mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Hujatoa reason why you think Tanzania can't ?
Ila kujifariji na kufarijiwa ni haki ya kila mgonjwa
Ila kujifariji na kufarijiwa ni haki ya kila mgonjwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😃 Yani mama D unajifariji, anza kupanga mawakili wenye uzoefu na kesi za kimataifa, mfano prof kabudi, moto wa uko sio we unafikili kwa nini Rais kinyatta bahada ya kuburuzwa huko Sasa uko smart Sana kwenye Mambo siasa,na mpaka Sasa democracy yao Sasa ipo stable,yeye na wapinzani wako sawa, hata Yule bwana alipojiapisha hakuguswa,Hakuna jipya huko. Nyie endeleeni kujifariji tuu☺☺
Mlihangaika hivihivi na uchaguzi mkashindwa, mkahangaika tena hivihivi kuingiza watu barabarani mkashindwa sasa endeleeni kuhangaika na ICC😃 Yani mama D unajifariji, anza kupanga mawakili wenye uzoefu na kesi za kimataifa, mfano prof kabudi, moto wa uko sio we unafikili kwa nini Rais kinyatta bahada ya kuburuzwa huko Sasa uko smart Sana kwenye Mambo siasa,na mpaka Sasa democracy yao Sasa ipo stable,yeye na wapinzani wako sawa, hata Yule bwana alipojiapisha hakuguswa,
Sasa unafikili hao muaitao mabeberu wakiamua kukusukia mkeka na wakakupangia draft vizuri unachomokaje, achana na wenye dunia yao,
Amsterdam bado haja peleka. Document ya Amsterdam itakuwa more detailed maana anaiandaa kisheria zaidi.Kwani kabla ya Sarungi na ACT walikuwa hawajapata barua za Robert Amsterdam au jamaa alikula hela za Lissu bila kutoa huduma.
ICC wanapokea ushahidi wowote. Nara nyingi Waandishi wa habari ndio source ya ushahidi huo.ICC hawapokei na kushighulikia barua za individuals
Zitto kaandika peke yake akiwa kajifungia ndani na Maria Sarungi naye kajiandikia peke yake !!!
Hakuna aliyesema TANZANIA inafunguliwa kesi.Kuna watz wanafikiri kwa kupeleka documents zao huko ICC basi ndiyo Tanzania itafunguliwa kesi na viongozi kushitakiwa
Taja basi vigezo vinavyotakiwa kuwepo mkuu ili ifunguliwe hiyo kesi
Vibaraka wa Jiwe mnahangaika kweli , wewe na wenzio mlitekeleza mauaji kwa maagizo ya Mhutu jiandaeni kwenda huko The Hague , unasema tu kesi haiwezi kufunguliwa provide concrete evidence , kesi itafunguliwa na mtapelekwa huko time will tell .
Waliofanya matukio hayo ni wahalifu Kama wahalifu wengine tu na watachukuliwa hatua za kuharibu Mali na hopeful watafungua jela miaka mingi tu hakuna issue ya siasa hapo sahau kabisaMilango yote mkifunga, wananchi watachukuwa hatua mikononi mwao. Na wameanza... Ma-DED wahamishieni Ikulu Chamwino na familia zao kwa usalama wao.
Kuna watz wanafikiri kwa kupeleka documents zao huko ICC basi ndiyo Tanzania itafunguliwa kesi na viongozi kushitakiwa hilo naomba mlisahau kabisa maana vigezo vya mashitaka kufunguliwa havipo kabisa
Nashukuru ICC wamewajibu kupokea hizo nyaraka mlizotuma ili kuwatia moyo na kupunguza kelele nchini
Ngoja tujipange kujenga nchi na kufanya Tanzania kufika viwango vikubwa kiuchumu zaidi ya viwango vya Sasa.
Watz wamepiga kura kwa usalama kabisa na hakuna kibaya kilichotokea na Kama Kuna yoyote ambaye alipambana na vyombo vya dola ni wale ambao walizuia vyombo vya dola kufanya kazi yake kwa mujibu wa sheria.
Nawashauri watz kujipanga kwa uchaguzi wa 2025 Ila uchuguzi wa 2020 huu umeshamalizika na matokeo yake kila mmoja anaujua 84%
Alitakiwa afanye hivyo, ili sisi tulioshinda kwa kishindo tujue na tuendelee kusifu na kuabuduTaja basi vigezo vinavyotakiwa kuwepo mkuu ili ifunguliwe hiyo kesi
Hakuna kesi ndugu yangu wewe hope moyo tu keep this commentVibaraka wa Jiwe mnahangaika kweli , wewe na wenzio mlitekeleza mauaji kwa maagizo ya Mhutu jiandaeni kwenda huko The Hague , unasema tu kesi haiwezi kufunguliwa provide concrete evidence , kesi itafunguliwa na mtapelekwa huko time will tell .