Idara ya Uhamiaji sasa kuwa Jeshi kamili na litawajibika moja kwa moja kwa Amiri Jeshi Mkuu

Checks and balances ziko wapi? Mamlaka na vyombo vya dola vyote viko chini ya Amiri Jeshi. Hatari sana.
Nadhani hii ndiyo ipo hivyo pote tu. Amiri jeshi ndiyo mkuu wa majeshi yote yaliyopo na yatakayokuwapo.

Sema kuna namna anaweza kujipunguzia majukumu kwa kuamua kuwa asiwe briefed kwa issue fulani ili mwisho awe na plausible deniability.

Hata hivyo ni mara chache rais kuyakimbia majukumu, mara nyingi huyakumbatia ili azidi kuwa na power maana with great responsibility comes great POWERS
 
Hakikaa t7nahitaji welcome face 😆
 
Hii idara inaitaji maafisa ambao hawana amri za kijeshi. Ni dalili za ushamba na ulimbukeni wa madaraka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…