Ibrahim Ajibu Migomba aibukia TP Mazembe

tukiachana na malumbano yote ajibu hakuwa mchezaji wakuwa benchi ni nani awezae kumweka ajibu benchi ni miongoni mwa mambo ambayo lazima mtu ujiulize ni ka yale ya kutompa nafasi kijana wake wa kutumainiwa kisa migomo ya maslahi, hayo ndo mambo ambayo nasema bora TFF iweke wachezaji watano (5) wa ndani, kakolanya ni bongela la kipa ila kapotezwa kwa maslahi ya mtu binafsi, mtu unatoka home unaenda kazini ila watoto hawapatui hata ada?
 
Hahaaaa. Leo hii ndio unasema hivyo Mtani wakati mwezi uliopita mlikuwa mnatutambia kwamba Ajib mnamchukua. 😀😀😀

Mazembe wamewazidi kete huko.
Watu si watakuwa wanajipigia tu sasa hivi
Maana kabakia fei toto peke yake
 
U naongea mambo ya kina nonda ya miaka iyo. Kati ya simba na yanga ni ipi imeuza wachezaji nje we mwenyewe umeona apo umetaja wawili umekauka ni kikushushia list ya simba si utakimbia wewe
 
U naongea mambo ya kina nonda ya miaka iyo. Kati ya simba na yanga ni ipi imeuza wachezaji nje we mwenyewe umeona apo umetaja wawili umekauka ni kikushushia list ya simba si utakimbia wewe
Na wewe taja hao wa miaka hiyo! Btw, sio kutaja wachezaji bali kutaja wachezaji wanaofanya vizuri sana huko walikoenda!!
 
🤪 🤪 kwa hiyo Boban alikosa BANGI ULAYA! Akarudi kuitafuta LYON,Baada ya kuikosa Lyon sasa kaipata Yanga!
 
kacheza ama katia aibu, ana tofauti gani na watford fainali kupigwa 6-0 (kwa akili zako wangeshangilia kucheza fainal) wakati ni aibu tupu
We unafikiri watford kucheza fainali sio mafanikio kwake?... Hata Lipuli kucheza fainali FA ni mafanikio.
we ugulia tu
 
Kweli kabisa... Kama zahera anahusika ndio sawa kabisa.
Acheni vijana wavuke boda tujenge timu nzuri ya taifa
 
Acha kijana akale maisha..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…