Idris Sultan akamatwa na Polisi, anahojiwa na Kitengo cha Makosa ya Mtandaoni

Idris Sultan akamatwa na Polisi, anahojiwa na Kitengo cha Makosa ya Mtandaoni

Huu ni uongo per se,wazee wa propaganda bana

Uwezo wa kuingia michigan na kufanya uhuni huo upo lkn uwezekano wa kutoka salama ndani ya US haupo.

Usidhani US ni kama hapo kwa mama Zakaria.

Yule chalii anaitwa MPL na alikamatiwa UK kwa ushirikiano wa Police TZ na INTERPOL,na sio huo uongo ulioleta.
Sasa umekataa nn na umekubali nn?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama picha ndo hiyo .. atakae mhoji lazima nae acheke..na akipelekwa mahakamani na judge ataangua kicheko akiwa anatoa hukumu..
 
Mmmmh kama issue ni picha hiyo ya jpm mbona inachekesha kweli. Labda kama sijaelewa kwanini amekamatwa
 
View attachment 1454271

Mchekeshaji huyo mwenye miaka 27 anashikiliwa katika Kituo cha Polisi Oysterbay Jijini Dar na anahojiwa katika Kitengo cha Makosa ya Mtandaoni

Anashikiliwa baada ya kuwasili Kituoni hapo kufuatia wito wa Polisi na inadaiwa atahamishiwa Polisi Makao Makuu

Oktoba 2019, alikamatwa kwa kuhariri picha ya Rais Magufuli na alihojiwa kwa saa 5 katika Kituo cha Polisi Central, kisha kuachiwa kwa dhamana

Aidha, Idris aliyewahi kushinda tuzo ya Big Brother Africa mwaka 2014, Machi mwaka huu alifikishwa katika Mahakama ya Kisutu kwa kuweka maudhui mtandaoni bila leseni

Bila shaka uhendisamu boi wake ndiyo unamuokoa na kila mara anaachiwa ila angekuwa na Nyago baya angeshaijua Segerea.
 
View attachment 1454271

Mchekeshaji huyo mwenye miaka 27 anashikiliwa katika Kituo cha Polisi Oysterbay Jijini Dar na anahojiwa katika Kitengo cha Makosa ya Mtandaoni

Anashikiliwa baada ya kuwasili Kituoni hapo kufuatia wito wa Polisi na inadaiwa atahamishiwa Polisi Makao Makuu

Oktoba 2019, alikamatwa kwa kuhariri picha ya Rais Magufuli na alihojiwa kwa saa 5 katika Kituo cha Polisi Central, kisha kuachiwa kwa dhamana

Aidha, Idris aliyewahi kushinda tuzo ya Big Brother Africa mwaka 2014, Machi mwaka huu alifikishwa katika Mahakama ya Kisutu kwa kuweka maudhui mtandaoni bila leseni
Afadhali

Navajo hata akiwa kichaa huwezi kumkejeli vile
 
Inamaana Idris nimepita mwaka....kubabaake..
.ngoja na mimi nisimamishe miaka...nafkiri hata wema anaitumia hii staili,manake Hadi saiv naskia anamiaka 26😬😬😬😬
 
Sasa inabidi akafumuliwe malinda tu nadhani ndo anachokitafuta huyo Idris
 
Naona kipofu unajaribu kutetea kipofu mwenzio, ile ni kucheka au kudhihaki, licha ya kuwa rais na kuwa taasisi, pia ni mzazi na ana watoto, je wanajisikiaje wakiona ujuha wa huyo Sultan.. Ni kukosa tu adabu kwenu na ujinga wenu utakao waangamiza..
Kwa hiyo kucheka suti ya Rais ni kosa? Very stupid! mnataka kufanya vijana wawe waoga kuwaogopa ndio kwanza watazidi kuzaliwa wengine.Idiots

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1454271

Mchekeshaji huyo mwenye miaka 27 anashikiliwa katika Kituo cha Polisi Oysterbay Jijini Dar na anahojiwa katika Kitengo cha Makosa ya Mtandaoni

Anashikiliwa baada ya kuwasili Kituoni hapo kufuatia wito wa Polisi na inadaiwa atahamishiwa Polisi Makao Makuu

Oktoba 2019, alikamatwa kwa kuhariri picha ya Rais Magufuli na alihojiwa kwa saa 5 katika Kituo cha Polisi Central, kisha kuachiwa kwa dhamana

Aidha, Idris aliyewahi kushinda tuzo ya Big Brother Africa mwaka 2014, Machi mwaka huu alifikishwa katika Mahakama ya Kisutu kwa kuweka maudhui mtandaoni bila leseni
Mchekeshaji (comedian),hivyo ndivyo anavyotambulika na shughuli inayomuingizia kipato.Mbona yule anayemuigiza JPM sauti mpaka na uvaaji yeye anasifiwa tu?
Wakati mwingine kama binadamu tukubali kuna wakati wa "Light moment".Watu wacheke kidogo.
Pia tupate msaada wa kisheria kuhusu haya mambo ya uchekeshaji,kisheria ni lipi ufanye na lipi uache.
 
Back
Top Bottom