani mobile transfer ya zaidi ya Million 161? Duh!.
Kuna hela imetoka Rwanda pia. Zaidi ya Billion 9.
Zote hizo zinatafakarisha mno.
Sasa hivi unazo ngapiHawezi kuwa tapeli, asingekuwepo. LAZIMA atakuwa ni mtu anafanya biashara halali. KWA MFANO Mimi hapa nilipo, nisipopata mtu wa kunikwamisha, nikiamua tuseme kutengeneza business inipe hata Billion 100 ndani ya miaka michache sana ijayo, natengeneza hiyo biashara na Billion 100 nazikamata. TATIZO NI KUKWAMISHANA
Tunadate bank nkuuMnadate watu au mnadate pesa?
Kuandika rahisi sana....biashara unazijua au unaziskia? Eti crown,canter,LX 😃
Nilishafanya kazi bank na tulikua na mteja anamalori kama elfu 2 account yake kubwa ilikua bank kwetu alikua anagonga 20m USD balance na hapo anatenda kubeba tumbaku zote Tanzania. Halafu mtu wa showroom mbili za magari awe na ukwasi huo. Unajua faida kwenye kila gari huwa ni sh ngapi?
Si yake nikiwa na laki mko kimya iKifika billioni mnajisogeza uwizi tuYeye atapaswa aonyeshe hizo Cash USD Million 18 alizipataje? Alikaa nazo kwa muda gani kuzitunza katika hali ipi na usalama upi.
Angeweka kidogo kidogo kwa kufodge documents, asingeshtukiwa. Ila kuweka yote at per ndiyo ameharibu.
Kwenye mapenzi yapo yanayo wavutia watu tofauti na pesa, Ni nyie wasaka fursa tu huwa mnaona kuliko kuwa na asie na pesa ni bora uwe singo lakin mwsho wa siku huwa hamfiki mahali wala kuwa na mafanikio ya maanaHuyu si ndo fyucha husband wa wema? Ila mastaa bana, wema unadate na mtu mwenye pesa kama huyu hata kama hatujui chanzo cha hizo pesa, basi mkiachana unajishusha thamani una date kale katoto sijui whozu sijui utitili gani si ubaki single tu ijulikane?
OQP ( ONLY QUALITY PEOPLE)Kwenye mapenzi yapo yanayo wavutia watu tofauti na pesa, Ni nyie wasaka fursa tu huwa mnaona kuliko kuwa na asie na pesa ni bora uwe singo lakin mwsho wa siku huwa hamfiki mahali
dakika ya 3:54Hahaaaaa!