IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

Alifia ndani ya ndege kwa majeraha ya risasi wakati wanatoka Entebbe!!!Na alikua wa mwisho kupanda ndege sababu alikataa kumuacha Dora Bloch aliekua hospital ambapo Amin alimuua baadae!!!Na alitaka kuzibeba zile maiti tatu za mateka walikufa wakati wanaokolewa Pasco Cohen na Jean Jaques Mimoun ambao waliwapiga risasi bahati mbaya na Ida Brovochovich aliyeuliwa na watekaji!!!Na alikua anawabeba na kuwapakia kwenye ndege makomandoo watano wa Israel waliojeruhiwa mmoja baada ya mwingine huku akipigwa risasi za mgongoni wakati ndege ikiwa inakimbia kwenye run ways na akiwa amejifunga kamba kiunoni ili ndege isimuache!!!!Brave commando of all time Jonathan Ntenyahu!!!
Jina la kibabe
Kina,Jonathan ni wababe
 
Basi tuachane na kuanzushwa kwake tuje kwenye vita ya 2006 Israel alishindwa hiyo vita.
ITR
Dalili za kuanza kuanguka kwa IDF ilianza kuonekana toka Vita Vya Yom Kippur mwaka wa 1973.

Nakuwekea hapo chini sehemu ya mada niliyowasilisha State University of Zanzibar (SUZA) mwaka wa 2017:

''Katika kitabu chake, ‘’The Road to Ramadan,’’ Mohamed Heikal anaeleza barua aliyoandika Hafiz Al Asad kwenda kwa Sadat akimsihi kuendelea na mapambano.

Hii ilikuwa baada ya Misri kusimamisha majeshi yake kusonga mbele baada ya Sadat kuzungumza na Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje, Henry Kissinger.

Barua hii Hafiz Al Asad aliiandika kwa mkono.
Barua hii haikumbadilisha Sadat.

Kwa kitendo hiki cha kuacha mashambulizi dhidi ya Israel, majeshi ya Syria yakalazimika kupigana na Israel bila ya mshirika wake Misri na hii ikatoa ahueni kubwa kwa Wayahudi na matokeo yake ikawa Israel kunusurika.

Inasemekana kwa usaliti huu ndipo vijana wa Ikhwan Egyptian Islamic Jihad ndani ya jeshi la Misri wakampitishia fatwa ya Sadat kuuawa na hakika hilo likafanyika mwaka wa 1981.

Mwaka wa 1991 nikiwa ''transit'' Cairo nikielekea London, nilifika Heliopolis moja ya vitongoji vya mji nikaona kuna mnara kajengewe Sadat kama shujaa wa Vita Vya 1973.

Kitu muhimu kilichojitokeza katika Vita Vya Yom Kippur ilikuwa kule kujitokeza kwa mara ya kwanza udhaifu katika jeshi la Israel kuwa linaweza kushindika.

Baada ya vita hizi mbili (1967 na 1973) Wapalestina walifanya kile kilichokuja kujulikana kama Intifada kati ya mwaka 1987 – 1993 kisha mwaka wa 2000 – 2005.

Intifada ilidhihirisha kwa Wayahudi kuwa mapambano dhidi yao kutoka kwa Wapestina bado yangalipo na hayatakoma.

Vita iliyokuja kumaliza kile kilichokuwa kimeaaminika na dunia kuwa Wayahudi hawawezi kushindwa katika vita, ni vita vya mwaka wa 2006 kati ya Hizbullah na Wayahudi.

Vita vilipoanza fikra za wengi katika nchi za Kiarabu zilirejea katika Vita Vya Siku Sita vya mwaka wa 1967 na wengi waliamini kuwa Hizbullah watamalizwa kwa muda mfupi kwa kusagwasagwa na Israel.

Hili halikutokea.

Vita vilipiganwa kwa siku 34 katika mwezi wa Julai na Agosti hadi pale Umoja wa Mataifa ilipoingia kati na kuweka makubaliano ya kuweka silaha chini na kumaliza vita.

Wayahudi kwa mara ya kwanza katika historia ya mapambano yao na Waarabu walionekana katika stesheni nyingi kubwa za televisheni duniani wakirudi Israel kutoka uwanja wa mapambano wameinamisha chini vichwa vyao.

Israel ilikuwa kwa mara ya kwanza imeonja kipigo katika vita.

Hapakuwa na shamrashamra ziliyozoeleka za ushindi dhidi ya majeshi ya Kiarabu.

Hizbullah ilikuwa imevunja, ‘’myth,’’ ile fikra ya kuwa Wayahudi hawawezekani.

Hassan Nasrallah kiongozi wa Hizbullah alikuwa akiuliza wakati wa vita, ‘’Wako wapi askari wa Kiyahudi mbona hatuwaoni katika uwanja wa vita?

Tunachoshuhudia ni ndege za Kiyahudi wakipiga mabomu nyumba za raia.’’

Baada ya vita, ilipofika wakati wa kubadilishana mateka Wayahudi walipata fadhaa zaidi pale walipokuwa wao wanapokea majeneza ya askari wao waliouliwa vitani Israel ikiwaachia huru askari hai wa Hizbullah.''

20170618_112606.jpg

Wanafunzi wa SUZA wakifuatilia mhadhara​
 
Hivi bila mikataba ya kubadilishana taarifa (Intelligence Sharing Agreements) na mataifa ya kizungu (Anglo-Saxons States/5 Intelligence Eyes ) Israel inaweza kuwa na nguvu hii-hii kijeshi na kijasusi ??? Hebu tuwe wakweli kidogo.

Pia, kila mwaka Israel anapewa msaada wa kijeshi kutoka Marekani, dola za Kimarekani bilioni 3.3, ambazo ni sawa na trilioni 7 za Kitanzania. Mahela yote haya ya kununulia vifaa, kufanya tafiti na kufanyia oparesheni za kijeshi na kijasusi, unadhani watakuwa wa kawaida kweli ???

Leo hii hata sisi Tanzania tupewe trilioni 7 kama bajeti ya jeshi kila mwaka, unadhani TPDF itakuwa ya mchezo mchezo ??? (Japo nina wasiwasi sisi Tanzania tukipewa msaada kama huu, lazima tutaiba tu)
Hapo chini ulipomalizia hakuna mjadala tena...hahahaa
 
Ndio maana nataka tukubaliane kuwa kabla ya pesa za mabeberu huyo Israel alikua mdhaifu tu. Na Sio Hitler tu hata wakati wa vita za crusade hiyo Israel ilitandikwa haswaa na wayahudi kuchinjwa kama kuku. Same as huko France na Lithuania na Russia jamii za wayahudi waliuawa kwa maelfu.

So hawana Ubavu wowote kijeshi ila wanaponea msaada wa wazungu tu. Hata palestina ikipewa Trillion hata 10 tu kwa mwaka unadhani watabaki hivyo hivyo.
Ni kweli wanapewa misaada mikubwa Sana na wamagharibi...ila wamemudu kuitumia vyema hiyo misaada kujiendeleza kwa faida yao.

Kiuchumi na kimaendeleo tunaweza kuifananisha Israel na baadhi ya nchi za ulaya magharibi.

Pia wapo vizuri mno kiteknolojia na kiulinzi, wana wataalamu wazuri sana na makampuni mazuri Sana ya kuunda silaha za kisasa za kiteknolojia..

T14 Armata
 
Himars,
Israel ilianza kudhoofika baada ya Vita Vya Yom Kippur 1973.
Katika vita na Hizbullah 2006 ndipo ile ''myth'' ya nguvu za Israel ilipovunjika hadi leo.

Nimepata kualikwa sehemu fulani mara mbili Zanzibar na Dar es Salaam kuzungumza kuhusu hili.
Hivi kati ya Israel na Palestine ipi nchi?
 
Sasa ndio mdogo wangu nikakuambia sio lazima uchangie tuachie sisi wachambuzi tuendeelee!!!Sawa mdogo wangu
Sasa brother unabishana na watu ambao hata kitabu cha Yerico nyerere wameshindwa kukilewa na neno ujasusi wamelijua jana si utasumbuka sana kiongoz
 
Sasa leo hapa tunazungumza kama wanajeshi uwanja wa mapambano mzee wangu!!!Tunazungumzia vitu tulivyoshuhudia kwa macho na ndio maana mada ni IDF na ubora wao!!!Karibu sana
Hapa unabishana na mashabiki wa Simba na Yanga wasiojua chochote kuhusu ujasusi wanaishia kuangalia move tu kaka
 
U
somea kozi za kijeshi kaka????Waliosomea wanauelewa huu uzi
Ushuzi mtupu,hakuna jeshi haliwezi battle Kama la Israel,wao wanaweza kuwapiga wapalestina tu, hizbullah hawamgusi hawatamani hata kuanzisha nae mbilinge,Vita na misri na vile vya 67 Israel akisaidiwa na baba zake waliomuanzisha, uingereza na ufaransa
 
ITR
Dalili za kuanza kuanguka kwa IDF ilianza kuonekana toka Vita Vya Yom Kippur mwaka wa 1973.

Nakuwekea hapo chini sehemu ya mada niliyowasilisha State University of Zanzibar (SUZA) mwaka wa 2017:

''Katika kitabu chake, ‘’The Road to Ramadan,’’ Mohamed Heikal anaeleza barua aliyoandika Hafiz Al Asad kwenda kwa Sadat akimsihi kuendelea na mapambano.

Hii ilikuwa baada ya Misri kusimamisha majeshi yake kusonga mbele baada ya Sadat kuzungumza na Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje, Henry Kissinger.

Barua hii Hafiz Al Asad aliiandika kwa mkono.
Barua hii haikumbadilisha Sadat.

Kwa kitendo hiki cha kuacha mashambulizi dhidi ya Israel, majeshi ya Syria yakalazimika kupigana na Israel bila ya mshirika wake Misri na hii ikatoa ahueni kubwa kwa Wayahudi na matokeo yake ikawa Israel kunusurika.

Inasemekana kwa usaliti huu ndipo vijana wa Ikhwan Egyptian Islamic Jihad ndani ya jeshi la Misri wakampitishia fatwa ya Sadat kuuawa na hakika hilo likafanyika mwaka wa 1981.

Mwaka wa 1991 nikiwa ''transit'' Cairo nikielekea London, nilifika Heliopolis moja ya vitongoji vya mji nikaona kuna mnara kajengewe Sadat kama shujaa wa Vita Vya 1973.

Kitu muhimu kilichojitokeza katika Vita Vya Yom Kippur ilikuwa kule kujitokeza kwa mara ya kwanza udhaifu katika jeshi la Israel kuwa linaweza kushindika.

Baada ya vita hizi mbili (1967 na 1973) Wapalestina walifanya kile kilichokuja kujulikana kama Intifada kati ya mwaka 1987 – 1993 kisha mwaka wa 2000 – 2005.

Intifada ilidhihirisha kwa Wayahudi kuwa mapambano dhidi yao kutoka kwa Wapestina bado yangalipo na hayatakoma.

Vita iliyokuja kumaliza kile kilichokuwa kimeaaminika na dunia kuwa Wayahudi hawawezi kushindwa katika vita, ni vita vya mwaka wa 2006 kati ya Hizbullah na Wayahudi.

Vita vilipoanza fikra za wengi katika nchi za Kiarabu zilirejea katika Vita Vya Siku Sita vya mwaka wa 1967 na wengi waliamini kuwa Hizbullah watamalizwa kwa muda mfupi kwa kusagwasagwa na Israel.

Hili halikutokea.

Vita vilipiganwa kwa siku 34 katika mwezi wa Julai na Agosti hadi pale Umoja wa Mataifa ilipoingia kati na kuweka makubaliano ya kuweka silaha chini na kumaliza vita.

Wayahudi kwa mara ya kwanza katika historia ya mapambano yao na Waarabu walionekana katika stesheni nyingi kubwa za televisheni duniani wakirudi Israel kutoka uwanja wa mapambano wameinamisha chini vichwa vyao.

Israel ilikuwa kwa mara ya kwanza imeonja kipigo katika vita.

Hapakuwa na shamrashamra ziliyozoeleka za ushindi dhidi ya majeshi ya Kiarabu.

Hizbullah ilikuwa imevunja, ‘’myth,’’ ile fikra ya kuwa Wayahudi hawawezekani.

Hassan Nasrallah kiongozi wa Hizbullah alikuwa akiuliza wakati wa vita, ‘’Wako wapi askari wa Kiyahudi mbona hatuwaoni katika uwanja wa vita?

Tunachoshuhudia ni ndege za Kiyahudi wakipiga mabomu nyumba za raia.’’

Baada ya vita, ilipofika wakati wa kubadilishana mateka Wayahudi walipata fadhaa zaidi pale walipokuwa wao wanapokea majeneza ya askari wao waliouliwa vitani Israel ikiwaachia huru askari hai wa Hizbullah.''

20170618_112606.jpg

Wanafunzi wa SUZA wakifuatilia mhadhara​
Asante kwa hii historia nzuri mzee wangu.
 
Nelson...
Mbona una hofu?
Subiri unisome kwanza.

Mimi nimefika hadi Bar Lev Line Sinai.

Unajua nishapata kukueleza kuwa kuna mambo huwa sipendi kusema kwa kuchunga staha.

Hawajapata hata watu wajuzi kukataa kunihoji au kunisikiliza.

Nelson...
Hayo si mambo ya kuweka hadharani.
Tunazungumzia uzoefu wa uwanja wa uwanja wa vita na ndio maana mada ikajikita kwenye ubora wa majeshi!!!Mada ya leo siasa na udini vikae pembeni
 
Nelson...
Nakuwekea hiyo picha hapo chini kutoka Maktaba yangu.
Picha inasema maneno 1000:

Kitabu cha Schindler kitakupa mateso waliyopitia Wayahudi katika Vita Vya Pili Vya Dunia.
Sasa mzee wangu said mimi mada yangu sio kwenye vitabu!!!Mimi nazungumzia uzoefu wa ndani ya uwanja wa mapambano kupigana!!!Wanajeshi hatuhitaji vitabu kuelezea uzoefu wa vitani!!!Unatoka nje ya mada mzee wangu
 
Back
Top Bottom