Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Kuna mtu anamiki kampuni ya mabus, tunapanda tunalipa nauli na kusafirisha mizigo, anamiliki radio, tunasikiliza tunashirikiana naye anafanikiwa.
Fedha zetu za nauli anazitumia kuhonga kwa tume na wagombea asipige kampeni Bali apite bila kupingwa. Mtu huyu anashindwa kujua riziki inatoka kwa Mungu, anashindwa kujua kuna siku mali tutaziacha hapa Duniani. Anashindwa kujua dua za wanannchi wanaolilia haki ipo siku zitapokelewa na ataadhibiwa.
Unamiliki mabilioni ya fedha unaongaje kupata milioni kumi kwa mwezi? Unaongaje kupata kiinua mgongo za milioni mia tatu kwa miaka mitano? Mbona haya ni mapato yako ya siku?
Kwanini ufike mahali ushindwe kupambana jukwaani na mwenzako hadi utumie fedha kununua madaraka? Kuwapa watendaji wa serikali mafuta na usafiri kunakufanya wewe uwe exceptional kwenye uchaguzi? Kama unaamini umefanya kwanini usiende kwa wananchi kuwaeleza ulichofanya?
Naumia sana kuona huyu mzee anajiingiza kwenye Mambo ya giza wakati anao uwezo mkubwa wakumtumikia Mungu, kuwatumikia wananchi kwa haki na kusimamia adhi yake.
Huyu mzee sidhani kama alipaswa kuwa hapa alipo Sasa, natamani nikae nae Kama dada yake nimkanye ila sina nafasi yakumwona. This is not Abood i use to know! Lipo tatizo, uwezi kuwa mwema utotoni ukawa shetani uzeeni, it marks bad ending.
Fedha zetu za nauli anazitumia kuhonga kwa tume na wagombea asipige kampeni Bali apite bila kupingwa. Mtu huyu anashindwa kujua riziki inatoka kwa Mungu, anashindwa kujua kuna siku mali tutaziacha hapa Duniani. Anashindwa kujua dua za wanannchi wanaolilia haki ipo siku zitapokelewa na ataadhibiwa.
Unamiliki mabilioni ya fedha unaongaje kupata milioni kumi kwa mwezi? Unaongaje kupata kiinua mgongo za milioni mia tatu kwa miaka mitano? Mbona haya ni mapato yako ya siku?
Kwanini ufike mahali ushindwe kupambana jukwaani na mwenzako hadi utumie fedha kununua madaraka? Kuwapa watendaji wa serikali mafuta na usafiri kunakufanya wewe uwe exceptional kwenye uchaguzi? Kama unaamini umefanya kwanini usiende kwa wananchi kuwaeleza ulichofanya?
Naumia sana kuona huyu mzee anajiingiza kwenye Mambo ya giza wakati anao uwezo mkubwa wakumtumikia Mungu, kuwatumikia wananchi kwa haki na kusimamia adhi yake.
Huyu mzee sidhani kama alipaswa kuwa hapa alipo Sasa, natamani nikae nae Kama dada yake nimkanye ila sina nafasi yakumwona. This is not Abood i use to know! Lipo tatizo, uwezi kuwa mwema utotoni ukawa shetani uzeeni, it marks bad ending.