Hahaha , mimi toka nina miaka mi 5 uzuri mmoja Biblia niliimeza kichwani yoteπAnafikiri wote hatujatoka Huko..
Hii ni sawa na Mtoto wKo mwenyewe anapobalehe anaanza kukudanganya Vitu anahisi Wewe Hukupitia Balekhe..
Na ukiona hivyo unakuwa unamkubalia Ili aendelee kukuona Hujui ili awe huru π π
Huo ujuaji ndio ulimtoa Lucifer Mbinguni akatupwa chini kabisa gizani.Anafikiri wote hatujatoka Huko..
Hii ni sawa na Mtoto wKo mwenyewe anapobalehe anaanza kukudanganya Vitu anahisi Wewe Hukupitia Balekhe..
Na ukiona hivyo unakuwa unamkubalia Ili aendelee kukuona Hujui ili awe huru π π
Mkuu unaelewa kwamba hata hizo mbanga za shetani kuwa nazo hazipoπ π πHaipo Elimu iliyo juu zaidi ya walokole.
Mlokole ni habari ingine, muulize baba yenu Shetani atawaambia na kuthibitisha.
Hakuna Mtu aliyekuwapo wakati wowote akiitwa lucifer..Huo ujuaji ndio ulimtoa Lucifer Mbinguni akatupwa chini kabisa gizani.
Elimu atupayo Roho mtakatifu yatosha kabisa.
Soma Isaya 54:16Hapa kwenye kuuokoa ulimwengu inanichanganya,yeye ni muweza wa yote inakuwaje aumbe watu watu waliomgeuka?
Hawa watu wana uwezo mkubwa kuliko yeye aliyewaumba?
Mimi natamani umuambie hata huyo roho mtakatifu pia hayupo, ili aanze kujitafuta yeye kama yeye πππ€Hakuna Mtu aliyekuwapo wakati wowote akiitwa lucifer..
Jina la lucifer limeanza kutumika kwenye Bl8blia ya Vulgate Karne ya 10 huko ila hapo kabla hakukuwepo ba Jina Hilo...
Kingine Roho mtakatifu hatoi elimu yoyote zaidi ya Kukufundisha yaliyopo.
π€£Mkuu unaelewa kwamba hata hizo mbanga za shetani kuwa nazo hazipoπ π π
Leo hii nikikuambia mimi ni huyo isaya utasadiki?πSoma Isaya 54:16
Nimemwumba mharibifu aharibu.
Yote yapo Kwa mapenzi yake, usimchunguze Mungu,
Muulize akufafanulie usoyajua.
Mungu na shetani hizo ni dhana tu hakuna kitu kama hichoπ€π€£
Wewe huamini uwepo wa Mungu,Leo hii nikikuambia mimi ni huyo isaya utasadiki?π
Bible imetwambia asemaye hakuna Mungu ni mpumbavu.Mungu na shetani hizo ni dhana tu hakuna kitu kama hichoπ€
Unajua mkuu mimi nakiona hicho kichaa chako, kama nivyoona tufe la dunia π π π hapo tumetoka sasaWewe huamini uwepo wa Mungu,
Level Yako ni duni sana.
Mungu akusaidie.
Lucifer ni Malaika Si mtu.Hakuna Mtu aliyekuwapo wakati wowote akiitwa lucifer..
Jina la lucifer limeanza kutumika kwenye Bl8blia ya Vulgate Karne ya 10 huko ila hapo kabla hakukuwepo ba Jina Hilo...
Kingine Roho mtakatifu hatoi elimu yoyote zaidi ya Kukufundisha yaliyopo.
Karibu πUnajua mkuu mimi nakiona hicho kichaa chako, kama nivyoona tufe la dunia π π π hapo tumetoka sasa View attachment 3156259 nnje ya mada kama unavyotakaππππ
Wapi nimemlazimisha mtu?Wewe kama unaamini huyo ndio Mungu wako poa tu..., kwanini ulazimishe na wengine wamuamini ? Nadhani huko ni kukosa ustaarabu.., After all ni Imani wewe uaminiye huyo hauna tofauti na anayeamini Jiwe au Mzimu nyote ni Imani zenu...
Sasa unajuaje hio elimu aliyekupa wewe huyo roho mtakatifu sio aliyempa na huyu hadi akapata upembuzi wa kupembua anavyopembua ? Kwanini Elimu hii wapewe minority ?Huo ujuaji ndio ulimtoa Lucifer Mbinguni akatupwa chini kabisa gizani.
Elimu atupayo Roho mtakatifu yatosha kabisa.
Mungu ni MMOJA,Sasa unajuaje hio elimu aliyekupa wewe huyo roho mtakatifu sio aliyempa na huyu hadi akapata upembuzi wa kupembua anavyopembua ? Kwanini Elimu hii wapewe minority ?
You nailed it.Yesu akamjibu shetani, imeandikwa " Usimjaribu BWANA Mungu wako,
Sasa shetani hakubisha Yesu alipomjibu kuwa Mungu Usimjaribu.
Kisha shetani akamwacha, Malaika wakashuka kumhudumumia.
Shetani anajua Yesu ni Mwana wa Mungu/ Mungu.
Waulize hata Waganga wako wa kienyeji wapiga ramli kuwa Yesu ni nani, watakwambia.