Idris Sultan akamatwa na Polisi, anahojiwa na Kitengo cha Makosa ya Mtandaoni

Idris Sultan akamatwa na Polisi, anahojiwa na Kitengo cha Makosa ya Mtandaoni

Matatizo ya kujitakia

Wakati wa utawala wa JK mwanzoni kuna Jamaa alikuwa anajiita Ze Utamu, akadhalilisha watu wengi sana mwishowe akajikuta anamdhalilisha Mkuu wa Nchi

Aliishi Michigan, watu walimtafuta kwa mbinu za medani akajikuta kaingia kwenye 18 za Nchi

Alikuja akapigwa pipe akarekodiwa then akaachiwa huru arudi zake US akaambiwa nenda kaendelee ku post, mpaka leo hajarudia, Baba yake alikuwa Waziri wakati wa Nyerere na sasa hivi mmoja wa ndugu zake wa karibu ni Mbunge

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa alikuwa mwehu sana yule

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rudi kasome ulicho quote
Nmeeleza baada ya kufanyishiwa 'akaachiwa' arudi zake Us.. hapo bado huelewi huo ushenzi alifanyiwa wapi?,

Rudia kusoma paragraph ya tatu



Punguza jazba unaposoma comments za watu usiowakubali ili uelewe
Kiongozi acha kutupiga Sound,vyote ulivyoandika ni vya kufikirika tu.

INTERPOL ndio waliofanikisha zoezi hilo na sio nani wala nani.

Ndio,US watu wanafanyiziwa kwa sana tu lkn CONSEQUENCE za Kufanyia upuuzi huo ndani ya ardhi ya US unajulikana na wala hatuwezi kuthubutu kufanya hayo uliyoyasema.

Na tukio la bwana huyo kukamatwa lilitokea UK na sio US.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1454271

Mchekeshaji huyo mwenye miaka 27 anashikiliwa katika Kituo cha Polisi Oysterbay Jijini Dar na anahojiwa katika Kitengo cha Makosa ya Mtandaoni

Anashikiliwa baada ya kuwasili Kituoni hapo kufuatia wito wa Polisi na inadaiwa atahamishiwa Polisi Makao Makuu

Oktoba 2019, alikamatwa kwa kuhariri picha ya Rais Magufuli na alihojiwa kwa saa 5 katika Kituo cha Polisi Central, kisha kuachiwa kwa dhamana

Aidha, Idris aliyewahi kushinda tuzo ya Big Brother Africa mwaka 2014, Machi mwaka huu alifikishwa katika Mahakama ya Kisutu kwa kuweka maudhui mtandaoni bila leseni
Ana miaka 32/33 sio 27
 
Matatizo ya kujitakia

Wakati wa utawala wa JK mwanzoni kuna Jamaa alikuwa anajiita Ze Utamu, akadhalilisha watu wengi sana mwishowe akajikuta anamdhalilisha Mkuu wa Nchi

Aliishi Michigan, watu walimtafuta kwa mbinu za medani akajikuta kaingia kwenye 18 za Nchi

Alikuja akapigwa pipe akarekodiwa then akaachiwa huru arudi zake US akaambiwa nenda kaendelee ku post, mpaka leo hajarudia, Baba yake alikuwa Waziri wakati wa Nyerere na sasa hivi mmoja wa ndugu zake wa karibu ni Mbunge

Sent using Jamii Forums mobile app
Uongo mtupu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IMG_9974.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Huyu dogo nae anatafuta kiki tu sasa. Unafanyaje kosa lile lile mara 2 hata kama ndani ya nafsi yako unaamini uko sawa.

Baada ya kuachiwa mara ya kwanza kwa kufanya uchekeshaji wa maudhui yale alitakiwa aachane nayo.

Mbona kuna maudhuhi mengi tu ya kuchekesha. Bila kujali kuwa ni sawa au haki au si sawa hatakiwi kulazimisha baadhi ya makosa.

Aache tu kama utawala huu haupendi kuchekeshewa Boss wao awe mpole tu asubiri utawala ujao amcheke huyo Boss.
Nyie ndio mnamvimbisha bichwa huyo mshamba mchunga ng'ombe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom