Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

Hapa wacha niKasome mbinu ya ukwepaji wa Kodi aliyoitumia d.trump inahusisha yale ma corporate sijui!!
Hela zako nunua hisa pia gawio endelea kununua hisa pia salary yako ulipwe kihisa hapo utakwepa Mana hisa umewekeza mtaji . Hiyo naijua moja zingine ziko mbali kwenye ubongo mfu mkuu
 
Akili ndogo sana wewe. Unajua bank zinavyofanya kazi? Hawakuzuii kuwa na account sehem nyingine ila kuna baadhi ya facilities huwezi pewa na bank fulani mpaka all daily operations transactions uwe unafanya nao. Kwa maana nyingine utalazimika kuachana na account zingine bila kupenda sababu zitakua zinakuongezea gharama na baadhi ya bank watataka ufunge accounts kabisa sehemu zingine. Kuna facilities kama Letters of credit, Bills Discounting, post import loans,post purchase loans etc ambazo ni short term loan facilities zinakuaga na hayo masharti. Hizo sio kwa individuals au kiazi kama wewe hizo ni facilities kwa giants kama tanga cement, Bakhresa etc wanaofanya daily mass production kubwa na kila siku billions zinapita na wanafanya sana importation na exportation. Nimeandika kiufupi sana japo najua fools like you sometimes never learn. Uliza kama kuna bank teller yeyote hata anaelewa hayo niliyoyaandika. Na hizo facilities ni giants banks tu ndo zinatoa so hata kama mjomba wako ambae ni meneja wa bank ukimuuliza hizo mambo atatoka kapa na sio dhambi sababu hawana export/import facilities.
Wewe mpumbavu endelea kukariri vitini vya nyambari nyangwine shwain wewe.

Kuna watu pale maduka ya kisutu wanalala na Bilion hata 10. Wewe endelea kupokea mishahara ya kudownload

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Mbona huulizii why mie ama wewe hatunazo hizo lakini. Kwa Nini unafuatilia utajili wa mtu na sio umasikini wa watu ili ujue chanzo zao wanyanyuke kimaisha watoke kwenye Lindi la umasikini lakini.

Kapata wapi mbona huulizii watu wamepata wapi umasikini Ila mkuu umefanya mpaka nimeogopa ama nikuigope. Yaani shida yako hata Nini. Hizi sio hela nyingi Ni za kawaida ukiweka katika dola Ni kitu Kama dola 25Milioni so ni hela ya kawaida nje sema hapa bongo kwa wamasikini wengi ukiwa hata na dola 10k unavimba kumbe wenzako Ni hela ya kuhonga Tena one night stand.

Tafuta hela take risk,wakati umelala wanaume wenzako wanawaza how to get money or dying getting it ili wakutawale na kizazi chako
$25 Millioni ni hela nyingi sana dunia nzima.

Usijaribu kudanganya watu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yeyee mwenyewe ameshaji chokea had anatamani kufa, sasa kuna nn hapo. Uwiiiiii ila ma ex zake waliotoka kupitia yeye wanashindwa kulipa fadhila, hasa domokayaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nasikia Wema ananyota,ukifanikiwa kumlaa basi na mambo yako lazima yanyooke,eti ni kweli [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hela zako nunua hisa pia gawio endelea kununua hisa pia salary yako ulipwe kihisa hapo utakwepa Mana hisa umewekeza mtaji . Hiyo naijua moja zingine ziko mbali kwenye ubongo mfu mkuu
Kwny hisa utapigwa Kodi sehemu mbili,Ya kwanza ukipata gawio(dividend) serikali itakula Kodi yake hapo Kama kawaida.

Ya pili,usipouza hisa zako ukawa unaziacha zikawa zinapanda thamani siku ukisema unaziuza ukapata capital gain nayo itakatwa Kodi Kama kawa.
 
Jamaa ana bil 57 bank ila Kuna wale washamba million 100 tu utasikia kwetu matajiri..mara walishe mbwa burger mara hivi ushamba mzigo .

Watu wa Pwani haswa zanzibar Wana madili ya hatar wanapiga pesa ila hata kujionyesha ni ngumu sana ...wengi ni dili haramu kama kawaida wanauza mpaka unga ila ngumu sana kuwajua kama wana pesa.
Kina diamond hao
 
Nilisikiaga ni tapeli, wanawauziaga wazungu dhahabu feki huko south Africa, nilisikiaga tu.
Ila tuheshimu hustles za watu... kusema mtu ni tapeli ni rahisi sana... mi nadhani mtu mpaka amiliki bilioni 50 benki atakuwa na kitu cha ziada... Huwezi ukasema kwamba utajiri wote huo ni utapeli.. watu wanatumia akili zao
 
Back
Top Bottom