IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

Hahahaaa, eti komando, acha story za movie wewe, unajua ili ndege iruke inakuwa kwenye Kasi gani? Hilo tukio nilishaona movie yake miaka ya 90 na majuzi tu nimeona wameliigiza tena kwenye vipindi vya real

Mzee Said hii mada niliyoleta wewe unaongea story za vitabuni hujawahi kuingia frontline au kushika bunduki na kupambana!!!Mada nazungumzia ubora wa IDF uwanja wa mapambano kulinganisha na majeshi mengine!!!Wewe unaleta siasa na vitabu wakati mada ni ubora wa jeshi kupigana hata katika mazingira magumu na kusurvive!!!2006 vita vya IDF na Hezbollah wewe unaongea story za wapambe wasio na weledi wa kijeshi na hukua frontline kushuhudia mapigano
Nelson...
Nimeshakujibu hayo unayorejea kuniuliza na kusema mara kwa mara na sasa umekuja na jipya kabisa.

Unatueleza kuwa umekaa na wahusika wa Vita Vya Hizbullah na Israel (2006).

Wala sitakuomba ushahidi kwa hayo uliyotueleza.
Wazungu wanaita, ''Cock and bull story.''

Mimi nina kawaida moja huwa sighadhibiki hata ukinutukana sirudishi tusi nitakunasihi tu.

Nafurahi sana kukusoma.
Hii ndiyo raha ya mitandao ya kijamii.

Inaruhusu kusema lolote.
 
Mzee said unatoka nje ya mada sisi tunazungumzia uzoefu wa vitani afu wewe unaleta siasa za vitabuni!!!!Ndio maana nikakuuliza ushawahi hata kushika bunduki au kusikia mlio wa guruneti au risasi?????
Ujue kila kitu kimeandikwa kiwe cha leo au kesho ata wewe umesoma kilicho andikwa miaka iliyo pita ndio maana umetupa historia ya Entebbe mzee anatoa madini
 
Ujue kila kitu kimeandikwa kiwe cha leo au kesho ata wewe umesoma kilicho andikwa miaka iliyo pita ndio maana umetupa historia ya Entebbe mzee anatoa madini
Plumber...
Huyu ndugu yetu hapa jamvini yeye yuko na Mohamed Said tu hana mwengine.
Tulipokuwa watoto tukicheza mechi zetu hapo Mnazi Mmoja.

Ikiwa timu pinzani ina mchezaji hodari ambae sisi tunamuogopa basi tunamwekea beki wetu hodari na anaambiwa usimwachie hata dakika moja kuwa nyuma yake muda wote.

Yeye ana viogopa sana vitabu.
Yeye kaweka uzi huu kuwasifia Mayahudi.

Hakuna ubaya lakini hakutegemea kama mimi nitafika kuchangia.

Mchango wangu wa kwanza tu nimemwekea kitabu cha Mosad kutoka maktaba yangu.

Angekuwa mtu makini angetaka kujua kitabu kinasema nini ikiwa hajakisoma.
Yeye kaja na shambulizi hataki vitabu katika kile anachokiona ati ni uzi wake.

Hamtaki Mohamed Said kwa kuwa hajui kushika bunduki, hajapigana vita nk nk.
Namwambia unajuaje hayo kabakia hapo hapo ananiambia nisichangie.

Namweleza kuwa hapa ukishaweka uzi dunia nzima umeikaribisha.
Nimefurahi kunifahamisha kuwa unaifurahia michango yangu.
 
Hii ni mada ya kijeshi tunazungumzia uzoefu na ubora wa jeshi husika wewe unaleta siasa na udini!!!Ubora wa IDF na zanzbar wapi na wapi mzee wangu!!!!Ndio maana nikakuuliza ushawahi kua katika uwanja wa mapambano ukikabiliana na mpinzani ana kwa ana????Utazungumziaje mambo ya kijeshi hata bunduki hujui kushika mzee wangu?????Au unadhani vita vinapiganwa mdomoni na kwenye mihadhara????
Nelson...
Nikikuambia nina ''mkasi'' utaamini?
Hii nimekugusia kwa kuwa ''mkasi'' ni suala la ''range.''

Yeyote anaruhusiwa.
Umeridhika?
 
Mzee Said wewe umetoka nje ya mada mfano mdogo ni kua hujui hata pande zote mbili kwenye vita vya 2006 zilipoteza askari kiasi gani na mateka kila upande walikua kiasi gani,aina gani za mbinu walipigana,aina za mabomu yaliyotumiwa,aina za makombora yaliyotumika na nani aliharibu working structure ya kijeshi kwa kiasi kikubwa!!!Huna taarifa ya uhalisia kwenye uwanja wa mapambano unaleta siasa na taarifa za waandishi ambao hata bunduki hawajui kushika na kuingia frontline kushuudia vita na makali yake!!!
Nelson...
Wewe hodari sana.
Hivi miaka yote ulikuwa wapi hapa sijakuona?
 
Himars,
Hakuna aliyesalimika katika wale walioua Wayahudi Munich 1972.

Spielberg katengeneza filamu inaitwa ''Munich.''

Katika movie hii kachero wa Kijerumani anazungumza na kiongozi wa Black September anamtisha anamwambia, ''Mkiwaua hawa sisi tutakuueni na nyie.''

Jibu lililotoka lilikuwa, ''Sisi hatukuja hapa kuishi tumekuja hapa kufa.''

Hii movie ipo YouTube nilitaka kukuwekeeni link lakini kuna mambo ya ziada inabidi nifanye.

Itafuteni hapo.

Nakumbuka siku tarifa zilipofika.

Ilikuwa asubuhi niko kituo cha UDA wanauza magazeti.

Daily News wameweke stori hiyo mbele.

Dunia yote ilisimama.
Walitekeleza ila kuna sehemu wakikamatwa Norway baada ya kuua mtu tofauti
 
Ningependa wenye uzoefu na vita ndio wajadili hili!!!Wewe mzee wangu ni mwanasiasa sio mtaalamu wa medani za vita utatoka nje ya mada!!!!Tunazungumzia ubora wa IDF kupambana na kusalimika hata katika mazingira magumu na tunazungumzia uzoefu wa uwanja wa mapambano!!!!Au mzee ushawahi kua mwanajeshi wa kikundi au jeshi lolote lile utupe uzoefu wako hapa???
Nelson...
Mwanzo kabisa nilikuambia nimefika Bar Lev Line Sinai.
Labda kama unadhani nadanganya.

Mimi si mwanasiasa.
Nimekujibu mara nyingi sana kuwa mimi si mwanasiasa.

Hilo unalolitafuta kwangu kujua hutolipata.
Unasema nilikuwa nahimiza uasi misikitini nimekujibu.

Sasa umekuja na hili kama nina mafunzo ya silaha.
Nimekugusia ''mkasi.''
 
Mzee Mohamed Said kama ni kweli Israel ilishindwa na Hizboullah mwaka 2006 unadhani ingeendelea kuwepo kama taifa ?....au kushindwa huko unamaanisha walishindwa kufikia malengo yao yaani kuwamaliza Hizboullah ?

T14 Armata HIMARS
Guerilla war ni ngumu, Hezbolla, Hamas, Taleban, IS, Alshabab hawa wote hawana regalia, wanakushtukiza tu.

Unaweza ona ni watoto kumbe kuna waharifu nyuma yake..

Israel hakushindwa sababu hakupigana ndani ya Israel bali nje ya Israel, hadi leo ikitokea Hezbollah wamezingua sana Israel anaweza risk kuongia Lebanon
 
Humu hapakufai nenda kwenye mada za watu wenye mawazo rahisi kule na wenye elimu za kusuasua. Elimu za kutetea wenye division zero kufeli kwao na kuwaponda wenye division one kwamba watakuja kuishia kutaabika na kuajiriwa na wenye zero! 😂😂😂

Kwa sababu huna ujualo unahisi vinashindikana. Wale ni makomando sio kama polisi jamii wa Tanzania wanaovizia mkojoe kwenye ukuta wawakamate wakawapandishe vizimbani mahakama ya Ilala
Hii fact sio lazima achangie umemwambia sahii kaka
 
Nelson...
Mwanzo kabisa nilikuambia nimefika Bar Lev Line Sinai.
Labda kama unadhani nadanganya.

Mimi si mwanasiasa.
Nimekujibu mara nyingi sana kuwa mimi si mwanasiasa.

Hilo unalolitafuta kwangu kujua hutolipata.
Unasema nilikuwa nahimiza uasi misikitini nimekujibu.

Sasa umekuja na hili kama nina mafunzo ya silaha.
Nimekugusia ''mkasi.''
Kufika Bar lev sio tatizo mzee wangu ila huna uzoefu wa uwanja wa mapambano kuweza kuelewa napozungumzia ubora wa IDF!!!!Au unao huo uzoefu mzee wangu nijuze tuanze mada kuzungumzia ubora wa majeshi na mashirika ya kijasusi kwenye uwanja wa mapambano????
 
Nelson...
Wewe hodari sana.
Hivi miaka yote ulikuwa wapi hapa sijakuona?
Sasa mzee said mpendwa umeanza kuzeeka kumbukumbu zinapotea!!!Miaka yote mdogo wako nipo pamoja na wewe tunajenga taifa pamoja unasema hujaniona!!!Tupo pamoja kaka!!!Afu lile darasa naendelea na utaratibu wa kuliandaa kua na subira kama inavyotakiwa kwa mwanafunzi!!!!Na wewe utapata nafasi ya kufundisha,kuuliza na kujibu maswali pia kutoka kwa wadau mbalimbali!!!!
 
Ujue kila kitu kimeandikwa kiwe cha leo au kesho ata wewe umesoma kilicho andikwa miaka iliyo pita ndio maana umetupa historia ya Entebbe mzee anatoa madini
Kua na amani namuweka sawa mzee mwenzangu kuna vitu hajui kuhusu ubora wa majeshi au taasisi za kijeshi!!!!Medani za kijeshi sio simulizi za kwenye vitabu!!!!Hivi vitu ni uwanja wa kifo hakuna siasa!!!
 
Nelson...
Mimi siko hapa kuhukumu CNN au chombo chochote kilichokuwa kinarusha taarifa za vita vile vya 2006.

Wala siko hapa kupambana na wewe nikushinde.
Maisha yangu yote mimi ni mtu wa kueleza ninachojua.

Nisome toka toka nilipoanza kuchangia uzi huu.

Nina hakika utanifahamu kama nina elimu ya somo lililoko mezani au sina nijuacho.

Nimekuwekea picha niko State University of Zanzibar, (SUZA) natoa mhadhara kuhusu vita vya Hizbullah na Israel 2017.

Kwa nini nialikwe mimi.
Kwa nini hukualikwa wewe?
Unatoa mhadhara wa vita ambavyo hujawahi kuwepo zaidi ya kupata taarifa!!!!Hukuwepo uwanja wa mapambano na hukushuhudia millitary actions na hujui Ground and Air Offensive na hujui 2HP Ground Marks na hujui Spy Moblization na hujui Shield Marks,na Red Line,s Coverage kwa pande zote mbili inakua vigumu kwa wataalamu kama sisi kukusikiliza sababu unaleta siasa kwenye mlango wa kifo(Uwanja wa mapambano)
 
Vita Ya Israel na Hezbollah iliisha kwa Israel kukimbia na kuondoa Naval Blockade Lebanon.

Report ya Israel Jeshi bungeni kwao wanakiri Vita ilikua ni failure why mnapenda kudanganya danganya?


Hio full report ya Jeshi, je Jeshi la Israel halijui ila nyie huku mnafahamu zaidi?

Pia ukiongelea vita ya Yom kipur ongelea na Tarehe, bila kuweka tarehe ni rahisi Sana kulishwa propaganda.

Event zilikuwa hivi
1. Egpty anampiga Israel ghafla na kuvunja defense system yote
2. Israel Hana cha kujibu amepanic anamtishia marekani anapiga Nyuklia
3. Marekani wanaingilia vita a namsaidia Israel na Mazungumzo ya Kusitisha vita yanaanza
4. Sharon anafikiri anaweza kuiteka Cairo ila alibutuliwa vizuri tu ushahidi upo wa kutosha, Jeshi la Israel lilistopishwa Ismailia halikuvuka hapo na wala haijawahi hata kufika km 100 kabla ya Cairo
5. Israel wakakubali kurudisha eneo la Sinai Egpty
6. Propaganda zikaanza

Nina ushahidi wa vita u, magazeti na source za kipindi vita vinatokea na immediate baada ya vita, Kuna vitabu kibao Tena Vimeandikwa na west.
Unajua ndugu zangu mimi ndio nimeleta mada nazungumzia ubora wa IDF katika operation zao kiasi gani wanaweza kumake postive marks in 2HP ground marks,ground plan,s while engaged direct fire shot,s na capablity of individual marine,s!!!Nazungumzia ubora wao kwenye uwanja wa mapambano kama mchambuzi wa maswala ya kijeshi!!!Sasa wadau mnaleta siasa na story za waandishi wa habari mnazitoa google!!!!Ndio maana nikauliza mmeshawahi kua uwanja wa mapambano mkishuhudia vita vya pande mbili????Mmeshawahi kunusa harufu ya kifo namaanisha direct fire shot,s katika uwanja wa mapambano??????Kama hamjawahi ni vigumu kuelewa ubora wa jeshi katika uwanja wa mapambano kama mada inavyosema!!!!!!
 
Achana nae!
Nimeuliza kuhusu vita vya mwaka 2006 kati ya IDF na wanamgambo wa Hezbollah!!!Tunazungumzia 2HP ground marks,Red line,s coverages of turning in and turning out,Shield marks na Air and ground offensive postive marks na Spy mobilization,mistakes and weakness na metal storage out come in targets!!!!Sasa wadau wote wanapozungumzia vita hii ya 2006 wanatoa story za kwenye vitabu au za waandishi wa habari hawana uzoefu na uwanja wa mapambano kuzungumzia udhaifu au ubora wa IDF
 
Vita Ya Israel na Hezbollah iliisha kwa Israel kukimbia na kuondoa Naval Blockade Lebanon.

Report ya Israel Jeshi bungeni kwao wanakiri Vita ilikua ni failure why mnapenda kudanganya danganya?


Hio full report ya Jeshi, je Jeshi la Israel halijui ila nyie huku mnafahamu zaidi?

Pia ukiongelea vita ya Yom kipur ongelea na Tarehe, bila kuweka tarehe ni rahisi Sana kulishwa propaganda.

Event zilikuwa hivi
1. Egpty anampiga Israel ghafla na kuvunja defense system yote
2. Israel Hana cha kujibu amepanic anamtishia marekani anapiga Nyuklia
3. Marekani wanaingilia vita a namsaidia Israel na Mazungumzo ya Kusitisha vita yanaanza
4. Sharon anafikiri anaweza kuiteka Cairo ila alibutuliwa vizuri tu ushahidi upo wa kutosha, Jeshi la Israel lilistopishwa Ismailia halikuvuka hapo na wala haijawahi hata kufika km 100 kabla ya Cairo
5. Israel wakakubali kurudisha eneo la Sinai Egpty
6. Propaganda zikaanza

Nina ushahidi wa vita u, magazeti na source za kipindi vita vinatokea na immediate baada ya vita, Kuna vitabu kibao Tena Vimeandikwa na west.
Tuzungumzie 2HP tactics of both sides,tuzungumzie Air and ground target coverages,tuzungumzie red lines coverages of turning in and turning out of both side!!!!Tuzungumzie metal storage out come of both side,s!!!!Ukizungumzia hivi vitu ndio utaelewa kwanini mada yangu nasema IDF ni jeshi bora zaidi
 
Back
Top Bottom