Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani hii ndiyo ipo hivyo pote tu. Amiri jeshi ndiyo mkuu wa majeshi yote yaliyopo na yatakayokuwapo.Checks and balances ziko wapi? Mamlaka na vyombo vya dola vyote viko chini ya Amiri Jeshi. Hatari sana.
Hakikaa t7nahitaji welcome face 😆Uhamiaji kuanzia enzi za kuanzishwa kwa Taifa hili ni Askari sijajua huo ujeshi mpya ni upya au labda makaratasi na sheria ndo havikusoma hivyo.
Lakini Duniani kote Hawa watu uingia kwenye kundi la maafisa usalama, Hawa ni watu wanaopaswa kuwa na ueledi wakung'amua ujasusi wa kiuchumi,kisiasa na kitamaduni kutoka nje. Bila kuwa na maafisa usalama kwenye chombo Kama hiki nchi itavamiwa kirahisi Sana.
Miaka ya nyuma Hawa watu walikuwa hawafahamiki wengi walikuwa wanaficha utambulisho wao, baadhi wanaofanya kazi mipakani ndo walikuwa wanafahamika......
Nadhani hakuna jipya maana Kama TISS Ni Jeshi kwanini tunatangaza uhamiaji kuwa ni Jeshi leo wakati ni tawi moja?
Nadhani wanatafuta sheria yakuwaingiza mtaani rasmi wakiwa na mitutu Jambo ambalo kwangu sioni Kama Lina tija, wabaki na ukachero Kama zamani waache kuwatisha wageni na ujeshi.....hatuahitaji ujeshi kushughulika na wageni nchini tunahitaji welcome face