Ccm wao mahakama hizi za hapa nyumbani ni zao, hivyo wao hawahitaji kwenda huko nje.Image CCM nao wakifungua kesi ICC juu ya kijana wa shirikisho la vyuo vikuu aliyeuawa iringa - ICC hapo itakuwa Kisutu!
Mauaji pemba ni migogoro midogo kumbe!Vitendo vilivyotokea havina uzito wa kuingiliwa na mahakama za kimataifa - ni migogoro midogo iwezayo kumalizwa na mahakama za ndani ya nchi
haya matusi yako kwa hiyo mahakama ni mepesi mno ukilinganisha na yale ya kina ghadafi, sadam na madikteta wengine. wee watukane, wadharau lakin in the long rum and at right time they will get you for sure and they will hit you at the most painful spot.Utasubiri Sana brother, nenda kasome vizuri jurisdiction ya hiyo Mahakama and under what curcumstances inaweza ku assume Majukumuu ambayo kimsingi yanapaswa kushughulikiwa na Nchi huska. By the way, hizi ni porojo na Namna ya kujicomfort baada ya kipigo cha Mbwa Koko.
Vitu vingine viko wazi. Take your time, Isomeke hiyo Mahakama, Soma crimes it has jurisdiction to try and kwa Mazingira gani inaweza ku intervene.
Mwisho kabisa, hii Mahakama imeshapoteza Credibility siku nyingi Sana, it is more or less like other Imperialism Machinery and every one's knows that!
Otherwise, endeleni kujifafiji Kama Kawaida yenu!
Mnabwekabweka sana kwenye mitandao hii lakini mambo yenu yanapoishia hayajulikani.Wakati Mugabe anatawala kibabe huko Zimbabwe, na yeye alikuwa anachezea box la kura na kushinda kwa kishindo kama ccm. Siku wananchi wameingia barabarani hakuwa na wapambe. Kura za kwenye mabeg tumeziona kwa macho yetu, uhuni wote dhidi ya mawakala ya upinzani tumeuona, na uchafu mwingine huo. Kama kweli hiyo mahakama itachukua hatua, tuko tayari kupeleka ushahidi wa ushenzi wote uliofanyika.
Mkuu achana na misukule hiyo. Yaani kabisa mtu anasema mahakama zetu zinaweza kuhoji uvunjifu wa haki za binadamu,uporaji haki ya kuishi uliofanywa na mlipaji na mteuaji hao watendaji wa mahakama!
Inashangaza sana kuwa na watu wenye uelewa finyu nanma hiyo hapa JF.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ishu sio kuwekwa je bashiru ajafanya crime against humanity, kauwa wangapi darfur kwa kumiliki Makundi ya kigaidi mfano janjaweed ili kuwauwa black wa kusini Hadi wakaamua kujitenga.Yes kwa Sababu wamewekwa and they must comply with their Lord's wishes!
Mmmmm, Sarungi ni kiboko. Jasho watu linawatoka, akili zinafunguka, preasure inapanda kisa barua kutua ICC.Hawaelewi vitu hivyo huwa confidential kwanza wao wakaenda vyombo vya habari pili barua zimeandikwa na individuals sio taasisi!!!
Mfano Zitto Kabwe kaandika yeye Kama yeye Hakuna kikao chochote Cha chama iwe mkutano mkuu ulioamua yeye kajilalia kaamka kaandika.
Maria Sarungi hakuwa hata mgombea udiwani Wala ubunge kajiiibukia tu.
Ndio maana unaona wamejibu kuwa wanaangalia approriateness ya hicho kilichokuwa submitted Kama kimekidhi vigezo ila kwa haraka nikusaidia havijakidhi vigezo.
Wanaotaka kupeleka mashtaka ICC kwanza Ni member countries wa ICC pili UN waweza peleka tatu maofisa wa ICC wenyewe.
Na waweza shughulikia kesi zile tu haziko mahakama ya nchi husika mfano watu wamekamatwa kwa makosa unayoyasema wameshikwa ICC haiingilii hizo kesi sababu tayari ziko mikononi mwa vyombo vya sheria vya nchi mwanachama.
Kazi ya ICC Ni mwiko kuingilia kolicho mikononi mwa sheria mwa nchi mwanachama mfano Kuna jitu gaidi limedakwa wewe unakimbilia ICC kuwa lile Ni political prisoner hawakusikilizi.wataachia nchi mwanachama wa ICC wamalizane nalo kwanza.
Which nonsensehaya matusi yako kwa hiyo mahakama ni mepesi mno ukilinganisha na yale ya kina ghadafi, sadam na madikteta wengine. wee watukane, wadharau lakin in the long rum and at right time they will get you for sure and they will hit you at the most painful spot.
long run you are talking about my young brother ? You keep on believing in things which will not and never happen in our country. For your good information, the so called imperialists are now trying to work out on plan B after the just finished elections.It is nothing but how to invest fairly in a new tanzania with rejuvenated economy under president magufuli. So ICCC should not be your daily morning prayers and i would say the `long run`you sing is the next five years which will again be very fierce to you because you are going to lose the few seats you have gained this time.Kwani kuna mahakama au magenge ya ccm?Vitendo vilivyotokea havina uzito wa kuingiliwa na mahakama za kimataifa - ni migogoro midogo iwezayo kumalizwa na mahakama za ndani ya nchi
wee sema usemacho bana lakin kutawala watu kimabavu haikubaliki katika dunia ya leo ya wastaarabu. In the long run, and as long nchi yetu kikatiba ni ya vyama vingi, utaangukia pua tuWhich nonsenselong runyou are talking about my young brother ? You keep on believing in things which will not and never happen in our country. For your good information, the so called imperialists are now trying to work out on plan B after the just finished elections.It is nothing but how to invest fairly in a new tanzania with rejuvenated economy under president magufuli. So ICCC should not be your daily morning prayers and i would say the `long run`you sing is the next five years which will again be very fierce to you because you are going to lose the few seats you have gained this time.
Sawa tumaini lingine la CHADEMA lilliloibuka.The International Criminal Court (ICC) in The Hague, has confirmed receipt of two formal letters alleging human rights violations by the Tanzania government in the wake of the October 28 election and its aftermath.
The Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo), one of the main opposition parties and Maria Sarungi Tsehai, an independent human rights activist, have separately written to court, requesting an official ICC inquiry into their claims of atrocities committed against Tanzanian citizens in opposition and those who are disputing the election’s conduct and results.
In an e-mailed response to a query from The EastAfrican, the ICC prosecutor’s office said although the court was by law ‘’duty-bound’’ to protect the confidentiality of information received on alleged crimes, “in this instance we can confirm we have received the communications as the senders have made that fact public.”
THE ROME STATUTE
“We analyse material submitted, as appropriate, in accordance with the Rome Statute which established the court and with full independence and impartiality,” the office said.
The first step would be to assess whether the communication concern “matters that are manifestly outside the jurisdiction of the court… As soon as we reach a decision on the appropriate next step, we inform the sender and provide reasons for our decision,” it added.
ACT-Wazalendo leader Zitto Kabwe told the media on November 8 that the party had already submitted evidence to the ICC, Amnesty International and Human Rights Watch.
“We have also written to the Commonwealth and the AU asking them to investigate the October 28 elections and oversee the holding of new elections. We refuse to recognise this election and will continue to protest peacefully for a return of democracy,” Mr Kabwe said.
Ms Tsehai, the director of the independent Kwanza Online TV station and founder of the #ChangeTanzania social movement, tweeted on November 9 that she had also canvassed the ICC, though she was not available for comment on the content of her letter by the time of going to press.
“I used my skills, training as a journalist to fulfil my duty and submit to the ICC evidence of crimes against humanity in Tanzania,” she tweeted.
At least two prominent members of the main opposition Chadema party, one being its presidential candidate Tundu Lissu, have fled Tanzania over the past week, citing persecution by state authorities and threats to their lives, allegations denied by government spokesperson Hassan Abbasi as unsubstantiated.
POLITICAL ASYLUM
“Those opposition leaders who are running away on the pretext of having had their lives threatened should tell us who threatened them, when and where. It is those same leaders who just completed 60 days of election campaigning during which they were given non-stop state security and we heard no complaints about that. Now after losing they start complaining about being threatened,” Dr Hassan Abbasi said.
Mr Lissu left for Belgium aboard an Ethiopian Airlines flight on Tuesday after a week holed up at the German embassy in Dar es Salaam, while Chadema’s longtime Arusha Urban legislator Godbless Lema has been granted political asylum in Kenya with his family.
Both cited security threats for leaving. Mr Lema is one of several Chadema opposition heavyweights who lost their parliamentary seats to CCM newcomers. Another Chadema former MP, Lazaro Nyalandu (Singida North), was also reported to have tried to flee to Kenya but was denied exit by immigration officials at the Namanga border post for lacking proper travel documentation.
Dr Abbasi said he was not worried by negative perceptions being created by the action of fleeing opposition leaders.
“The international community is sensible and doesn’t just believe any Tom, Dick and Harry’s claims for asylum on grounds of persecution. But that is their prerogative. Most of them still respect the 1951 Refugee Convention, Article 1 which offers clear definition who deserves to be a refugee,” he added.
Utoto ni kuendekeza malalamiko na vilio kwenye mapambano .Utoto ndiyo nini? Kama Polisi vyombo vya dola vinawabana kila kona watapumulia wapi? hapo utoto upo wapi? Kama ni utoto upo kwa hao hao wanaotumia Dola kuminya
Hapa siyo ulaya kila mtu ana operate kwenye mazingira magumu wakiwemo hao waliopo serikalini wenye nia na akili kubwa wata prevail.Hicho chama mbadala kinaoperate vipi kwenye mazingira haya? Au umejitia upofu?
Siku atapotezwa ndugu yako utaelewa
Kwa maana mkuki kwa nguruwe ila ukikuingia wewe uliye Mwanadanamu utaelewa.
Kwasasa huwezi kujuwa.
Wafungue tu. Mahakamani ni haki ya kila mtu! Kijana aliuwawa na raia. Wazanzibari wale waliuwawa na polisi! Huoni tofauti hapo?Image CCM nao wakifungua kesi ICC juu ya kijana wa shirikisho la vyuo vikuu aliyeuawa iringa - ICC hapo itakuwa Kisutu!
Uchaguzi au toto tundu Lisu na vibaraka wake?Ila huu uchaguzi umeichafua hii nchi jamaniiii