Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
πππππ€£π€£π€£
unaona mimi ni chizi mwenzio au sio? unapatikana wapi labda naweza kuwa msaada kwako, nitahakikisha unameza dawa zako za akili kwa wakatiNa wewe
ππππ Da mau brand kubwa
Hakii mimi nimesalendaπππMi jeshi la mtu mmoja da mau mwenyewe anajua na niko hapa kutengua mabomu wanayomrushia ππππ
Bora jf kuchangamkeMi jeshi la mtu mmoja da mau mwenyewe anajua na niko hapa kutengua mabomu wanayomrushia ππππ
Atarudi huyu hawatoboi week na da mau
Hiyo bipolar msaidien kumpata mtaalamu !! watu wa design hii mtazichanga anaweza kuzitoa bank na kuzitia kibiriti note zote !! kuhandle hisia kwao ni ngumu sana !!Serious maana hizi ni fedhea sasa maana kama bipolar imepitilizaππ
aendelee tu kuniweka kwenye list lakini ukweli ataambiwanyie endeleeni kumchokoza π€£π€£ yuko anahesabu maadui zake !!
Jirani tusaidiane kuitetea brand ya da mau πππHakii mimi nimesalendaπππ
Yaani hili nalo tatizo.. wacha nimtafutie kwanza psychologist πHiyo bipolar msaidien kumpata mtaalamu !! watu wa design hii mtazichanga anaweza kuzitoa bank na kuzitia kibiriti note zote !! kuhandle hisia kwao ni ngumu sana !!
Hivi hapa watu wanazungumzia maua huyu pipi tamu kajaa nyembe π€£π€£π€£ hawaamini kama wa wana shida
ππππ Nimekatazwa kucheka ujueBora jf kuchangamke
Kulipia sana humuπ€£π€£π€£
Hutoboi week tupo hapa π π π πShoga da mau anasema mi simpendi nawasapoti wanaomsema..!! Kwahiyo ss hivi nimeamua kuvaa mabomu niko upande wake π€£π€£π€£π€£π€£
Huku sio ulaya therapy ni kwa nguvu unataka au hutaki !! hata viboko vinatumika kuweka watu sawa !!aendelee tu kuniweka kwenye list lakini ukweli ataambiwa
sasa najijibu mwenyewe umesikia mimi ni taaira kama ww? mimi nnazo timam zako zimepunguaUmewahi kuniona mahali unajazba sana shida nini ?? Halafu unaniombea njaa wah!mungu hanipi njaa atawapa maadui zangu njaa upo bibie uwaze kuwa mie sijui nyani ,nyuni hawayani shauri yako sikujui hujui yaanini nihangaike nawewe. Pambana na hali yako kwani wewe hujijibu mwenyewe shughulika na maisha yako.
Kila tukijaribu kuipandisha anaishusha tena kwa speed ya 5Gπππ.. Palipobaki apambane na hali yake, me nishanyoosha mikono juuππJirani tusaidiane kuitetea brand ya da mau πππ
Uzi ufungwe. Mmarekani kawahi.Here I am, karibu
Kama ulikuwa hujui una kipaji cha kuwa mc fanyia kazi hilo, hata Tayana-wog atanisapotMi jeshi la mtu mmoja da mau mwenyewe anajua na niko hapa kutengua mabomu wanayomrushia ππππ
Mi ndo namjulia yule ππππHutoboi week tupo hapa π π π π