I need a friend to text me love me and share good things

sasa wewe maua unaezaje kujitekenya mwenyewe ukajicheka mwenyewe? umeona ukimbie kule uje kivingine huo n uzima? achana na bangi tumia matembele ndio size yako
Umewahi kuniona mahali unajazba sana shida nini ?? Halafu unaniombea njaa wah!mungu hanipi njaa atawapa maadui zangu njaa upo bibie uwaze kuwa mie sijui nyani ,nyuni hawayani shauri yako sikujui hujui yaanini nihangaike nawewe. Pambana na hali yako kwani wewe hujijibu mwenyewe shughulika na maisha yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…