Uchaguzi 2020 Huyu siyo Abood ninayemjua. Huwezi kuwa mwema utotoni ukawa shetani uzeeni

Uchaguzi 2020 Huyu siyo Abood ninayemjua. Huwezi kuwa mwema utotoni ukawa shetani uzeeni

Shida hapo sio Abood ni waluguru kichwani maboga tu! Yaani kusaidiwa bus kuwapeleka Kola makaburini na kurudi pale msiba unapotokea Manispaa ya Morogoro utawambia nini juu ya Abood Waluguru!!!
 
Swali gani sasa?yaani kuumiza kichwa huwezi unauliza swali la kitoto,kama angekuwa hana uhakika angekuja hapa kuandika?yani jiwe amewapumbaza sana.

Mkuu mambo ya rushwa ni ya siri,ndio maana alivyotoa tuhuma hizo nimeshangaa bila kuweka ushahidi ulio bayana
 
Taarifa ya rushwa aliyomwaga mtu huyu kwa ofisi ya mkurugenzi na jeshi la polisi ikiwekwa hadharani nchi itatikisika
 
Chama cha Mapinduzi kitapeleka wengi sana jehanamu kwenye moto wa milele.
Imeandikwa, ashirikianaye na mwovu au kuunyamazia uovu machoni pake hata kimbia hasira za Mungu.
Yuda alihongwa dinari 30 na hakuna mstari unaosema alichuma dhambi,
 
Abood useless kabisa mwaka wa 10 huu kihonda tangu ipanuke na kuwa mji mkubwa lakini Kuna shida za maji Wala hajisumbui kupiga kelele huko bungeni .

Yeye na biashara zake tu

Huyu jamaa alipaswa atoke hapo na yeye anajua watu wamemchoka

Ila Sasa nguvu ya pesa inamfanya abaki hako .
 
Kasaidie wananchi misiba, ndoa na sherehe utarajie kupewa Jimbo mikoa ya Arusha na kilimanjaro.

Kwahiyo Arusha na kilimanjaro mnapewa nini na nini mpaka unatoa kura ,? Pombe na ganja au?
 
Kuna mtu anamiki kampuni ya mabus, tunapanda tunalipa nauli na kusafirisha mizigo, anamiliki radio, tunasikiliza tunashirikiana naye anafanikiwa.

Fedha zetu za nauli anazitumia kuhonga kwa tume na wagombea asipige kampeni Bali apite bila kupingwa. Mtu huyu anashindwa kujua ridhiki inatoka kwa Mungu, anashindwa kujua Kuna siku Mali tutaziacha hapa Duniani. Anashindwa kujua dua za wanannchi wanaolilia haki ipo siku zitapokelewa na ataadhibiwa.

Unamiliki mabilioni ya fedha unaongaje kupata milioni kumi kwa mwezi? Unaongaje kupata kiinua mgongo za milioni mia tatu kwa miaka mitano? Mbona haya ni mapato yako ya siku?

Kwanini ufike mahali ushindwe kupambana jukwaani na mwenzako hadi utumie fedha kununua madaraka? Kuwapa watendaji wa serikali mafuta na usafiri kunakufanya wewe uwe exceptional kwenye uchaguzi? Kama unaamini umefanya kwanini usiende kwa wananchi kuwaeleza ulichofanya?

Naumia sana kuona huyu mzee anajiingiza kwenye Mambo ya giza wakati anao uwezo mkubwa wakumtumikia Mungu, kuwatumikia wananchi kwa haki na kusimamia adhi yake.

Huyu mzee sidhani kama alipaswa kuwa hapa alipo Sasa, natamani nikae nae Kama dada yake nimkanye ila sina nafasi yakumwona. This is not Abood i use to know! Lipo tatizo, uwezi kuwa mwema utotoni ukawa shetani uzeeni, it marks bad ending.
Hawa ni sawa na watu kama Gwajima, hawaendi bungeni ili kuongeza kipato ingawa wanaongeza. Lengo lao kubwa ni kujiwekea ulinzi dhidi ya maovu yao! Basi!
 
Kwahiyo Arusha na kilimanjaro mnapewa nini na nini mpaka unatoa kura ,? Pombe na ganja au?
Elimu elimu elimu, Rombo.. Prof Adolf mkenda, siha... Dr mollel, vunjo... Dr Kimei, same... Dr mathayo , Moshi ...prof Ndakidemi
 
Kuna mtu anamiki kampuni ya mabus, tunapanda tunalipa nauli na kusafirisha mizigo, anamiliki radio, tunasikiliza tunashirikiana naye anafanikiwa.

Fedha zetu za nauli anazitumia kuhonga kwa tume na wagombea asipige kampeni Bali apite bila kupingwa. Mtu huyu anashindwa kujua ridhiki inatoka kwa Mungu, anashindwa kujua Kuna siku Mali tutaziacha hapa Duniani. Anashindwa kujua dua za wanannchi wanaolilia haki ipo siku zitapokelewa na ataadhibiwa.

Unamiliki mabilioni ya fedha unaongaje kupata milioni kumi kwa mwezi? Unaongaje kupata kiinua mgongo za milioni mia tatu kwa miaka mitano? Mbona haya ni mapato yako ya siku?

Kwanini ufike mahali ushindwe kupambana jukwaani na mwenzako hadi utumie fedha kununua madaraka? Kuwapa watendaji wa serikali mafuta na usafiri kunakufanya wewe uwe exceptional kwenye uchaguzi? Kama unaamini umefanya kwanini usiende kwa wananchi kuwaeleza ulichofanya?

Naumia sana kuona huyu mzee anajiingiza kwenye Mambo ya giza wakati anao uwezo mkubwa wakumtumikia Mungu, kuwatumikia wananchi kwa haki na kusimamia adhi yake.

Huyu mzee sidhani kama alipaswa kuwa hapa alipo Sasa, natamani nikae nae Kama dada yake nimkanye ila sina nafasi yakumwona. This is not Abood i use to know! Lipo tatizo, uwezi kuwa mwema utotoni ukawa shetani uzeeni, it marks bad ending.
Mwachie ashibe malipo ni presha ya macho na moyo wewe usiogope Tahiti akizid neemeka mbele ya Mungu sote nikama majani Tu.
 
Kila siku ni vilio tu huko chadema yaani hakuna jema wanaloona hawa jamaa.

Negative minded people.
 
Inabidi apigwe vikwazo vya kiuchumi huyo abood. Inatakiwa watu wagome kupanda mabasi yake mpaka ajiuzulu ubunge.
 
Kuna mtu anamiki kampuni ya mabus, tunapanda tunalipa nauli na kusafirisha mizigo, anamiliki radio, tunasikiliza tunashirikiana naye anafanikiwa.

Fedha zetu za nauli anazitumia kuhonga kwa tume na wagombea asipige kampeni Bali apite bila kupingwa. Mtu huyu anashindwa kujua ridhiki inatoka kwa Mungu, anashindwa kujua Kuna siku Mali tutaziacha hapa Duniani. Anashindwa kujua dua za wanannchi wanaolilia haki ipo siku zitapokelewa na ataadhibiwa.

Unamiliki mabilioni ya fedha unaongaje kupata milioni kumi kwa mwezi? Unaongaje kupata kiinua mgongo za milioni mia tatu kwa miaka mitano? Mbona haya ni mapato yako ya siku?

Kwanini ufike mahali ushindwe kupambana jukwaani na mwenzako hadi utumie fedha kununua madaraka? Kuwapa watendaji wa serikali mafuta na usafiri kunakufanya wewe uwe exceptional kwenye uchaguzi? Kama unaamini umefanya kwanini usiende kwa wananchi kuwaeleza ulichofanya?

Naumia sana kuona huyu mzee anajiingiza kwenye Mambo ya giza wakati anao uwezo mkubwa wakumtumikia Mungu, kuwatumikia wananchi kwa haki na kusimamia adhi yake.

Huyu mzee sidhani kama alipaswa kuwa hapa alipo Sasa, natamani nikae nae Kama dada yake nimkanye ila sina nafasi yakumwona. This is not Abood i use to know! Lipo tatizo, uwezi kuwa mwema utotoni ukawa shetani uzeeni, it marks bad ending.
Inasikitisha jinsi ccm wanavyovuruga uchaguzi mkuu, walivuruga ule wa serikali za mitaa mwaka jana, watu wakawachukulia poa tu, mwaka huu tusikubali ushenzi huu urudiwe.
 
Katika wanasiasa wavumilivu, Abood ni mmoja wapo. Huko nyuma kila alipokuwa akigombea, jina lake lilikuwa linafyekwa likifika Dodoma. Ameshafyekwa si chini ya mara mbili ila hakukata tamaa. Nakumbuka alishawahi kuwapa CCM Landcruiser mkonga nje (pick up la kijani kama sikosei). Sasa naona ni zamu yake kuvuna.
Hakuna zamu ya kuvuna kwa hila acheni ujinga huu.
 
Back
Top Bottom