Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

Huyu si ndo fyucha husband wa wema? Ila mastaa bana, wema unadate na mtu mwenye pesa kama huyu hata kama hatujui chanzo cha hizo pesa, basi mkiachana unajishusha thamani una date kale katoto sijui whozu sijui utitili gani si ubaki single tu ijulikane?
Ila wanawake wadangaji sikuzote hawanaga akili.. exposure yote ya mabilioni halafu ukimuangalia mwanamke unakuta hana cha maana... si bora wangekuwa wanatoa tu huo uke bure
 
Mbona huulizii why mie ama wewe hatunazo hizo lakini. Kwa Nini unafuatilia utajili wa mtu na sio umasikini wa watu ili ujue chanzo zao wanyanyuke kimaisha watoke kwenye Lindi la umasikini lakini.

Kapata wapi mbona huulizii watu wamepata wapi umasikini Ila mkuu umefanya mpaka nimeogopa ama nikuigope. Yaani shida yako hata Nini. Hizi sio hela nyingi Ni za kawaida ukiweka katika dola Ni kitu Kama dola 25Milioni so ni hela ya kawaida nje sema hapa bongo kwa wamasikini wengi ukiwa hata na dola 10k unavimba kumbe wenzako Ni hela ya kuhonga Tena one night stand.

Tafuta hela take risk,wakati umelala wanaume wenzako wanawaza how to get money or dying getting it ili wakutawale na kizazi chako
25M U$D sio pesa ndogo huko duniani labda sijui wewe umeitafsiri vipi, kuanzia 1M U$D ni pesa nyingi.
 
Akili yako ndogo Sana
Hizo gari haidaiwi hata moja ..nimekupa hesabu tuassume Nina 0tzs balance nikiuza zote Ni sh ngapi nitakuwa nayo

Vile una ufinyu wa kufikiri unahisi huyo boss Ana acc moja?

Na Ni Nani mwenye Lori elf mbili hapa bongo hivi namba unazijua kweli elf mbili [emoji16] elf mbili[emoji16]
nmesoma thread yake jamaa nmeishia kucheka tu ila niseme kuna watu wana ukwasi wa kutisha.

kuna mmoja ana show room hapa shekilango njia ya kwenda mabibo tunajuana na ni mtu wa swala tano katika maongezi nkampiga kibom cha sh flani maana nlkuwa maji ya shingo akaingia crdb account na kunrushia ile hela kupitia app then akaangalia salio lililobaki nikiwa naona.

to be honest nilipata kama shock ya sekunde kadhaa sabab hela ilosoma na mwenyewe akanambia dogo hali ngum kwa sasa na ndo ana show room tu kama 7 kwa dar itakuwa mtu mwenye scania kama 2000? akose hyo hela.

TUTAFUTENI HELA NDUGU ZANGUNI HAIJALISHI UMETOKA KWENYE FAMILIA GANI WEKA JUHUDI,TENGENEZA CYCLE SAHIHI TU
 
Account ya USD inatuma Mpesa

1672419511059.png


Anyways.... kuwa na Bil 57 kwenye account sio kitu kidogo. Lazima uwe na shughuli inayoeleweka kweli kweli.
 
Back
Top Bottom