Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

Hii bank statement ni ya kufoji. Angalia font ya “USD” kwa kulinganisha na true font ya statement . Utaona herufi “U”, “S” na “D” font yake siyo sawa na herufi hizo sehemu nyingine kwenye statement. Safe to say, hii ni account ya Tshs.

Dah!, Font ni ileile bnaa, USD wameiBold tu pale juu na hyo account number.
 
We unaupeo mdogo sana,eti assume nimeuza gari zote 😆😆😆
Biashara unazojua ni zile za motivation speakers wanazokupigia hesabu zako. Nakuuliza biashara ya showroom za magari unaijua au unaiskia? Hiyo biashara ni ya mishen town zaidi tu utapata hela ya kufanyia fujo mjini ila sio utajiri, madogo kariakoo na maduka yao ya vifaa vya magari wanakalisha washkaji kibao wenye showroom kubwa. Kama maana ya utajiri hujui google.
For your information huyo wa malori account kubwa ilikua kwetu sababu ya masharti ya bank facilities tulizokua tunampa na hiyo ni kawaida kabisa kwa bank na mfanyabiashara. Nahisi hakuna utakachoelewa hapa
Wewe na mpunga nachagua mpunga

Yes mpunga namaanisha ule tunaolima

Nimekwambia hakuna gari inayosubiriwa kuuzwa ikalipe deni zote hazidaiwi wat if nikiamua ziuza zote bila kuongeza mzigo Ni sh ngapi ? Kwa akili yako unahisi Nina show room tu mbili Sina biashara zingine?

Haya Nina mashimo mawili geita yalikuwa ya mzee after his death yalishakuwa yangu ..naona tuishie hapo siwezi bishana na wadada wa bank huwa nawachukulia Kama huduma kwa wateja tu
 
Hauoni sijda hiyo,anafanya sana ibada ndiyo maana anaajiwa kipato.
Havina uhusiano, kuna Watu wana imani zao binafsi na wanamiliki kiasi kiasi kikubwa cha pesa au biashara kadhaa.

Ingekuwa ndivyo basi ungeona Wote walio na fedha wana imani ya muelekeo mmoja kwa kuamini kuwa ndio njia ya kupata pesa.
 
Huyu jamaa atakua fraudster na mtakatishaji pesa mkubwa wambane vizuri. 18m USD inakua deposited cash? Huyu ni mpigaji wamfuatilie vizuri
Yaani me ndo nimebaki kutoa macho hapa, jamani huyu mbona ana skendo za utapeli mdaaaa, huyo wema mwenyewe alimtapeli huko burundi, gigy money nae alishaachwa kwenye mataa huko kenya.
Nimeshangaa sana kusikia ana b 57 [emoji44] mweeh!
 
Achana na huyu jamaa haelewi. Watu wanamalori yanaenda nchi zote za kusini na bado yard inagari kibao
Hizo Lori zimesajiliwa kwa jina gani au nitajie plate no moja nitampa mtu wa TRA atanipa jina la mmiliki Kisha tutaangalia hizo Lori zilizo kwa jina lake zipo ngapi😁 maisha Ni rahisi kwa sasa
 
Aisee usiwaine tu watu Instagram ukawachukulia poa, jamaa huyu huwa anatoka sana na wadada wa Bongo movie, na picha yake akila romance na Wema ilivuja na kumpa umaarufu mkubwa.

Huyu jamaa PCK amekuwa na urafiki na Mastaa wengi na ni mfanyabiashara , ana miliki maduka ya simu, hotel, show room etc.

Kilichonishangaza Leo, ameandika Instagram kuomba msaada Kwa mama Samia, wamezuia bilioni 57 zake zolizondani ya kcb bank, nimejiuliza kiasi kikubwa namna hii Cha pesa kapata wapi.

Pia anadai makonda alimuua masogange Kwa ajili ya bilioni 12, pia anadai makonda alimzurumu range Rover lake . Sasa kama huyu mtu wa kawaida tu ana mihela yote haya, dah hii nchi, kazipataje bilioni 57?

Kumbe ndomana bongo movie wanampenda.
View attachment 2463384View attachment 2463385View attachment 2463386
Dooh pesa kidogo vile,
Kuna Mzee mmoja Anaitwa JOHN BUKUNE kipindi Cha Rais MAGUFUL huyobwana walimkuta na mabilion ya fedha kweny account had magu akashangaa.
Ikabidi alipie Kodi sjui ilkua Kodi ya Nini Ile, kama One billion.
huyu jamaa kila mwaka hupewa zawadi ya gari kama mwanachma mkubwa WA NMB wilaya ya kahama.
 
Aisee usiwaine tu watu Instagram ukawachukulia poa, jamaa huyu huwa anatoka sana na wadada wa Bongo movie, na picha yake akila romance na Wema ilivuja na kumpa umaarufu mkubwa.

Huyu jamaa PCK amekuwa na urafiki na Mastaa wengi na ni mfanyabiashara , ana miliki maduka ya simu, hotel, show room etc.

Kilichonishangaza Leo, ameandika Instagram kuomba msaada Kwa mama Samia, wamezuia bilioni 57 zake zolizondani ya kcb bank, nimejiuliza kiasi kikubwa namna hii Cha pesa kapata wapi.

Pia anadai makonda alimuua masogange Kwa ajili ya bilioni 12, pia anadai makonda alimzurumu range Rover lake . Sasa kama huyu mtu wa kawaida tu ana mihela yote haya, dah hii nchi, kazipataje bilioni 57?

Kumbe ndomana bongo movie wanampenda.
View attachment 2463384View attachment 2463385View attachment 2463386
Tatizo la bongo ndio hili,mtu akiwa na pesa,watu wanafikiri kaiba,serikali/watumishi wa umma vichwa maji,wanaona wewe ni fisadi,wanafunga akaunti!!
Jamani huko duniani,hata hapo Kenya,mtu kuwa na pesa kuliko wizara ni kitu Cha kawaida tu,hapa kwetu mfumo wa kisiasa ni WA hovyo sana,huu mfumo unategemea waliopo ndani ya mfumo ndio wawe na pesa,wakiona mtu anatengeneza mkwanja wake nje ya mfumo,lazima watampa shida.
Kwa sheria zetu za kijima,ndio maana makampuni makubwa hayawezi kuja kuwekeza bongo,yanaenda Kenya!?
Sasa mijitu inaamka Asubuh,inafunga akaunti ya mtu,hawasemi kosa
 
Aisee usiwaine tu watu Instagram ukawachukulia poa, jamaa huyu huwa anatoka sana na wadada wa Bongo movie, na picha yake akila romance na Wema ilivuja na kumpa umaarufu mkubwa.

Huyu jamaa PCK amekuwa na urafiki na Mastaa wengi na ni mfanyabiashara , ana miliki maduka ya simu, hotel, show room etc.

Kilichonishangaza Leo, ameandika Instagram kuomba msaada Kwa mama Samia, wamezuia bilioni 57 zake zolizondani ya kcb bank, nimejiuliza kiasi kikubwa namna hii Cha pesa kapata wapi.

Pia anadai makonda alimuua masogange Kwa ajili ya bilioni 12, pia anadai makonda alimzurumu range Rover lake . Sasa kama huyu mtu wa kawaida tu ana mihela yote haya, dah hii nchi, kazipataje bilioni 57?

Kumbe ndomana bongo movie wanampenda.
View attachment 2463384View attachment 2463385View attachment 2463386
Duuu, watu wana pesa nyingi halafu hata hawajulikani, mi hata sijawahi kumsikia. Akina Diamond kelele kibao, na hata sijui kama anazo kama hizi.
 
Yaani me ndo nimebaki kutoa macho hapa, jamani huyu mbona ana skendo za utapeli mdaaaa, huyo wema mwenyewe alimtapeli huko burundi, gigy money nae alishaachwa kwenye mataa huko kenya.
Nimeshangaa sana kusikia ana b 57 [emoji44] mweeh!
Huyu mission town tu kumbe hadi anawakopa mastaa k 😃😃😃
 
Back
Top Bottom