Sikiliza brother, tusibishane hapa kwa hisia tu. Tufanye wewe ndiye umepeleka notification huko ICC taja any crime ambayo imetokea wakati wa Uchaguzi na eleza how iwe acceptable kuwa ipo triable na ICC. Nisije kuwa nabishana bure na Ngumbalu hapaπππππHujui chochote.
Ukisema serious crimes unamaanisha nini?
Hiyo serious crimes inaingia kwenye group gani kati ya yale manne ya kesi zinazofanyiwa kazi na hiyo mahakama?
Ndio umejibu maswali yangu?!Sikiliza brother, tusibishane hapa kwa hisia tu. Tufanye wewe ndiye umepeleka notification huko ICC taja any crime ambayo imetokea wakati wa Uchaguzi na eleza how iwe acceptable kuwa ipo triable na ICC. Nisije kuwa nabishana bure na Ngumbalu hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilijua tu hapa nabishana na Ngumbalu.Ndio umejibu maswali yangu?!
Al-Bashir and Gagbo in making!Kuna wajinga humu wanadanganyana hiyo Mahakama haiwezi kuwashughulikia watesi wetu, waacheni waendelee kujidanganya.
Wajue fika watapandishwa kizimbani hata kama ni baada ya miaka kumi, kuwa kwao madarakani sasa hivi kusiwadanganye, hiyo siku yaja, watavuna walichopanda.
Neno "Communication" kwa wale msiojua linamaanisha Hati ya Mashtaka. Hii ni lugha yao kwenye hiyo mahakama.
Msije kudhani linamaanisha mawasiliano.
Usijichekeshe! Mahakama hizihizi ambazo zimefungwa miguu na mikono ili zisifurukute! Au hizi ambazo majaji na Mahakimu wanapambana kusaka uteuzi na ama kulipa fadhila kwa kuteuliwa?Vitendo vilivyotokea havina uzito wa kuingiliwa na mahakama za kimataifa - ni migogoro midogo iwezayo kumalizwa na mahakama za ndani ya nchi
Maswali madogo yamekushinda kujibu unakimbia kijanja, kacheze na watoto wenzio.Nilijua tu hapa nabishana na Ngumbalu.
Naomba fanya hivo alafu ndipo tuendelee na mjadala
Why run away from a backing dog if it never bites? It does so sometimes.Barking dogs on its way and its nature FOR DOGS BARKING IS A NATURES KANYAGA TWENDE
Hebu Rudi ujisome Kama utanielewa nishitue!Barking dogs on its way and its nature FOR DOGS BARKING IS A NATURES KANYAGA TWENDE
Msibishane: Let's wait and see.Ndio umejibu maswali yangu?!
Teh teh tehπππnaona ulikuwa unaomba shule kijanja toka kwangu, lipia fees Mzee njoo PM nikupe shule ha ha ha ha, nimekutana just a simple tusk. Fanya wewe ndiye unapeleka notification au Malalamiko ICC, just I few words utalalamika which crime imekuwa committed with whom angainst who( Maana hii Mahakama in deal na individuals, shule nyingine ya bure maana najua ulikuwa hueleewi) na useme why ICC should assume jurisdictions!Maswali madogo yamekushinda kujibu unakimbia kijanja, kacheze na watoto wenzio.
Huwezi endeleza mjadala na mimi.
Hivi wewe ni mkuda eeh! Isijekuwa ni another bushlawyer from CCM? Yaani hujaiona crime yoyote iliyofanywa na CCM wakishirikiana na dola kwenye Uchaguzi wa October 28?Sikiliza brother, tusibishane hapa kwa hisia tu. Tufanye wewe ndiye umepeleka notification huko ICC taja any crime ambayo imetokea wakati wa Uchaguzi na eleza how iwe acceptable kuwa ipo triable na ICC. Nisije kuwa nabishana bure na Ngumbalu hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Muache kichaa huyo, anajichekesha tu.Hivi wewe ni mkuda eeh! Isijekuwa ni another bushlawyer from ccm? Yaani hujaiona crime yoyote iliyofanywa na ccm wakishirikiana na dola kwenye uchaguzi wa October 28?
Hujasikia Kuna watu wameua na wengine kuteswa na vyombo ya serikali kwa namna moja au nyingine? Hivi kesi za dola unazirudisha kwenye dola hiyohiyo then unaexpect justice? Itendee nafsi yako hisani vinginevyo itakusababishia kisukari!
Ni task, sio tusk.Teh teh teh[emoji23][emoji23][emoji23]naona ulikuwa unaomba shule kijanja toka kwangu, lipia fees Mzee njoo PM nikupe shule ha ha ha ha, nimekutana just a simple tusk. Fanya wewe ndiye unapeleka notification au Malalamiko ICC, just I few words utalalamika which crime imekuwa committed with whom angainst who( Maana hii Mahakama in deal na individuals, shule nyingine ya bure maana najua ulikuwa hueleewi) na useme why ICC should assume jurisdictions!
Umeshindwa na hii ni prove ni muendelezo wenu wajinga na humu mpo wengi kudandia vitu ambavyo hata hamna uelewa navyo!
Mimi pia.Hata mimi nina wasi wasi huo ,tukumbuke tu hawa Watu huwa na Mipango mirefu sana katika kutekeleza Majukumu yao ya namna ya kudili na ma Criminal.
Tujipe Muda.
Unaona ulivo Boya. Fanya kazi nyepesi. Taja kwamba Kuna hii crime imefanywa na fulani na dhidi ya fulani na ICC inaweza kui intertain kwa Sababu hizi.Hivi wewe ni mkuda eeh! Isijekuwa ni another bushlawyer from ccm? Yaani hujaiona crime yoyote iliyofanywa na ccm wakishirikiana na dola kwenye uchaguzi wa October 28?
Hujasikia Kuna watu wameua na wengine kuteswa na vyombo ya serikali kwa namna moja au nyingine? Hivi kesi za dola unazirudisha kwenye dola hiyohiyo then unaexpect justice? Itendee nafsi yako hisani vinginevyo itakusababishia kisukari!
Ha ha ha ha, Beast Kama Beast! Na hii nfiyo silaha yenu siku zote. Just a bunch of Morons!Ni task, sio tusk.
Jinga kweli.
Yes kwa Sababu wamewekwa and they must comply with their Lord's wishes!Hivi unajua kuwa serikali mpya ya Sudan wanafanya majadilio na ICC juu ya Al Bashir???
Endelea tu kuwadanganya wenzako, kwa iyo unamaanisha Tanzania tutakuwa kama Marekani kuwapiga marufuku wachunguzi wa ICC kukanyaga Tanzania???πππ
Mauaji ya wapinzani kwenye Uchaguzi uliopita Zanzibar, Songwe na Mara yakiyofanywa na vikosi vya ulinzi na usalama vinavyoongozwa na Magufuli ambaye ndo Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama sio makosa dhidi ya binadamu hayo?Unaona ulivo Boya. Fanya kazi nyepesi. Taja kwamba Kuna hii crime imefanywa na fulani na dhidi ya fulani na ICC inaweza kui intertain kwa Sababu hizi.
Vinginevyo you are just a Moron like other Morons!