Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Covax Huy aibiwe milion 70 kaitolea wap na biashara yake kubwa ni kukopesha neti na vitu vya plastiki majumbani. Muha huyuMkuu ushawai kushika 70m π€, au hapa unatumia psychology tactics kumfanyia canceling jamaa
Akakate wenge na bapa huku akishika kalio la muhudumUmeweka namba ya simu ili iweje? Dunia haihitaji kuonyesha huruma,pambana na life,
Au unataka uchangiwe hela za bure ili ukalewe?
Africans never rest, even after death, they work as ancestors.Hivi watu wana uhakika kifo ndio muda wa mapumziko?
a quick death but not a shortcutSucide is 'a short cut' to go to heaven, though heven is abstract to us.
WrongAfricans never rest, even after death, they work as ancestors.
Mkuu hilo lisikupe shida liache kama lilivo lipite, alinisaidia au alikusaidia muhimu mleta mada aelewe kwamba maisha lazima ya endelee no matter chagamoto unazo pitia.Covax Huy aibiwe milion 70 kaitolea wap na biashara yake kubwa ni kukopesha neti na vitu vya plastiki majumbani. Muha huyu
Tena lipikwe na mchele wa pishori ule wa kiarabu na kihindi, na ampishi awe demu wa kisomali... Lazima ujikojolee kwa utamu ππKumbuka Kuna pilau duniani au wewe hupendi pilau
Mwaisa kasepa katuona sisi mafara amesha pata bunda tiyali yupo mgawani anakunywa supuTena lipikwe na mchele wa pishori ule wa kiarabu na kihindi, na ampishi awe demu wa kisomali... Lazima ujikojolee kwa utamu ππ
Mleta Mada anataka Hela sio ushauri kwa hio kuna mawili muache ajiue au mtumie Hela Namba ya Muamala kakuwekea hapo usipotuma muamala anajiuaAdante mkuu nashukuru.ntapambana nayo tu
Mwisho wa siku tunabadili ID, tunaomba kazi hata za laki mbili au tatu... Tunapata, maisha yanaendelea ππUsikate tamaa bro mi mwenyewe na matatizo ila naogopa kusema maana nilishawahi kujidai tajiri Jf
Umesahau,Pilau pia liwekwe na mayai na mbatata,huku Pepsi baridi inakusubiri pembeni huku ikivuja lile jasho la ubaridi wake.Tena lipikwe na mchele wa pishori ule wa kiarabu na kihindi, na ampishi awe demu wa kisomali... Lazima ujikojolee kwa utamu ππ
Kweli ukute kufo ndio mwanzo wa shughuli sasaπππHivi watu wana uhakika kifo ndio muda wa mapumziko?
Mbona kachumbari hamna hapo?! π€π€π€Umesahau,Pilau pia liwekwe na mayai na mbatata,huku Pepsi baridi inakusubiri pembeni huku ikivuja lile jasho la ubaridi wake.