dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
π π π π π πAlichokifanya ataelezwa huko aliko!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π π π π π πAlichokifanya ataelezwa huko aliko!
Yule dogo anajisahau sana....... anapaswa kufunzwa adabu!
sasa wewe unasema afuzwe adabu kwa kosa ganiAlichokifanya ataelezwa huko aliko!
Acha akili za kijinga Serikali ina mambo mengi ya msingi ya kufanya kuliko kuhangaika na mchekeshaji.Alichokifanya ataelezwa huko aliko!
Hilo atakaloelezwa huko aliko!sasa wewe unasema afuzwe adabu kwa kosa gani
wewe hapo nakuuliza unayesema afunzwe adabu,kwa kukosa adabu ipiHilo atakaloelezwa huko aliko!
Kuna watu wanalipwa mishahara wa serikali kushughulika na hayawani kama hawa so usiogope!Acha akili za kijinga Serikali ina mambo mengi ya msingi ya kufanya kuliko kuhangaika na mchekeshaji.
Kuna sehemu hata umeme na maji hakuna, kuhangaika na mchekeshaji ni kupoteza muda
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo hiyo uliyoisema wewe!wewe hapo nakuuliza unayesema afunzwe adabu,kwa kukosa adabu ipi
punguza ushabiki wa kijingaHiyo hiyo uliyoisema wewe!
Hamna picha ya wazazi wa huyo dogo ya zamani tuipost naye afurahi...View attachment 1455154
Moderator naombeni sana msiunge huu uzi.
Yule msaani amepelekwa selo kwa sababu ya ile clip yake akionekana kuicheka hii picha? au kuna kingine?
Kama ni kuicheka hii picha,kosa lake ni lipi? amedhalilisha waliopo kwenye picha?kivipi? waliochekwa wameshtaki?wamepata damage gani?
Ukiacha yote hayo,labda pengine kwa sababu kwenye picha kuna rais,lakini ni kweli hicho kicheko kinakuwa big deal mpaka dola kuacha mambo ya msingi na kudeal na jambo kama hili?
Mambo haya tulizoea kuyasikia nchi za madikteta kama Robert Mgabe lakini leo hii tunayahuhudia hapa kwetu Tanzania
Ameelezea na kuuliza so kuna vitu viwili hapo!Hivi umeyaelewa maswali aliyouliza mtoa maada?
Wewe ndio mjinga unayeleta hisia zako za kiboya hapa!punguza ushabiki wa kijinga
kwa hiyo kosa kuifurahi picha ya hao wazazi?does it sense. we mzazi wako nikimcheka picha yake utanifunga?au ndo matumizi ya madaraka?hembu tuambie sasa kavunja sheria ipi hata kama ni sheria za kidkitetaHamna picha ya wazazi wa huyo dogo ya zamani tuipost naye afurahi...
Maana kanuni inasema usimtendee mtu kile wewe hupendi tendewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
punguza upunguani jamaa,hata kama ni fake ID. kama huna jibu kaa kimya,usi quote watu na pumba zakoWewe ndio mjinga unayeleta hisia zako za kiboya hapa!
Not reallyYule dogo anajisahau sana....... anapaswa kufunzwa adabu!
Wewe ndio punguani uliyeleta picha kwa kujificha kwenye ID fake kama mbuni ukiamini umejificha!punguza upunguani jamaa,hata kama ni fake ID. kama huna jibu kaa kimya,usi quote watu na pumba zako
majibu ya hivi uwa mnayapataje ?Alichokifanya ataelezwa huko aliko!