Idadi ya wanawake niliopita nao mpaka sasa

Usijal utapata mke, malaya mmoja wa riverside anapitiwa na wanaume 10 kwa siku sawa na 300+ kwa mwezi sembuse ww
 
hivi madhumuni ya uzi wako ni nini hasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee 🤣
Namuonea huruma huyo mke mtarajiwa.
Can u imagine "soul tie"🙌🙌

Heaven Sent
 
Mpimaji mzuri wa "oil ". Ukiangalia tu kwa macho unaweza kujua kiasi cha oil kilichopo.
 
Sasa unajisifia ama? Huyo akiona hii thread yako akajua ni wewe atajisikiaje, haina haja ya kutaja idadi bana, siyo sifa nzuri
Huyu mbona ana afadhali kabisa. Kuna kina Cephas kadhaa nimewahi waona wana counter books zina majina yenu kabisa.
 
Makasiriko yaliyopo kwenye comments[emoji23][emoji23][emoji23]

Hongera mwaya mtoa mada ila hakikisha idadi inaongezeka bado ndogo sana
Nilikuwa nakutaka ila nimeona member since 2015 nikapitiwa na harufi ya shangazi [emoji23],kwani wewe unanitaka?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu tuna demu kila nyumba, kila kanisa, kila Msikiti, kila shule, kila chuo na hatusemi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…