Hivi una kichwa au kimekatwa? Hayo uliyoandika hukuyategemea?Kwa hiyo masanduku mliyoingiza kwennye vituo ambayo yaliwapa ushindi ndo mnaona mlishinda kihalali wakati wananchi waliwakataa licha ya kumnyima lisu media coverage na kumfanyia figisu kibao
Hivi akili yako ina uelewa wa hicho kiingereza kilichoandikwa?Haya mataga mje mporomoshe matusi hapa.
Tuliyategemea ndo Mana tunawapeleka the Hague ili mnyooshweHivi una kichwa au kimekatwa? Hayo uliyoandika hukuyategemea?
Ni Marufuku Rais JPM kufanya maridhiano na wanaharakati walioamia kwenye siasa na kisha wakashindwa siasa kwa aibu.Tundu kashasema pamoja na kusisitiza kwenye kila mkutano wa kampeni wananchi wameishia kugomea mpango wake wa maandamano na sasa anataka maridhiano na rais John Pombe Joseph Magufuli
Mauaji ni kitu kidogo sanaVitendo vilivyotokea havina uzito wa kuingiliwa na mahakama za kimataifa - ni migogoro midogo iwezayo kumalizwa na mahakama za ndani ya nchi
Hawajagomea Bali polisi na jeshi waliyazuia kwa nguvu. Wananchi walikuwa ready.
Hawajashindwa, waliibiwa kura kwa kimbunga. Au kuiba kwako ndo kushindwa!Ni Marufu Rais JPM kufanya maridhiano na wanaharakati walioamia kwenye siasa na kishawakashindwa siasa kwaaibu.
[emoji2][emoji2][emoji2] watu wa ufipa mnachekesha Sana kwa kujipa matumaini kwa Mambo yasiyowezekana.Mkuu huu ni moto , dam changa Kama za akina lissu sio za mchezo, combination iliyopo katika mchezo huu sio ya kitoto,unaweza shangaa kwa Kasi ya hajabu shauri hili la ICC likaenda kwa speed ya hatari, maana combination inawatu watata Sana
So tahalifa Kama hizi sio za kubeza,ukizingatia kwa haraka Sasa ICC wamedisclose information very fast, noma sana
Endelea kuota,hakuna jipya hapo,utakuja na blah blah kuwa government imetoa rushwa ili lissu ashindwe,Habari njema sana hii.
Sasa kama wanamkubali kwa Nini mliingiza masanduku ya Kura yaliyokwisha pigwa kwa ccm kwenye vituo. Kwa nini mli media zote mlizizuia kulipoti Mambo au kampeni za Lissu Kama JPM anapendwa.Mimi nimeandika alichosema Tundu kule VoA
"Ni wazi wito wangu wa kupinga matokeo ya uchaguzi haukupokelewa na watanzania. Nilisema kwenye kampeni zote kwamba wajitokeze barabarani na hawakufanya hivyo. Hii ni kwa sababu wananchi bado hawapo tayari kupambania haki zao" - Tundu
Ujue tuu kwamba wananchi wakiwa tayari hakuna anayeweza kuwazuia.
Watanzania wanamkubali rais wao na wana imani na serikali yao
Hivi una kichwa au kimekatwa? Hayo uliyoandika hukuyategemea?
Kitendo cha kulalamikia kuibiwa kura kila uchaguzi na kuendelea kushiriki uchaguzi bila kuwa na suluhu ni kuprove failure kwa walalamikaji, sio kwenye uchaguzi tu. Ila hata kwenye uongozi.Sasa Kama wanamkubali kwa Nini mliingiza masanduku ya Kura yaliyokwisha pigwa kwa ccm kwenye vituo. Kwa Nini mli media zote mlizizuia kulipoti Mambo au campeni za lisu Kama jpm anapendwa.
Waliokufa Zanzibar wote walipwe fidia kubwa na waliosababisha kufa wawajibishweNimefarijika sana, ahadi yangu ipo palepale yule jogoo wangu mkubwa atachinjwa ishara ya kuwapongeza wale wote waliofanikisha hili na kuwapa pole wote waliopoteza wapendwa wao; waliojeruhiwa baada na kabla ya October 28th.
Ifike pahala kila mtanzania afurahie kuzaliwa Tanzania na haki zake zote za kikatiba azipate bila masharti yoyote yale. Hii nchi ni yetu sote bila kujali dini na itikadi zetu.
Sawa mkuu ita majina yote ila elewa hata mbuyu ulianza Kama mchicha, na kwa tahalifa sijawahi kuwa mtu wa ufipa au lumumba,but penye neema ya mwenyezi mungu mwaka huu matumaini kuwa member wa Ufipa namanisha nitajiunga na CHADEMA mwaka huu mkuu. Tafadhali naomba sala zako nikatimize lengo ilo na mungu atakubaliki sana.[emoji2][emoji2][emoji2] watu wa ufipa mnachekesha Sana kwa kujipa matumaini kwa Mambo yasiyowezekana.
Kwa hiyo muendelee kuiba sisi tukae kimya kwa sababu hamna lolote linalofanyika hata mkiiba!Kitendo cha kulalamikia kuibiwa kura kila uchaguzi na kuendelea kushiriki uchaguzi bila kuwa na suluhu ni kuprove failure kwa walalamikaji, sio kwenye uchaguzi tuu. Ila hata kwenye uongozi
Zanzibar zipo video ushahidi wa kutosha ICC itaichukulia hatua Zanzibar hakuna cha nini wala nini.Hawaelewi vitu hivyo huwa confidential kwanza wao wakaenda vyombo vya habari pili barua zimeandikwa na individuals sio taasisi!!!
Mfano Zitto Kabwe kaandika yeye Kama yeye Hakuna kikao chochote Cha chama iwe mkutano mkuu ulioamua yeye kajilalia kaamka kaandika.
Maria Sarungi hakuwa hata mgombea udiwani Wala ubunge kajiiibukia tu.
Ndio maana unaona wamejibu kuwa wanaangalia approriateness ya hicho kilichokuwa submitted Kama kimekidhi vigezo ila kwa haraka nikusaidia havijakidhi vigezo.
Wanaotaka kupeleka mashtaka ICC kwanza Ni member countries wa ICC pili UN waweza peleka tatu maofisa wa ICC wenyewe.
Na waweza shughulikia kesi zile tu haziko mahakama ya nchi husika mfano watu wamekamatwa kwa makosa unayoyasema wameshikwa ICC haiingilii hizo kesi sababu tayari ziko mikononi mwa vyombo vya sheria vya nchi mwanachama.
Kazi ya ICC Ni mwiko kuingilia kolicho mikononi mwa sheria mwa nchi mwanachama mfano Kuna jitu gaidi limedakwa wewe unakimbilia ICC kuwa lile Ni political prisoner hawakusikilizi.wataachia nchi mwanachama wa ICC wamalizane nalo kwanza.
Amsterdam told Anti to instigate social unrest so that ge could built up on the case and during the campaign to use militant and provocation acts and language so that the government and its machinery could cross the line and arrest him or his supporters or mishandle them , which will add up to the credibility of their claims , including creation of fake votes, and mishandle of their representatives during voting day and during counting of votes.Hata mimi nna wasi wasi huo ,tukumbuke tu hawa Watu huwa na Mipango mirefu sana ktk kutekeleza Majukumu yao ya namna ya kudill na ma Criminal.
Tujipe Muda.