ICC yakiri kupokea rasmi malalamiko kutoka Tanzania juu ya ukiukwaji wa haki za binadamu wakati wa uchaguzi uliopita

ICC yakiri kupokea rasmi malalamiko kutoka Tanzania juu ya ukiukwaji wa haki za binadamu wakati wa uchaguzi uliopita

Tukio la Lissu kupigwa risasi hadharani liliripotiwa polisi hadi leo hakuna uchunguzi wowote uliofanyika, Ben saanane kapotea hakuna chombo chochote kilichojali kufanya uchunguzi.
Waliwasmbia Mmlete Dereva ambaye kimsingi ni eye Witness wa tukio lakini hadi Leo hamjawahi kufanya hivo! Kwa Lugha nyingine hamtoi ushirikiano ba mmechangia zoezi kuwa gumu!
 
Ha
Waliwasmbia Mmlete Dereva ambaye kimsingi ni eye Witness wa tukio lakini hadi Leo hamjawahi kufanya hivo! Kwa Lugha nyingine hamtoi ushirikiano ba mmechangia zoezi kuwa gumu!
Tuwezi kufanya kosa Hilo Mana mtamuassassinate na ushahidi kuishia hapo. Nyie siyo watu na raisi wenu muuaji
 
Waliwasmbia Mmlete Dereva ambaye kimsingi ni eye Witness wa tukio lakini hadi Leo hamjawahi kufanya hivo! Kwa Lugha nyingine hamtoi ushirikiano ba mmechangia zoezi kuwa gumu!
Kwahiyo asipopatikana dereva uchunguzi haufanywi?
 
Mashtaka hamjapeleka mahakama za ndani yakashindwa kushughulikiwa mnadhani ICC wanawasaidiaje hapa!

Dadek kukosa ile miposho ya bungeni sio mchezo, time hii mtaenda kwa kila mganga mnaeweza kumfikia
 
Vitendo vilivyotokea havina uzito wa kuingiliwa na mahakama za kimataifa - ni migogoro midogo iwezayo kumalizwa na mahakama za ndani ya nchi
Hicho ndicho kiwango Cha ufahamu wako, inabidi tuheshimu huo ufahamu ulio nao.
 
Waliwasmbia Mmlete Dereva ambaye kimsingi ni eye Witness wa tukio lakini hadi Leo hamjawahi kufanya hivo! Kwa Lugha nyingine hamtoi ushirikiano ba mmechangia zoezi kuwa gumu!
Hii inaonyesha wazi kuwa vyombo vya dola haviaminiki Tanzania?..

Vyombo vya usalama vimeegemea upande mmoja,upande wa Chama tawala,.
 
Mashtaka hamjapeleka mahakama za ndani yakashindwa kushughulikiwa mnadhani ICC wanawasaidiaje hapa!

Dadek kukosa ile miposho ya bungeni sio mchezo, time hii mtaenda kwa kila mganga mnaeweza kumfikia
Mahakama zipi. Hizi za kupokea maagizo kutoka kwa jpm. Sisi wananchi ndo tumeamua usiwasingizie wabunge eti kukosa posho. Wananchi ndo tunaumia Sana na serikali hii isiyojali ustawi wa watu.

Ndo Mana reaction imeanza kwa kuchomwa Moto kila waliohusika na wizi hasa wakurugenzi Mana bila wao lisu angekuwa raisi.
 
Hawaelewi vitu hivyo huwa confidential kwanza wao wakaenda vyombo vya habari pili barua zimeandikwa na individuals sio taasisi!!!

Mfano Zitto Kabwe kaandika yeye Kama yeye Hakuna kikao chochote Cha chama iwe mkutano mkuu ulioamua yeye kajilalia kaamka kaandika.

Maria Sarungi hakuwa hata mgombea udiwani Wala ubunge kajiiibukia tu.

Ndio maana unaona wamejibu kuwa wanaangalia approriateness ya hicho kilichokuwa submitted Kama kimekidhi vigezo ila kwa haraka nikusaidia havijakidhi vigezo.

Wanaotaka kupeleka mashtaka ICC kwanza Ni member countries wa ICC pili UN waweza peleka tatu maofisa wa ICC wenyewe.

Na waweza shughulikia kesi zile tu haziko mahakama ya nchi husika mfano watu wamekamatwa kwa makosa unayoyasema wameshikwa ICC haiingilii hizo kesi sababu tayari ziko mikononi mwa vyombo vya sheria vya nchi mwanachama.

Kazi ya ICC Ni mwiko kuingilia kolicho mikononi mwa sheria mwa nchi mwanachama mfano Kuna jitu gaidi limedakwa wewe unakimbilia ICC kuwa lile Ni political prisoner hawakusikilizi.wataachia nchi mwanachama wa ICC wamalizane nalo kwanza.
Mjinga mwingine huyu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utasubiri Sana brother, nenda kasome vizuri jurisdiction ya hiyo Mahakama and under what curcumstances inaweza ku assume Majukumuu ambayo kimsingi yanapaswa kushughulikiwa na Nchi huska. By the way, hizi ni porojo na Namna ya kujicomfort baada ya kipigo cha Mbwa Koko.
Vitu vingine viko wazi. Take your time, Isomeke hiyo Mahakama, Soma crimes it has jurisdiction to try and kwa Mazingira gani inaweza ku intervene.
Mwisho kabisa, hii Mahakama imeshapoteza Credibility siku nyingi Sana, it is more or less like other Imperialism Machinery and every one's knows that!
Otherwise, endeleni kujifafiji Kama Kawaida yenu!
Kwa katiba ipi na kwa watu gani hao wanao iheshimu hiyo katiba.
 
Mashtaka hamjapeleka mahakama za ndani yakashindwa kushughulikiwa mnadhani ICC wanawasaidiaje hapa!

Dadek kukosa ile miposho ya bungeni sio mchezo, time hii mtaenda kwa kila mganga mnaeweza kumfikia
Mahakama ipi.
 
Mahakama zipi. Hizi za kupokea maagizo kutoka kwa jpm. Sisi wananchi ndo tumeamua usiwasingizie wabunge eti kukosa posho. Wananchi ndo tunaumia Sana na serikali hii isiyojali ustawi wa watu. Ndo Mana reaction imeanza kwa kuchomwa Moto kila waliohusika na wizi hasa wakurugenzi Mana bila wao lisu angekuwa raisi
Hao wakurugenzi Wachomwe Moto Tu,halafu wafatie Wabunge, Madiwani na kila alieusika na dhulma ya Uchaguzi
 
ICC hawapokei na kushighulikia barua za individuals

Zitto kaandika peke yake akiwa kajifungia ndani na Maria Sarungi naye kajiandikia peke yake !!!
Hivi nyinyi Lumumba hata akili ya mbuzi kuvukia barabara hamna ? Maria Sarungi alitembea nchi nzima kukusanya ushahidi? Jibu ni hapana watanzania ndio walikusanya ushahidi wa video , picha sauti na documents zingine akapatiwa atume kwa niaba yetu . Na bado naendelea kushauri kila mtanzania atume ushahidi alionao dhidi ya mauaji na ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu uliofanywa na ccm , chama cha magaidi wakati wa uchaguzi mkuu ili kuzidi kuongezea uzito hayo mashtaka .
 
The International Criminal Court (ICC) in The Hague, has confirmed receipt of two formal letters alleging human rights violations by the Tanzania government in the wake of the October 28 election and its aftermath.

The Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo), one of the main opposition parties and Maria Sarungi Tsehai, an independent human rights activist, have separately written to court, requesting an official ICC inquiry into their claims of atrocities committed against Tanzanian citizens in opposition and those who are disputing the election’s conduct and results.

In an e-mailed response to a query from The EastAfrican, the ICC prosecutor’s office said although the court was by law ‘’duty-bound’’ to protect the confidentiality of information received on alleged crimes, “in this instance we can confirm we have received the communications as the senders have made that fact public.”

THE ROME STATUTE
“We analyse material submitted, as appropriate, in accordance with the Rome Statute which established the court and with full independence and impartiality,” the office said.

The first step would be to assess whether the communication concern “matters that are manifestly outside the jurisdiction of the court… As soon as we reach a decision on the appropriate next step, we inform the sender and provide reasons for our decision,” it added.

ACT-Wazalendo leader Zitto Kabwe told the media on November 8 that the party had already submitted evidence to the ICC, Amnesty International and Human Rights Watch.
“We have also written to the Commonwealth and the AU asking them to investigate the October 28 elections and oversee the holding of new elections. We refuse to recognise this election and will continue to protest peacefully for a return of democracy,” Mr Kabwe said.

Ms Tsehai, the director of the independent Kwanza Online TV station and founder of the #ChangeTanzania social movement, tweeted on November 9 that she had also canvassed the ICC, though she was not available for comment on the content of her letter by the time of going to press.

“I used my skills, training as a journalist to fulfil my duty and submit to the ICC evidence of crimes against humanity in Tanzania,” she tweeted.

At least two prominent members of the main opposition Chadema party, one being its presidential candidate Tundu Lissu, have fled Tanzania over the past week, citing persecution by state authorities and threats to their lives, allegations denied by government spokesperson Hassan Abbasi as unsubstantiated.

POLITICAL ASYLUM
“Those opposition leaders who are running away on the pretext of having had their lives threatened should tell us who threatened them, when and where. It is those same leaders who just completed 60 days of election campaigning during which they were given non-stop state security and we heard no complaints about that. Now after losing they start complaining about being threatened,” Dr Hassan Abbasi said.

Mr Lissu left for Belgium aboard an Ethiopian Airlines flight on Tuesday after a week holed up at the German embassy in Dar es Salaam, while Chadema’s longtime Arusha Urban legislator Godbless Lema has been granted political asylum in Kenya with his family.

Both cited security threats for leaving. Mr Lema is one of several Chadema opposition heavyweights who lost their parliamentary seats to CCM newcomers. Another Chadema former MP, Lazaro Nyalandu (Singida North), was also reported to have tried to flee to Kenya but was denied exit by immigration officials at the Namanga border post for lacking proper travel documentation.

Dr Abbasi said he was not worried by negative perceptions being created by the action of fleeing opposition leaders.

“The international community is sensible and doesn’t just believe any Tom, Dick and Harry’s claims for asylum on grounds of persecution. But that is their prerogative. Most of them still respect the 1951 Refugee Convention, Article 1 which offers clear definition who deserves to be a refugee,” he added.
Siku magu anadakwa nitafanya sherehe kubwa sana
 
Kiuahalisia sipendezwi na hizi habari maana kwa sasa hivi kusema kweli tutaanza kufatiliwa na kama wakipata ushahidi na upenyo inaweza kutuharibia

Kwa sasa hivi watanzania wamegawanyika kuna kundi lipo tayari kwa lolote hata nchi ikiwekewa vikwazo nchi ikipata majanga wao watafurahia na hao wapo kwa lolote hawana cha kupoteza ktk nchi na wamekuwa hivi kwakuwa hawathaminiwi hawasikilizwi wanakamtwa wanafungwa wanauliwa

Na kundi la pili wao ndio wanajiofanya nchi ni yao hili kundi la pili ni hatari na ndio linapolekea kufika hapa tulipo

CCM mjitafakari hii nchi sio yenu peke yenu na wala CCM sio Tanzania
 
Back
Top Bottom