Unavoidable Servant
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,728
- 4,545
Unakata kodi kwenye biashara IPI?wakate kodi yao wamuachie jamaa mpunga wake...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakata kodi kwenye biashara IPI?wakate kodi yao wamuachie jamaa mpunga wake...
Hiyo anatakiwa ajue mke na mtoto wangu tuHuko nje una sh ngap
Unakata kodi kwenye biashara IPI?
Sasa mkuu, Mimi jobless wa mashimoni nauza mpunga na mahindi huku kijijini, so siku nikifungua akaunti hizo taarifa nazitoa wapi???Kilichopo tra linatakiwa liwe reflected na utajiri wako. Yaani ukiwa na let say 1000M Basi tra angalau uwe umelipa si chini 200M. Kuna Ile vat ama mapato. Kila buku uipatayo ya serikali Ni 180 wanakula Bata . Huku wao utajiri ama wizi wao hawalipi Kodi hata salalry zao zipo tax free
Ila motivational speakers hua hamkosekani aisee.Mbona pesa ndogo tu hio hata wewe ukiamua unazipata hasa ukiwa kwenye sekta ya madini. KILA wilaya nchini imejaa madini ni wewe tu
Kaka wapo wenye hizo Lori 2000 wapo kakaAkili yako ndogo Sana
Hizo gari haidaiwi hata moja ..nimekupa hesabu tuassume Nina 0tzs balance nikiuza zote Ni sh ngapi nitakuwa nayo
Vile una ufinyu wa kufikiri unahisi huyo boss Ana acc moja?
Na Ni Nani mwenye Lori elf mbili hapa bongo hivi namba unazijua kweli elf mbili [emoji16] elf mbili[emoji16]
Ngoja mwaka mpya uingie ntakuja na uzi maalum,kuhusu hizi yard za magari...Ila hizi showrooms za magari baadhi huwa nahisi ni kichaka cha kutakatishia pesa.
Ipo moja ya wadosi wanapokea cash pekee hakuna kulipia bank,wataku-escot kufuata pesa zako bank (ukitaka) ila za kwao uje uwape mkononi yard kwao.
Inatakiwa ukiuza ulipe Kodi labda uwepo kwenye biashara ambazo hulipi Kodi.Sasa mkuu, Mimi jobless wa mashimoni nauza mpunga na mahindi huku kijijini, so siku nikifungua akaunti hizo taarifa nazitoa wapi???
Hapa wacha niKasome mbinu ya ukwepaji wa Kodi aliyoitumia d.trump inahusisha yale ma corporate sijui!!Inatakiwa ukiuza ulipe Kodi labda uwepo kwenye biashara ambazo hulipi Kodi.
Inatakiwa na makanisa yaanze kulipa Kodi Mana wanapata mapato mengi from their followers
Akili ndogo sana wewe. Unajua bank zinavyofanya kazi? Hawakuzuii kuwa na account sehem nyingine ila kuna baadhi ya facilities huwezi pewa na bank fulani mpaka all daily operations transactions uwe unafanya nao. Kwa maana nyingine utalazimika kuachana na account zingine bila kupenda sababu zitakua zinakuongezea gharama na baadhi ya bank watataka ufunge accounts kabisa sehemu zingine. Kuna facilities kama Letters of credit, Bills Discounting, post import loans,post purchase loans etc ambazo ni short term loan facilities kuanzia 45 days hadi 90 days ila billions bank inapata..so kwa hizo facilities bank zinakuaga na hayo masharti. Hizo sio kwa individuals au kiazi kama wewe hizo ni facilities kwa giants kama tanga cement, Bakhresa etc wanaofanya daily mass production na kila siku billions zinapita na wanafanya sana importation na exportation. Nimeandika kiufupi sana japo najua fools like you sometimes never learn. Uliza kama kuna bank teller yeyote hata anaelewa hayo niliyoyaandika. Na hizo facilities ni giant banks tu ndo zinatoa so hata kama mjomba wako kama ni meneja wa bank ukimuuliza hizo mambo atatoka kapa na sio dhambi sababu hawana export/import facilities na local banks chache sana mbili au tatu kama EXIM,CRDB na NBC ndio zinaweza kuwa zinatoa hizo facilities. Na hizo ndio zinazopatia bank faida kubwa sio hiyo miamala yako ya ATM au monthly charges. Hujiulizi why Citi Bank inatawi moja lakini miaka kibao imeongoza kwa faida?Una akili ndogo Sana wewe bank teller kwani hawezi kuwa na akaunti kwenye benk zaidi ya moja
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
"Kutiki mwana wa mai? Ougendelela atiki?Kweli life sio fear, wakati wengine hapa hatuna ata mia mfukoni just imagine mwana wa mai😁
UngaKaomba asaidiwe akidai ana show rooms mbili za magari Zanzibar na vituo vya kulea yatima na anasaidia wajane. Kwa waliosoma Cuba wameelewa
Sasa wewe Ni bank gani hio ambae hauna hata upeo labda bank ya damuWe utakua wa kijijini sana,bank unaona ni sehem ya ajabu kufanya kazi? Wakati wenzio ilikua sehem ya kupita tu? Nazidi kuamini unaupeo mdogo sana
Utaziweka wapi na wewe biashara zako zinahitaji transaction za kila siku?Nina B za kutosha halafu hela niweke Acc za Bank za EAST AFRICA ntakua naumwa mafua labda...
si mara 100 nichimbe safe nyumbani kwangu nizidumbukize humo kama Mjomba wa MEXICO.
Sikia gari 2000 sio kitu bwana your limitations unataka kuweka kuwa objective lakini Kaka sijui dada.Kaka wapo wenye hizo Lori 2000 wapo kaka
Taka mmoja tuKaka wapo wenye hizo Lori 2000 wapo kaka
Ujumbe ushamfikia mhusika.Kaomba asaidiwe akidai ana show rooms mbili za magari Zanzibar na vituo vya kulea yatima na anasaidia wajane. Kwa waliosoma Cuba wameelewa
Ni bhwa kisi ila Wasu!"Kutiki mwana wa mai? Ougendelela atiki?
Mie huwa nashangaa watu wamejifunga kwenye nira hawawazi nje yaani uwezo wao wa kuwaza wanajua ndio mwisho wa dunia. Pia wanashindwa kutofautisha truth and facts.Akili ndogo sana wewe. Unajua bank zinavyofanya kazi? Hawakuzuii kuwa na account sehem nyingine ila kuna baadhi ya facilities huwezi pewa na bank fulani mpaka all daily operations transactions uwe unafanya nao. Kwa maana nyingine utalazimika kuachana na account zingine bila kupenda sababu zitakua zinakuongezea gharama na baadhi ya bank watataka ufunge accounts kabisa sehemu zingine. Kuna facilities kama Letters of credit, Bills Discounting, post import loans,post purchase loans etc ambazo ni short term loan facilities zinakuaga na hayo masharti. Hizo sio kwa individuals au kiazi kama wewe hizo ni facilities kwa giants kama tanga cement, Bakhresa etc wanaofanya daily production kubwa na kila siku billions zinapita na wanafanya sana importation. Nimeandika kiufupi sana japo najua fools like you sometimes never learn. Uliza kama kuna bank teller yeyote hata anaelewa hayo niliyoyaandika
Hasara ya kwanza ni kwamba benki ikifilisika hata kama unamiliki bilioni 57 kama huyo jamaa,Pesa utakayolipwa kama fidia haitazidi shs Milioni 1.5 za Kitanzania.Mkuu kwa niaba ya wezangu, naomba utueleweshe Kuna hasara gani katika kuweka mpunga mrefu bank,
Au hayo masharti yaliyopo nyuma ya form [emoji120][emoji120]