Uhamiaji kuanzia enzi za kuanzishwa kwa Taifa hili ni Askari sijajua huo ujeshi mpya ni upya au labda makaratasi na sheria ndo havikusoma hivyo.
Lakini Duniani kote Hawa watu uingia kwenye kundi la maafisa usalama, Hawa ni watu wanaopaswa kuwa na ueledi wakung'amua ujasusi wa kiuchumi,kisiasa na kitamaduni kutoka nje. Bila kuwa na maafisa usalama kwenye chombo Kama hiki nchi itavamiwa kirahisi Sana.
Miaka ya nyuma Hawa watu walikuwa hawafahamiki wengi walikuwa wanaficha utambulisho wao, baadhi wanaofanya kazi mipakani ndo walikuwa wanafahamika......
Nadhani hakuna jipya maana Kama TISS Ni Jeshi kwanini tunatangaza uhamiaji kuwa ni Jeshi leo wakati ni tawi moja?
Nadhani wanatafuta sheria yakuwaingiza mtaani rasmi wakiwa na mitutu Jambo ambalo kwangu sioni Kama Lina tija, wabaki na ukachero Kama zamani waache kuwatisha wageni na ujeshi.....hatuahitaji ujeshi kushughulika na wageni nchini tunahitaji welcome face