Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

Kabla ya hiyo Million 18 kuwekwa it means account yake ilikuwa na Million 7 na points.

Chunguza kwa umakini miamala yake. Inaenda sana Kenya kwa namba ya Safaricom USD 70,000 +254706111191. Yaani mobile transfer ya zaidi ya Million 161? Duh!.

Kuna hela imetoka Rwanda pia. Zaidi ya Billion 9.

Zote hizo zinatafakarisha mno.
 
Mkuu kwa niaba ya wezangu, naomba utueleweshe Kuna hasara gani katika kuweka mpunga mrefu bank,

Au hayo masharti yaliyopo nyuma ya form 🙏🙏
Kama ni pesa halali hakuna tatizo, lakini kama ni pesa za Jànja Jànja ni risk sana.

Bank zote zina vitengo vya frauds na wanakaguliwa na BOT.
 
Kabla ya hiyo Million 18 kuwekwa it means account yake ilikuwa na Million 7 na points.

Chunguza kwa umakini miamala yake. Inaenda sana Kenya kwa namba ya Safaricom USD 70,000 +254706111191. Yaani mobile transfer ya zaidi ya Million 161? Duh!.

Kuna hela imetoka Rwanda pia. Zaidi ya Billion 9.

Zote hizo zinatafakarisha mno.
Ni network hiyo, mfano mjukuu wa Idd Amin ni waziri kwenye serikali ya Museven yeye ndio kiongozi mkuu wa Cartel.
 
Hawezi kuwa tapeli, asingekuwepo. LAZIMA atakuwa ni mtu anafanya biashara halali. KWA MFANO Mimi hapa nilipo, nisipopata mtu wa kunikwamisha, nikiamua tuseme kutengeneza business inipe hata Billion 100 ndani ya miaka michache sana ijayo, natengeneza hiyo biashara na Billion 100 nazikamata. TATIZO NI KUKWAMISHANA
Sasa hivi unazo ngapi
 
Wekeni hela kwenye digital wallets na mafunguo kama yote,mimi sijawahi weka hela benki thubutu mijitu haifanyi kazi inavizia nani ana hela ya kamchukulie kimkakati ,weka hela hata kenya wana katiba nzuri huku ni wezi tu ova
 
Kuandika rahisi sana....biashara unazijua au unaziskia? Eti crown,canter,LX 😃
Nilishafanya kazi bank na tulikua na mteja anamalori kama elfu 2 account yake kubwa ilikua bank kwetu alikua anagonga 20m USD balance na hapo anatenda kubeba tumbaku zote Tanzania. Halafu mtu wa showroom mbili za magari awe na ukwasi huo. Unajua faida kwenye kila gari huwa ni sh ngapi?

Wewe Ni great Thinker. Asante kwa kumjibu huyo dogo.
 
Huyu si ndo fyucha husband wa wema? Ila mastaa bana, wema unadate na mtu mwenye pesa kama huyu hata kama hatujui chanzo cha hizo pesa, basi mkiachana unajishusha thamani una date kale katoto sijui whozu sijui utitili gani si ubaki single tu ijulikane?
Kwenye mapenzi yapo yanayo wavutia watu tofauti na pesa, Ni nyie wasaka fursa tu huwa mnaona kuliko kuwa na asie na pesa ni bora uwe singo lakin mwsho wa siku huwa hamfiki mahali wala kuwa na mafanikio ya maana
 
Back
Top Bottom