kasulavenance
JF-Expert Member
- Jan 23, 2020
- 759
- 914
Hapo ndio utajua ni kwanini mpaka muda huu hajapata mme mpaka ameamua kuanza kutongoza!!Wewe hujaolewa umeshaanza kuita wanaume mashetani, anza kujifunza kuchunga ulimi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ndio utajua ni kwanini mpaka muda huu hajapata mme mpaka ameamua kuanza kutongoza!!Wewe hujaolewa umeshaanza kuita wanaume mashetani, anza kujifunza kuchunga ulimi.
Duh bonge la mcharuko! unaona majibu yake huyu dada atabaki MSIMBE MILELE ni wakupigwa PAPUCHI na kuachwa tu!! hatapata mme!!Taratibu unaonyesha tabia zako humu, na hizi ndio zinapelekea usiwe marketable huko mtaani mpaka ukaja kujiuza humu.
Watu wanakusoma, kama nilivyokwambia mwanzo we hakuna kitu kichwa kimejaa mifupa hakuna brain mama, unamiliki uke na mwili ila kichwani ndio ivo tena.
Saivi watu hawaoi uke na mwili we look for brains
Utapata tabu sana[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mabaharia wa JF watamla tunda kimasihara na hataamini macho wala masikio yake[emoji1787][emoji1787]Duh bonge la mcharuko! unaona majibu yake huyu dada atabaki MSIMBE MILELE ni wakupigwa PAPUCHI na kuachwa tu!! hatapata mme!!
sababu tusiwachukulie poa kirahisi..imagine pesa huna afu nikukute una kibamia afu utaki kuzama uvinza afu uwe na kaufupi flan kakukera yaaan daaah kmmk...naeza rudisha mahari.
na wewe sura ukiwa huna na MAUNO nayo shida.kichwani zero brain zaidi ya kujua tu aina tofauti za condoms na flavour zake!! na jumlisha kupenda hela tu wakati hata kazi huna!Aiseee, aiseee daaaah noma
Sent from my iPhone using JamiiForums
Joanah, msaidieni huyo, anaonekana mdomo wake hauna breki, sio kwa majibu hayo ya shobo.At whateva age...unatakiwa kuwa humble
Tatizo wengine wanadhani kuwa 'smart' ni kupata 'A' grade darasani tu!....be smart my Dia.
sababu tusiwachukulie poa kirahisi..imagine pesa huna afu nikukute una kibamia afu utaki kuzama uvinza afu uwe na kaufupi flan kakukera yaaan daaah kmmk...naeza rudisha mahari.
Wana mastress kama yote hao madogiiMtu anatafuta bwana wengne wanadrop kwenye uzi kumpiga majungu. Km huna interest tembea kwan threads si kibao tu
Yah angalau unakua na sababu ya kuvumiliaHiyo 'kmmk' maana yake nini?
Kwahiyo kama mtu hana hela alafu akiwa hana kibamia na huko chumvini anazama na ni mrefu ni sawa tu?
YAh iko ivoDah....angalau umekuwa "mkweli"...kila siku huwa nawashangaa "watafutaji" ....Sifa za mwanaume ni mbili tu...Nguvu za uchumi na nguvu za "misuli"...msijidanganye [emoji2960]
Sent using Beretta ARX 160
😂 😂 kwel ni stressWana mastress kama yote hao madogii
na wewe sura ukiwa huna na MAUNO nayo shida.kichwani zero brain zaidi ya kujua tu aina tofauti za condoms na flavour zake!! na jumlisha kupenda hela tu wakati hata kazi huna!
Mtu na maisha yangu mimi usiniite dem.Ila we demu konyo kmmk.[emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo 'kmmk' maana yake nini?
Kwahiyo kama mtu hana hela alafu akiwa hana kibamia na huko chumvini anazama na ni mrefu ni sawa tu?
Kwa umri huo hakosi tena usikute huyo mtoto kapatikana kwa uwezo wa roho mtakatifuUna mtoto!?