Mtemikwila
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 1,389
- 1,063
Sasa umekataa nn na umekubali nn?Huu ni uongo per se,wazee wa propaganda bana
Uwezo wa kuingia michigan na kufanya uhuni huo upo lkn uwezekano wa kutoka salama ndani ya US haupo.
Usidhani US ni kama hapo kwa mama Zakaria.
Yule chalii anaitwa MPL na alikamatiwa UK kwa ushirikiano wa Police TZ na INTERPOL,na sio huo uongo ulioleta.
Sent using Jamii Forums mobile app