Mimi Morogoro napajua. Huyu mzee hana lolote lileSio kweli. Kwenye ukweli pasemwa, jamaa hakuna anaeweza kusimama nae na akashinda hapo morogoro. wananchi wanamkubali sana. Huwa anashinda kihalali kabisa bila zengwe.
Mimi pia napajua... na nilishawahi simamia uchaguzi awamu moja... na nimeona jinsi anavyopendwaMimi Morogoro napajua. Huyu mzee hana lolote lile
Anakusaidieni kuzikaMimi moro napajua. Huyu mzee hana lolote lile
Au Pesa ya kampeni jimboni kaambiwa aipeleke "juu"?Abood pesa zake za kupigia kampeni kahonga polisi na tume ili apite bila kupingwa sababu anajua hawezi shinda morogoro
Amewahi kupigiwa kura?Mimi pia napajua, na nilishawahi simamia uchaguzi awamu moja, na nimeona jinsi anavyopendwa.
Huyu mzee hajawahi kuingia kwa sanduku la kura. Yeye ni mapingamizi, kuhonga na kununua. Hiyo ndiyo jadi yake, amezoea vya kunyonga sasa safari hii amekutana na kisiki.Anakusaidieni kuzika
NdioAmewahi kupigiwa kura?
Sehemu ambayo ccm hawana pesa za kampeni Ni lazima wapite bila kupingwa,Au Pesa ya kampeni jimboni kaambiwa aipeleke "juu"?
Mwaka gani!Ndio
Miaka yote ambayo Abood ameanza kuwepo kwenye balot paper kama mgombea ubunge jimbo la Morogoro Mjini.Mwaka gani!
Mkuu, acheni kulinganisha vitu vya kipumbavu na Mandiko matakatifu,Chama cha Mapinduzi kitapeleka wengi sana jehanamu kwenye moto wa milele.
Imeandikwa, ashirikianaye na mwovu au kuunyamazia uovu machoni pake hata kimbia hasira za Mungu.