IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

Alifia ndani ya ndege kwa majeraha ya risasi wakati wanatoka Entebbe!!!Na alikua wa mwisho kupanda ndege sababu alikataa kumuacha Dora Bloch aliekua hospital ambapo Amin alimuua baadae!!!Na alitaka kuzibeba zile maiti tatu za mateka walikufa wakati wanaokolewa Pasco Cohen na Jean Jaques Mimoun ambao waliwapiga risasi bahati mbaya na Ida Brovochovich aliyeuliwa na watekaji!!!Na alikua anawabeba na kuwapakia kwenye ndege makomandoo watano wa Israel waliojeruhiwa mmoja baada ya mwingine huku akipigwa risasi za mgongoni wakati ndege ikiwa inakimbia kwenye run ways na akiwa amejifunga kamba kiunoni ili ndege isimuache!!!!Brave commando of all time Jonathan Ntenyahu!!!
Yule mtu alikuwa amebarikiwa sana.
 
Nelson,
Labda hujui yaliyotokea wakati Sadat anazungumza na Heikal.

Sadat alijibu fedhuli.

Alikuwa akiamini ule ushindi wa mwanzo wa Misri Sinai ulikuwa unaendelea.

Kilichokuwa uwanja wa mapambano Sinai ni kuwa Wayahudi walikuwa wamelizingira jeshi la Misri na kukata "supply line."

Kuanzia hapo mambo yakawa mengine.

Sadat akahisi mzimu wa Abdul Hakim Ameir umemzukia wa Six Day War 1967.

Tulia kaka waache wasomaji wasome.
Mzee said unatoka nje ya mada sisi tunazungumzia uzoefu wa vitani afu wewe unaleta siasa za vitabuni!!!!Ndio maana nikakuuliza ushawahi hata kushika bunduki au kusikia mlio wa guruneti au risasi?????
 
Nadhani jana pale Islamabad ndio niliona al Jazeera wanaonyesha issue za msiba wake!!
Pole kwa familia japo najua wanachekea chooni. Mzee aliiba sana na watakua bado wanafyonza asali DUBAI. Mpaka kufika December 2022 Musharraf alikuwa na Ne worth ya 2 m USD (Acha makando kando ya kuficha ficha)
 
Katika medani za kivita IDF ndio jeshi bora zaidi kwa record za kukacover military missions duniani akiwa na washirika wake na katika kitengo cha ujasusi Mossad ndio wanaongoza positive plus katika mission zaidi ya 1000 akiwa na washirika wake!!!Mataifa mengine yanafeli wapi?
Ubora wao unatusaidia nni sie wapigakura?
 
We mzee umeathirika na ushoga, simu yako itakua imejaa link za ushoga huwezi uchukia ushoga hafu kila page unasambaza

Kuliko huyu anayesema

1675701549255.jpeg
 
Mzee said unatoka nje ya mada sisi tunazungumzia uzoefu wa vitani afu wewe unaleta siasa za vitabuni!!!!Ndio maana nikakuuliza ushawahi hata kushika bunduki au kusikia mlio wa guruneti au risasi?????
Nelson...
Sijatoka nje ya mada.

Unataka nikufahamishe kama najua kutumia silaha au kama nimepata mafunzo ya jeshi.

Unatafuta nini wewe?

Umeandika kuwa mimi nilihusika na Mwembechai na kuvunjwa mabucha na mambo mengi yasiyo na maana.

Tena umeandika haya baada ya kukueleza kazi ninazofanya vyuo nilivyoalikwa hapa nyumbani, Afrika, Ulaya na Marekani na paper na vitabu nilivyoandika.

Nimekueleza haya nikiamini utakuwa na akili ya kunitambua.

Leo unataka kujua kama nina ujuzi wa matumizi ya silaha.

Kipi unachokitafuta kwangu?

Bahati mbaya umetokea kunichukia kwa kuwa huniwezi.

Huyu ndiye Allah anatoa bila kuhesabu.

Mimi nimemwagiwa haya unayoona naandika hapa.

Wenzako wanafaidi.
Wanasoma wanaelimika.

Naandika mambo ya historia yalipotendeka nina akili zangu na huko yalikotendeka nimefika.

Tulia soma historia ya Wayahudi baada ya Vita Vya Pili Vya Dunia.
Ndani ya historia hii utasoma vita vyao vyote na Waarabu.

Nakuwekea hapo chini nikiwa Giza, Cairo kwenye Pyramids, 1988.
 
Nelson...
Sijatoka nje ya mada.

Unataka nikufahamishe kama najua kutumia silaha au kama nimepata mafunzo ya jeshi.

Unatafuta nini wewe?

Umeandika kuwa mimi nilihusika na Mwembechai na kuvunjwa mabucha na mambo mengi yasiyo na maana.

Tena umeandika haya baada ya kukueleza kazi ninazofanya vyuo nilivyoalikwa hapa nyumbani, Afrika, Ulaya na Marekani na paper na vitabu nilivyoandika.

Nimekueleza haya nikiamini utakuwa na akili ya kunitambua.
Leo unataka kujua kama nina ujuzi wa matumizi ya silaha.

Kipi unachokitafuta kwangu?

Bahati mbaya umetokea kunichukia kwa kuwa huniwezi.

Huyu ndiye Allah anatoa bila kuhesabu.
Mimi nimemwagiwq haya unayoona naandika hapa.

Wenzako wanafaidi.
Wanasoma wanaelimika.

Naandika mambo ya historia yalipotendeka nina akili zangu na huko yalikotendeka nimefika.

Tulia soma historia ya Wayahudi baada ya Vita Vya Pili Vya Dunia.
Ndani ya historia hii utasoma vita vyao vyote na Waarabu.

Nakuwekea hapo chini nikiwa Giza, Cairo kwenye Pyramids, 1988.
Unaelewa mada inasemaje mzee wangu?????? We talk about millitary experience kwa frontline marines,s IDF!!!!Wewe unaleta siasa na udini mzee wangu
 
Himars,
Israel ilianza kudhoofika baada ya Vita Vya Yom Kippur 1973.
Katika vita na Hizbullah 2006 ndipo ile ''myth'' ya nguvu za Israel ilipovunjika hadi leo.

Nimepata kualikwa sehemu fulani mara mbili Zanzibar na Dar es Salaam kuzungumza kuhusu hili.
Israel imedhoofika kwenye Yom Kippur na wakati iliongeza mipaka vita ile
 
Back
Top Bottom