Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

Watu wana BTC 10 na nimadogo wengine casino,youtube,wengine insta,wengine prize pools,watu wana mabillioni wanaishi kawaida huku nchi ambayo inawaza umasikini,wivu,njaa kibao milioni 30 tu eti umetoa wapi ,kwani yako inakuhusu nini,kwani wapi imeandikwa kiwango cha mwisho cha kumiliki hela?
 
... Watu wa zanzibar Wana madili ya hatar wanapiga pesa ila hata kujionyesha ni ngumu sana ...wengi ni dili haramu kama kawaida wanauza mpaka unga ila ngumu sana kuwajua kama wana pesa.
Alafu angalia mbinu zao za kujikweza au social security, yaani ni zile zile za freemason unaumiza, kuua huku unasaidia.

Hapo kuna yatima, mjane na nyumba za ibada, ikiwa kama hivi serikali imemnasa anatumia wale wale wasaidiwa ili kuji_defence.
 
Yeye atapaswa aonyeshe hizo Cash USD Million 18 alizipataje? Alikaa nazo kwa muda gani kuzitunza katika hali ipi na usalama upi.

Angeweka kidogo kidogo kwa kufodge documents, asingeshtukiwa. Ila kuweka yote at per ndiyo ameharibu.
Kwenye Banking System kuna Day end na Year End Activities! Jamaa wamemwamishia mzigo wa Year End - kabla ya 23:59 31 December 2022😁apambane nalo tu, huenda watamwelewa.Ila yupo katika wakati mgumu maana at this time mpaka FBI wapo katika cycle
 
Kuandika rahisi sana....biashara unazijua au unaziskia? Eti crown,canter,LX [emoji2]
Nilishafanya kazi bank na tulikua na mteja anamalori kama elfu 2 account yake kubwa ilikua bank kwetu alikua anagonga 20m USD balance na hapo anatenda kubeba tumbaku zote Tanzania. Halafu mtu wa showroom mbili za magari awe na ukwasi huo. Unajua faida kwenye kila gari huwa ni sh ngapi?
Una akili ndogo Sana wewe bank teller kwani hawezi kuwa na akaunti kwenye benk zaidi ya moja

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu kwa niaba ya wezangu, naomba utueleweshe Kuna hasara gani katika kuweka mpunga mrefu bank,

Au hayo masharti yaliyopo nyuma ya form 🙏🙏
Kilichopo tra linatakiwa liwe reflected na utajiri wako. Yaani ukiwa na let say 1000M Basi tra angalau uwe umelipa si chini 200M. Kuna Ile vat ama mapato. Kila buku uipatayo ya serikali Ni 180 wanakula Bata . Huku wao utajiri ama wizi wao hawalipi Kodi hata salalry zao zipo tax free
 
Ongeza tusi jingine upandwishe cheo kazini.

Nb. Ni ushauri tu waambie dada zako waende na formula ya OQP na uwaambie mwanamke mwenye ka pesa kake mfukoni hasumbuliwi na utitili.
Dogo acha makasiriko, ondoka kwa shemeji yako tafta hela.
Kwa akili hizi, zitakazoteseka ni sehemu zako za siri.
 
Back
Top Bottom