Vita Ya Israel na Hezbollah iliisha kwa Israel kukimbia na kuondoa Naval Blockade Lebanon.
Report ya Israel Jeshi bungeni kwao wanakiri Vita ilikua ni failure why mnapenda kudanganya danganya?
www.nytimes.com
Hio full report ya Jeshi, je Jeshi la Israel halijui ila nyie huku mnafahamu zaidi?
Pia ukiongelea vita ya Yom kipur ongelea na Tarehe, bila kuweka tarehe ni rahisi Sana kulishwa propaganda.
Event zilikuwa hivi
1. Egpty anampiga Israel ghafla na kuvunja defense system yote
2. Israel Hana cha kujibu amepanic anamtishia marekani anapiga Nyuklia
3. Marekani wanaingilia vita a namsaidia Israel na Mazungumzo ya Kusitisha vita yanaanza
4. Sharon anafikiri anaweza kuiteka Cairo ila alibutuliwa vizuri tu ushahidi upo wa kutosha, Jeshi la Israel lilistopishwa Ismailia halikuvuka hapo na wala haijawahi hata kufika km 100 kabla ya Cairo
5. Israel wakakubali kurudisha eneo la Sinai Egpty
6. Propaganda zikaanza
Nina ushahidi wa vita u, magazeti na source za kipindi vita vinatokea na immediate baada ya vita, Kuna vitabu kibao Tena Vimeandikwa na west.