IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

IDF Jeshi bora kabisa duniani na MOSSAD idara bora zaidi ya ujasusi duniani!

Nelson...
Nichukulie kuwa huna na hujui ulipozipata.

Unapuuza taarifa.

Nifahamishe sababu ya kufanya hivyo.

Rank hizi sikuweka mimi.

Nimezikuta mtandaoni na nimeweka source.
Usichukue taarifa nyeti kwa vyanzo vya mtandaoni na kuziamin mzee wangu!!!!Idara za ujasusi na ulinzi
 
Usichukue taarifa nyeti kwa vyanzo vya mtandaoni na kuziamin mzee wangu!!!!Idara za ujasusi na ulinzi
Nelson...
Mimi sijasema kuwa taarifa za mitandaoni ni za kuaminika moja kwa moja.

Nimekuomba taarifa ambazo ulisema unazo.

Bahati mbaya umetufahamisha kuwa huna.

Kwa hali ya kawaida zingeweza kupatikana lakini wewe umeshindwa kuzipata.

Sababu ulizotupa ni kuwa umezipuuza.

Nikakuuliza nini sababu ya kuzipuuza taarifa hizo?

Jibu lako ni lile la mwanafunzi mwenye uwezo mdogo.

Nakusihi acha ukaidi andika vizuri.

Hii ni kwa faida na heshima yako mbele ya sisi tunaokusoma.

 
Alifia ndani ya ndege kwa majeraha ya risasi wakati wanatoka Entebbe!!! Na alikuwa wa mwisho kupanda ndege sababu alikataa kumuacha Dora Bloch aliekuwa hospital ambapo Amin alimuua baadae!!! Na alitaka kuzibeba zile maiti tatu za mateka walikufa wakati wanaokolewa Pasco Cohen na Jean Jaques Mimoun ambao waliwapiga risasi bahati mbaya na Ida Brovochovich aliyeuliwa na watekaji!!!

Na alikuwa anawabeba na kuwapakia kwenye ndege makomandoo watano wa Israel waliojeruhiwa mmoja baada ya mwingine huku akipigwa risasi za mgongoni wakati ndege ikiwa inakimbia kwenye run ways na akiwa amejifunga kamba kiunoni ili ndege isimuache!!!!Brave commando of all time Jonathan Ntenyahu!!!
Andika kwa kirefu mkuu, niliwahi soma operation thunder lakini kitabu hakikuwa na kurasa kama robo za mwisho.
 
Mna stori za kisengerema nyie, ndege ikiwa kwenye runway inajiandaa kuruka unaweza ikimbilia?
Story za kwenye movie hiz..tena zile series za mission impossible 😂 maana kuna uongo na fiction zilizotukuka mule......hata uwe koma do wa wapi sijui nakuapia bodaboda tu hiz Fekon huwez kimbizana nayo ukaishika
 
Nelson...
Mimi sijasema kuwa taarifa za mitandaoni ni za kuaminika moja kwa moja.

Nimekuomba taarifa ambazo ulisema unazo.

Bahati mbaya umetufahamisha kuwa huna.

Kwa hali ya kawaida zingeweza kupatikana lakini wewe umeshindwa kuzipata.

Sababu ulizotupa ni kuwa umezipuuza.

Nikakuuliza nini sababu ya kuzipuuza taarifa hizo?

Jibu lako ni lile la mwanafunzi mwenye uwezo mdogo.

Nakusihi acha ukaidi andika vizuri.

Hii ni kwa faida na heshima yako mbele ya sisi tunaokusoma.

Upo sahii kwa maoni yako mzee wangu!!!!
 
Andika kwa kirefu mkuu, niliwahi soma operation thunder lakini kitabu hakikuwa na kurasa kama robo za mwisho.
Hii habari ukipata nafasi ya kukutana na wakufunzi wa mambo ya kijeshi watakuelezea kwa undani zaidi!!!Kwenye movie na series kuna mambo mengi yameachwa au kuondolewa kwa sababu za kijasusi na kiusalama zaidi,,Nikitulia nitakuja na makala zaidi kuhusu operation ambazo Jonathan Ntenyahu""Lion"alishiriki kwa ufanisi mkubwa kuziasisi au kuziongoza kwa niaba ya IDF!!!Ninayoweza nitaandika japo sio mwandishi mzuri kitaaluma na nisiyoweza nitaacha kwa sababu za kiusalama zaidi,maana hizi mada za kijeshi zinahitaji uangalifu wa kina
 
Nelson...
Mimi sijasema kuwa taarifa za mitandaoni ni za kuaminika moja kwa moja.

Nimekuomba taarifa ambazo ulisema unazo.

Bahati mbaya umetufahamisha kuwa huna.

Kwa hali ya kawaida zingeweza kupatikana lakini wewe umeshindwa kuzipata.

Sababu ulizotupa ni kuwa umezipuuza.

Nikakuuliza nini sababu ya kuzipuuza taarifa hizo?

Jibu lako ni lile la mwanafunzi mwenye uwezo mdogo.

Nakusihi acha ukaidi andika vizuri.

Hii ni kwa faida na heshima yako mbele ya sisi tunaokusoma.

Upo sahii kwa maelezo yako na maoni yako kama raia wa kawaida na mchambuzi wa mambo ya kiraia mzee wangu ila kwa watu wa medani za kijeshi ni tofauti sana kimaoni na kimtazamo!!!Kuhusu kuandika ucjali nitajifunza kuandika vizuri mzee wangu
 
Upo sahii kwa maelezo yako na maoni yako kama raia wa kawaida na mchambuzi wa mambo ya kiraia mzee wangu ila kwa watu wa medani za kijeshi ni tofauti sana kimaoni na kimtazamo!!!Kuhusu kuandika ucjali nitajifunza kuandika vizuri mzee wangu
Nelson...
Nakuhurumia sana.

Umekipenda kitu huna majaaliwa nacho.
 
Nelson...
Nakuhurumia sana.

Umekipenda kitu huna majaaliwa nacho.
Asante kwa huruma yako mzee wangu ni jambo la kutia faraja kuonewa huruma na binadamu wenzio ila mada hii ni ubora wa IDF na Mossad katika uwanja wa mapambano na tunajadili kama wachambuzi wa maswala ya kijeshi hatuchambui kama raia
 
Nelson kaja kiushabiki akakutana na mhenga Mohamed Said dakika mbili nyingi kapigwa za uso
 
Asante kwa huruma yako mzee wangu ni jambo la kutia faraja kuonewa huruma na binadamu wenzio ila mada hii ni ubora wa IDF na Mossad katika uwanja wa mapambano na tunajadili kama wachambuzi wa maswala ya kijeshi hatuchambui kama raia
Hiyo jeshi na raia umeipenda sana lakini sioni chochote.

Kila ukienda ukirudi unataja lakini hakuna ulichoandika.

Nimekuelekeza kwenye post za Smart.
Msome.

Naumia ninavyoona unahangaika kujieleza kuwa wewe ni mtu wa ofisi no. 1, jeshi.

Nimekulishia West Point.
Hamna kitu.

Nimekuwekea David Kimche, Abdul Hakim Ameir.

Hamna kitu.
Bar Lev.

Tupu.

Nikaenda nyuma kwa majemadari wa zamani Ahmed Mohamed Mahdi na Gordon Pasha.

Vyuo vyote vya kijeshi wanawasomesha hawa.

Zero.

Kuna mtu kakuambia kuwa ujuacho wewe na ndiyo kichaka chako ni "front line."

Field Marshall Josip Tito na Partisan Army.

Nakuletea mmoja zaidi Erwin Rommel The Desert Fox.

Pole sana.
 
Nelson kaja kiushabiki akakutana na mhenga Mohamed Said dakika mbili nyingi kapigwa za uso
Trainee,
Uzee dawa.

Huyu kijana hatafanikiwa kitu.
Elimu ukiitaka sharti upinde mgongo ukunje goti kwa walimu usome.

Ukielelezwa jambo usilojua ndiyo ushajua hulirudii katika makosa kamwe.
Angalia nimemuelekeza mara ngapi kuhusu kuweka!!!???kwenye "text."

Prof. Shivji na jopo lake walipokuja nyumbani kwangu nilikataa kukaa juu ya kiti nilikaa miguuni kwao.

Wakaniuliza kwa nini.

Nikawaambia nyie mmenipokea Chuo Kikuu mkanisomesha na leo mie nimekuwa mtu kutokana na niyinyi laiti mngeniambia mnataka kunihoji kuhusu Mwalimu Nyerere mimi ningekufateni.

Leo wamekuja walimu wangu nyumbani kwangu mimi kuwaonyesha adabu siwezi kuning'iniza miguu yangu mbele yao.

Hii ndiyo adabu ya elimu.

Huyu Nelson nimetoka na yeye mbali katika uzi mwingine kuhusu historia ya Zanzibar.

Kanijua kuwa mimi si makamo yake mimi ni mzee, nimekaa darasani vyema, nimeandika vitabu na papers nyingi, nimesafiri dunia hii nimekuta na watu wengi muhimu katika historia ya Tanganyika.

Haya yalitosha kwake kunifahamu vyema kabisa na kama yeye yko hapa JF kupata na kutoa elimu tungekuwa tumeshikana na akaonyesha hesgima hata kama hatukubaliani fikra.

Badala yake anaandika anawaambia wasomaji kuwa mimi nahusilka na vurugu za Mwembechai na uvunjaji wa mabucha ya nguruwe na kuwa nataka Tanzania iwe nchi ya Kiislam.

Anajaribu kunivunjia heshima yangu.

Abubakar Sadik alipotawafu Mtume SAW alipopanda kwenye member ya Mtume SAW alikataa kukikalia kiti cha Mtume SAW alikaa pale Mtume SAW alipokuwa anakanyaga.

Siku niliposomeshwa mlango huu na mwalimu wangu nililia.

Hii ndiyo adabu ya elimu wengi hapa hawakujaaliwa kuipata na ndiyo sababu ya haya tunayoshuhudia hapa jamvini.

Kejeli, uongo, kibri na matusi.

1675873559102.jpeg

Kulia Prof. Issa Shivji, Prof. Said Yahya Othman na Dr. Ng'wanza Kamata
kutoka Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam​
 
Hiyo jeshi na raia umeipenda sana lakini sioni chochote.

Kila ukienda ukirudi unataja lakini hakuna ulichoandika.

Nimekuelekeza kwenye post za Smart.
Msome.

Naumia ninavyoona unahangaika kujieleza kuwa wewe ni mtu wa ofisi no. 1, jeshi.

Nimekulishia West Point.
Hamna kitu.

Nimekuwekea David Kimche, Abdul Hakim Ameir.

Hamna kitu.
Bar Lev.

Tupu.

Nikaenda nyuma kwa majemadari wa zamani Ahmed Mohamed Mahdi na Gordon Pasha.

Vyuo vyote vya kijeshi wanawasomesha hawa.

Zero.

Kuna mtu kakuambia kuwa ujuacho wewe na ndiyo kichaka chako ni "front line."

Field Marshall Josip Tito na Partisan Army.

Nakuletea mmoja zaidi Erwin Rommel The Desert Fox.

Pole sana.
Nashukuru sana mzee wangu kwa maoni yako kama raia na mchambuzi wa mambo kiraia!!!Lakini kwa upande wa pili sisi tunaochambua mambo kwa jicho la kijeshi na tuna uzoefu wa frontline activities tunajua IDF ni jeshi bora kabisa katika uwanja wa mapambano ya aridhini na angani
 
Nashukuru sana mzee wangu kwa maoni yako kama raia na mchambuzi wa mambo kiraia!!!Lakini kwa upande wa pili sisi tunaochambua mambo kwa jicho la kijeshi na tuna uzoefu wa frontline activities tunajua IDF ni jeshi bora kabisa katika uwanja wa mapambano ya aridhini na angani
Nelson...
Hadithi za Alfu Lela Ulela na Siku Alfu na Moja.
 
Nashukuru sana mzee wangu kwa maoni yako kama raia na mchambuzi wa mambo kiraia!!!Lakini kwa upande wa pili sisi tunaochambua mambo kwa jicho la kijeshi na tuna uzoefu wa frontline activities tunajua IDF ni jeshi bora kabisa katika uwanja wa mapambano ya aridhini na angani
Nelson...
Vichekesho na vituko vikubwa.

Uzi huu mbona sijawaona wanajeshi ila wewe tena kwa kujitengaza ati wewe mwanajeshi.

Umekuja JF lini?
Ushawaona wanajeshi wanajitangaza humu?
 
Kamanda wa IDF Ariel Sharon katika vita vya yom kippur mwaka 1973 alingamua kitu kimoja ambacho ni cha muhimu sana kama unapigana usiku au wakati wa dhoruba za mchanga za jangwani.Lazima utambue umbali wa adui au mpinzani wako toka pale mlipo,na lazima ujue vifaru bila zana shrikishi si salama kuvitegemea ila vitumike kama decoy za kuwahadaa adui wanapokua angani.Basi akaja na mbinu hii naielezea kwa kiswahili fasaha nieleweke.Rudi nyuma ukitengeneza circle postion core,s na red line,s coverage,s kwa askari wa miguu ili kupunguza majeruhi na hasara na muache adui aone eneo lote lipo wazi bila kizuizi ili asonge mbele wakati huo huo usiruhusu awe comfortable hewani hata sekunde moja ili kuwalinda askari wa miguu wasidhurike.Ndege za 165- A4 Skyhawks zilifaa sana kwenye mbinu hii ya kumnyima adui uhuru angani mda wote kwenye jangwa la sinai ila kwa sasa kama ikitokea vita zitatumika F-35 Lightning 2 na multirole fighter jet,s nyingine hasa kama ikitokea vita ya kushitukiza jangwani.Bali itategemea unapigana na nani na hali ya uwezo wake kwenye uwanja wa mapambano wakati husika.Hii mbinu ni rahisi kumzunguka adui wakati haupigani nae na kumlazimisha asalimu amri pale tu main line supply yake ikiisha baada ya kundi sindikizi kushindwa kumfikia maana circle postion core,s zinageuka zinakua strong resistance line.Imeasisiwa na Ariel Sharon kamando mwandamizi wa IDF kipindi hicho na ni mbinu yenye matokeo chanya uwanja wa mapambano sababu unapunguza hatari na unazuia mjengeo wa vikosi pinzani vya nyuma kwa wakati mmoja hasa unapokua jangwani na umeshitukizwa katika mapigano.Aliitumia baada ya kuibuni mpaka ikamsaidia akavuka Suez Canal karibia na Ismailia kwa kutegemea tu military supply za askari wa miamvuli wasiozidi 300+. Jambo ambalo ni nadra na risk ila yeye alifanya kuhakikisha vikosi vya makamanda wengine akiwemo Jonathan""Yoni au Lion" vinapunguziwa nguvu na makali ya adui kwenye jangwa la sinai ili visonge mbele mpaka alipo yeye.Lakini kuonyesha ubora na upekee wa Jonathan Ntenyahu"Yoni au Lion" kama kamanda wa IDF ni kua alishiriki kama kiongozi kupigana na adui pande zote mbili za uwanja wa vita namaanisha upande wa kuwakabili wamsiri na upande wa kuwakabili wasiriya kwenye uwanda wa vilima vya Golan.Huu ndio ubora wa mbinu za kivita ambazo wachambuzi wa kijeshi tunalipa jeshi husika IDF sifa zake kitaalamu sio kishabiki.Suala sio kupambana tu bali kupambana kwa kutumia mbinu zenye tija na kua jeshi bunifu wakati wa vita na jeshi la IDF sifa hii ndio msingi wake katika ngazi zote na vitengo vyake tofauti.Nikipata nafasi nitaelezea jinsi makamanda wa IDF walivyoasisi mfumo wa kupigana na vifaru kwa ufasaha bila kutegemea usaidizi wa angani katika kushambulia adui na hii ilitokea katika uwanda wa vilima vya Golan pale mamia ya vifaru vya jeshi la Sriya na Israel vilipokutana uso kwa uso 1973.Na kuweka rekodi ya mapambano makubwa ya vifaru kuwahi kutokea baada ya vita vikuu vya pili vya dunia
 
Katika medani za kivita IDF ndio jeshi bora zaidi kwa record za kukacover military missions duniani akiwa na washirika wake na katika kitengo cha ujasusi Mossad ndio wanaongoza positive plus katika mission zaidi ya 1000 akiwa na washirika wake!!!Mataifa mengine yanafeli wapi?
Hujui usemalo. Jeshi gani bora linaendeshwa na Marekani karibu kwa kila kitu? Kwa utapeli nakubaliana nawe.
 
Nelson...
Vichekesho na vituko vikubwa.

Uzi huu mbona sijawaona wanajeshi ila wewe tena kwa kujitengaza ati wewe mwanajeshi.

Umekuja JF lini?
Ushawaona wanajeshi wanajitangaza humu?
Asante kwa maoni yako kama raia mzee wangu tuendelee na mada yetu kuhusu ubora wa jeshi la IDF na Mossad katika uwanja wa mapambano
 
Back
Top Bottom