Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

Huyu PCK ni nani? Ana Bil. 57 benki, TRA wamezuia akaunti yake

Wekeni hela kwenye digital wallets na mafunguo kama yote,mimi sijawahi weka hela benki thubutu mijitu haifanyi kazi inavizia nani ana hela ya kamchukulie kimkakati ,weka hela hata kenya wana katiba nzuri huku ni wezi tu ova
Ili hela ifike kwenye digital wallets lazima pesa ipite banks/mobile money/agents. So kufuatiliwa ni swala ambalo halikwepeki
 
Tena ukuta huu udumu milele hakuna kujuana.
Asante jiefu.
Mkuu wafurahia lakini kwa upande mwingine hili ni tatizo.
M/Mungu kutugaia sura binadamu sijui aliweka na siri gani hapo!
Mi mtu tukiendana naye mawazo hutamani nimuone live na kisha nimfanye rafiki yangu kindaki ndaki.
Lakini hili la kuishia tu kusikilizana ma "pwenti", linaumiza.
 
Mimi sipendagi kabisa wadada wakubwa vile kudate na wadogo zao, hivi mtu kama wema alikosa hata kuchukuwa hata waziri mmoja akakomaa nae? Status yote alokuwa nayo? Siwezi date utitili mimi.
Hana utimamu kichwani. Matumizi yake ni anapohitajika mtu asiyenaakili. Anaviashiria vyote vya mtu asiyetimamu.

Sent from my SO-01J using JamiiForums mobile app
 
Wekeni hela kwenye digital wallets na mafunguo kama yote,mimi sijawahi weka hela benki thubutu mijitu haifanyi kazi inavizia nani ana hela ya kamchukulie kimkakati ,weka hela hata kenya wana katiba nzuri huku ni wezi tu ova
kuingia huko kwenye digital wallets lazima zipitie bank au mobile wallet mzee, unarudi kulekule
 
Wanawake wengi mkipataga hela, kimapenzi mnakaaga mbali na wanaume, sijui kwanini luckyline
Mimi tangu nikiwa mdogo sinaga hulka na wanaume.
Na ukiona mwanamke anateswa na mwanaume jua ni mvivu, mwanamke akiwa na vijipesa vidogo vidogo kama vi laki havikosi ndani kodi amelipa gesi kanunua, vinatumizi kanunua mwanaume wa kazi gani?
 
Mimi tangu nikiwa mdogo sinaga hulka na wanaume.
Na ukiona mwanamke anateswa na mwanaume jua ni mvivu, mwanamke akiwa na vijipesa vidogo vidogo kama vi laki havikosi ndani kodi amelipa gesi kanunua, vinatumizi kanunua mwanaume wa kazi gani?
Kwahiyo nyie wadada, pesa tu ndio mnayofata kwa mwanaume😳 luckyline
 
Hana utimamu kichwani. Matumizi yake ni anapohitajika mtu asiyenaakili. Anaviashiria vyote vya mtu asiyetimamu.

Sent from my SO-01J using JamiiForums mobile app
Sijuhi nini kilimpata, alikuwa kabisa karibu na national cake, asingekosa hata kuwa dc. Muone sasa hivi kazi anazofanya eti cook with wema sepetu.

Inauma sana
 
TRA wanamtia hasira sana awamu ya SITA hii mnajinenepea tu hamuwajibiki badala yake mnataka kutumia njia rahisi sana ya kukwapua pesa kwenye account za watu, huo ni ujambazi na it's cheap and desperate move kwa taasisi kiwauwajibikaji mko poor ndiomana mnataka kutumia cheapest options za kijambazi,.

Kuna biashara nyingi sana hawatoi risiti za EFD na ziko bize usiku na mchana na hatuwaoni mmekalia Rushwa ndiomana hamna territorial allocation ya duty stations mnakaa ofisini. Had it been mkawa na mobile daily surveillance, CBD zote hamko efficient.
Biashara za politicians hasa wa Chama na serikali hamfanyi mnaogopa.

Hii ni hatari hii move mnavyofanya the assumption ni kuwa trend ya kimapato ni mbaya kwa mfumo rasmi mmeamua kutumia njia cheap ya kijima kuonea watu, mnajua msipofika lengo mtahukumiwa nyie na vitambi vyenu.

Anzeni na staffs wenye magorofa na assets kibao ambazo hazifanani na mishshara yao na wao wawape kodi na vielelezo vya hizo assets na biashara zao.

Jivikeni kengele tuwaone kama mna uzalendo.

Kodi ni jambo la msingi sana tatizo hamna audacity na integrity ya mnachofanya, hamko clean kwenye corruption, negligence, uncoordinated plans and strategies. Hamko scattered na hamko genuine kiutendaji.
Wawekezaji wadogo hawana friendly enablers za kibiashara na kukuza mitaji, hamna incubation models, hamna parenting kwa wafanyabiashara. Mnajua SMEs at a very infant stage. Morale building kwa start ups nyingi hamna, beginners wengi kibiashara are not happy with you. You kill most start ups businesses from registration phase too much, it's disgusting u have tax holidays for larger capital FDI as enablers mnasahau domestic incubation models,

Hii taasisi ur not living up to the expectations of lifting our society economically.

We wish you stations like police instituted with friendly models of operations.

Kama nyie ndio mnafanya Finance, Accounts, na Economics mko hivyo hii nchi litabaki kuwa Utopolo to any new emerging economy state in our region.
 
Mimi tangu nikiwa mdogo sinaga hulka na wanaume.
Na ukiona mwanamke anateswa na mwanaume jua ni mvivu, mwanamke akiwa na vijipesa vidogo vidogo kama vi laki havikosi ndani kodi amelipa gesi kanunua, vinatumizi kanunua mwanaume wa kazi gani?
Huujui Kazi ya mwanaume?? Ashk Nani anazituliza???
 
Back
Top Bottom