Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
Muache afe unamuonea huruma kaweka Namba ya Muamala tuma million sasa hivi ili asifeMkuu,
Pole sana kwa unayopitia, maisha yana ups na downs nyingi na changamoto ni sehemu ya maisha.
Labda useme nini hasa unapitia ili upate msaada hata wa kimawazo, watoto bado wadogo wanakuhitaji kuliko unavyodhani.
Kama kweli haujaona uhusiano wake na mada ya mdau basi Mkuu hatuwezi kukaa meza moja kujadili hili swala.Hili lina uhusiano gani na mada mkuu?
We mbwa unaniua mimi kwa kucheka 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Muache ajiue na kishajiua anaandike tena JF kwamba wana JF nimeshajiua
SawaMuache afe basi Wewe vipi ona ona huruma tuma laki kaweka Namba ya Muamala hapo
Adante mkuu nashukuru.ntapambana nayo tuNjoo pm nimalize shida zako,
Acha kuishi kinyonge.
Na kuna mapunguani yanamchangia Hela Muda huu kwa kumrushia miamala ndio kumuonea huruma walipwe na Mungu leo Jumapili acha waliwe mpaka akili ziwakae sawa
Hii ni chai unazani kujiua ni kitu rahisi kama kunya tuliza futa hiloKuna nyakati kama huwezi ku act kama mtu mzima bora ukae kimya mkuu🙏
Ukiona mtu anaongelea kujiua ni very serious issue na mara nyingi wasipopata msaada wanaishia kujiua kweli mkuu.
Utajisikiaje ukijua huyu mtu uliyemdhihaki kajiua kwel kaacha wanae?
Tambua JF watu wengi ni wapweke hawana wa kuongeq nao na mimi na wewe ndio ndugu zao.
Ongea jambo limponye kama ni chai atajua mwenyewe🙏🙏
Muacheni ajiue nyie Jamaa mboni mnamkwamisha malengo yake ya kujiua km hamtaki ajiue kila mmoja atume millionWe mbwa unaniua mimi kwa kucheka 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hata mwanamke kamshinda ujasiri huyo boya mleta uzi 😂Mkuu hizo sio akili zako.
Depression ndo inakuletea hayo mawazo,inakudanganya uone kila kitu ni kibaya ila sio kweli mana una vitoto vyako vizuri.Hao ni sbb tosha ya wewe kutamani kuendekea kuishi.
Sasa wewe baba yao jembe lao,mwalimu wao,kipenzi chao,mlinzi wao na tena shujaa wao ukifa nani atakava hizo nafasi?
Nikwambie kitu!Haijalishi leo unapitia nini wewe na wanao ambao ndio faraja yako,trust me hivyo vijamaa kuna siku vita graduate,,vitaoa,vitanunua gari zao za kwanza,vitagombana na kuapizana undugu ufe na vitapata changamoto kama unqzopitia wewe leo sasa je hutamani kuwepo hayo yote yatakapowatokea?Nani atasimama nao kama sio wewe?
Mkuu mimi ni mwanamke ila ije jua ije mvua hqjiui mtu hapa sasa iweje wewe wa kiume ujiue?
Kama shida wote tunazo ila tunapambana hivyo hivyo.
Wewe sio dhaifu kiasi hicho mkuu usijiue.🙏🙏🙏🙏😍😍😍
WordMkuu,wewe ishi kivyako,huwezi kuwacontrol binadamu wawaze au wafanye unavyotaka wewe.
Vigogo wapo tele humu, kutwa kupigana vijembe vya uchaguzi, mara CCM, mara Mbowe, Mara Chadema, Mara Lissu, Mara January, Mara Nape, Mara Makonda... Uchawa uchawa tu... Huku wamesunda mabilioni ya wizi na wamejificha nyuma ya anonymous ID's isipokuwa mheshimiwa Dr. Mwigulu Nchemba Dorothy Gwajima na Pascal Mayalla labda hao ndo wanajulikana... Sasa hao wawasaidie hawa hata tupesa twa kufungulia magenge ipunguze hizi case za Kujiua hovyo!Kiufupi inaonekana jamaa anakabiliwa na tatizo la kiuchumi yaani fedha na inavyoonekana anakosa hadi hela ya kulisha watoto wake ambao ndio faraja yake kwa hiyo kwa kutoa namba kwanza anahitaji kazi ambayo itampatia fedha ...inaonekana yupo kwenye deep depression kwa hy kama una kazi au chochote kitu okoa uhai
Asante
na hao ndo huwaga vichokoo vya vurugu za urithi majumbani.Hata kwenye familia Kuna wale watoto watukutu hawaishiwi mambo, mara kujiua , kudokoa, mara ooooooh,
Subiria kwanza upige kura ndo uendelee nasafari Yako, kura Yako ni ya muhimu.
Miamala isomer humo! Huyu hajala tuu na hajui hela ya kula ataitolea wapi. Full stopJe namba ya simu ya nini, sawa....but Jesus loves you.