Hii bank statement ni ya kufoji. Angalia font ya “USD” kwa kulinganisha na true font ya statement . Utaona herufi “U”, “S” na “D” font yake siyo sawa na herufi hizo sehemu nyingine kwenye statement. Safe to say, hii ni account ya Tshs.
Wewe na mpunga nachagua mpungaWe unaupeo mdogo sana,eti assume nimeuza gari zote 😆😆😆
Biashara unazojua ni zile za motivation speakers wanazokupigia hesabu zako. Nakuuliza biashara ya showroom za magari unaijua au unaiskia? Hiyo biashara ni ya mishen town zaidi tu utapata hela ya kufanyia fujo mjini ila sio utajiri, madogo kariakoo na maduka yao ya vifaa vya magari wanakalisha washkaji kibao wenye showroom kubwa. Kama maana ya utajiri hujui google.
For your information huyo wa malori account kubwa ilikua kwetu sababu ya masharti ya bank facilities tulizokua tunampa na hiyo ni kawaida kabisa kwa bank na mfanyabiashara. Nahisi hakuna utakachoelewa hapa
Tafuta pesa hio Ni pesa ya kununua suv mbili za maana ila mnataka kufa😁😁Hawa vijana wasio na hela na wasiojua kutafuta hela huwa wanachukulia pesa kitu rahisi sana. Achana nao
Havina uhusiano, kuna Watu wana imani zao binafsi na wanamiliki kiasi kiasi kikubwa cha pesa au biashara kadhaa.Hauoni sijda hiyo,anafanya sana ibada ndiyo maana anaajiwa kipato.
Yaani me ndo nimebaki kutoa macho hapa, jamani huyu mbona ana skendo za utapeli mdaaaa, huyo wema mwenyewe alimtapeli huko burundi, gigy money nae alishaachwa kwenye mataa huko kenya.Huyu jamaa atakua fraudster na mtakatishaji pesa mkubwa wambane vizuri. 18m USD inakua deposited cash? Huyu ni mpigaji wamfuatilie vizuri
Hizo Lori zimesajiliwa kwa jina gani au nitajie plate no moja nitampa mtu wa TRA atanipa jina la mmiliki Kisha tutaangalia hizo Lori zilizo kwa jina lake zipo ngapi😁 maisha Ni rahisi kwa sasaAchana na huyu jamaa haelewi. Watu wanamalori yanaenda nchi zote za kusini na bado yard inagari kibao
Dooh pesa kidogo vile,Aisee usiwaine tu watu Instagram ukawachukulia poa, jamaa huyu huwa anatoka sana na wadada wa Bongo movie, na picha yake akila romance na Wema ilivuja na kumpa umaarufu mkubwa.
Huyu jamaa PCK amekuwa na urafiki na Mastaa wengi na ni mfanyabiashara , ana miliki maduka ya simu, hotel, show room etc.
Kilichonishangaza Leo, ameandika Instagram kuomba msaada Kwa mama Samia, wamezuia bilioni 57 zake zolizondani ya kcb bank, nimejiuliza kiasi kikubwa namna hii Cha pesa kapata wapi.
Pia anadai makonda alimuua masogange Kwa ajili ya bilioni 12, pia anadai makonda alimzurumu range Rover lake . Sasa kama huyu mtu wa kawaida tu ana mihela yote haya, dah hii nchi, kazipataje bilioni 57?
Kumbe ndomana bongo movie wanampenda.
View attachment 2463384View attachment 2463385View attachment 2463386
Yaani uwe na B50 ule laki kwa siku? 😂😂😂Bilioni moja kuimaliza sio kazi ndogo
Ukiwa unatumia laki moja kila siku, itakuchukua miaka 30 kuimaliza bilioni moja
Tatizo la bongo ndio hili,mtu akiwa na pesa,watu wanafikiri kaiba,serikali/watumishi wa umma vichwa maji,wanaona wewe ni fisadi,wanafunga akaunti!!Aisee usiwaine tu watu Instagram ukawachukulia poa, jamaa huyu huwa anatoka sana na wadada wa Bongo movie, na picha yake akila romance na Wema ilivuja na kumpa umaarufu mkubwa.
Huyu jamaa PCK amekuwa na urafiki na Mastaa wengi na ni mfanyabiashara , ana miliki maduka ya simu, hotel, show room etc.
Kilichonishangaza Leo, ameandika Instagram kuomba msaada Kwa mama Samia, wamezuia bilioni 57 zake zolizondani ya kcb bank, nimejiuliza kiasi kikubwa namna hii Cha pesa kapata wapi.
Pia anadai makonda alimuua masogange Kwa ajili ya bilioni 12, pia anadai makonda alimzurumu range Rover lake . Sasa kama huyu mtu wa kawaida tu ana mihela yote haya, dah hii nchi, kazipataje bilioni 57?
Kumbe ndomana bongo movie wanampenda.
View attachment 2463384View attachment 2463385View attachment 2463386
Kuchukua pesa iliyopatikana kwa njia haramu na kuiingiza kwenye mzunguko halali.Kutakatisha Ni kufanyaje
Mshamba huyoAchana na huyu jamaa haelewi. Watu wanamalori yanaenda nchi zote za kusini na bado yard inagari kibao
Duuu, watu wana pesa nyingi halafu hata hawajulikani, mi hata sijawahi kumsikia. Akina Diamond kelele kibao, na hata sijui kama anazo kama hizi.Aisee usiwaine tu watu Instagram ukawachukulia poa, jamaa huyu huwa anatoka sana na wadada wa Bongo movie, na picha yake akila romance na Wema ilivuja na kumpa umaarufu mkubwa.
Huyu jamaa PCK amekuwa na urafiki na Mastaa wengi na ni mfanyabiashara , ana miliki maduka ya simu, hotel, show room etc.
Kilichonishangaza Leo, ameandika Instagram kuomba msaada Kwa mama Samia, wamezuia bilioni 57 zake zolizondani ya kcb bank, nimejiuliza kiasi kikubwa namna hii Cha pesa kapata wapi.
Pia anadai makonda alimuua masogange Kwa ajili ya bilioni 12, pia anadai makonda alimzurumu range Rover lake . Sasa kama huyu mtu wa kawaida tu ana mihela yote haya, dah hii nchi, kazipataje bilioni 57?
Kumbe ndomana bongo movie wanampenda.
View attachment 2463384View attachment 2463385View attachment 2463386
Ni Fair siyo Fear.😃😃Kweli life sio fear, wakati wengine hapa hatuna ata mia mfukoni just imagine mwana wa mai😁
Kwahiyo ndo furaha yako hiyo mkuuHizi tuhuma mbona kali sana? Anyway acha wafu wazike wafu wao, mtu ana bilioni 50 bank wengine tunawaza mchana unapitaje
Huyu mission town tu kumbe hadi anawakopa mastaa k 😃😃😃Yaani me ndo nimebaki kutoa macho hapa, jamani huyu mbona ana skendo za utapeli mdaaaa, huyo wema mwenyewe alimtapeli huko burundi, gigy money nae alishaachwa kwenye mataa huko kenya.
Nimeshangaa sana kusikia ana b 57 [emoji44] mweeh!