Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utafiti wako huoImekuwa zaidi ya ugonjwa unakuta mtu amependeza hasa aila akikusogele kuongea mdomo wake unato hArufu si nzuri
Nashauri elimu itolewe kwa kila namna kuondoa hili tatizo
Ukimaanisha wenye ilo tatizo ni wanaume tu ndio maana umewaonea huruma wenzi wao?Hasahasa na haya matumizi yaliyozaga mijini ya ugoro, sigara na highilife,sijui double kick, vitoko, k vant na konyagi za kupima kwa vijana hususani wa vijiweni, bodaboda...
Kwa uzoefu wangu na aina ya vijana niliowataja wengi ni wanaume , ila kiukweli kwenye hii jamii yetu wanawake kwa asilimia kubwa wanajipendaa sana na kujali mambo ya usafi na kunukianukia kulipo sisi wanaume ,sisi wanaume weni wetu tupo simple sijataka kutumia neno rough nisije wauzi watu.Ukimaanisha wenye ilo tatizo ni wanaume tu ndio maana umewaonea huruma wenzi wao??au nimeelewa vibaya[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Ngoja wajeWahaya wanaongoza kwa kunuka midomo. Nadhani wale wadudu Kama panzi wanaokulaga Wana direct relationship na kunuka midomo.
Wengi hawajui hili, wanakomaa wee na kinywa peke yake, anapiga mswaki mara 5 kwa siku, holaUnajua kunywa kutoa harufu kali inaweza kuwa tatizo sio kinywani Bali kwenye Koo au magonjwa ya tumboni au kwenye mfumo wa kupumua
HahaaaHuu mwaka kila mtu ni mtafiti