Yudatade Edesi Shayo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 2,903
- 4,334
Siyo kwa idrissa kaka yule dogo ni kama ukiniona mimi hutoamini kama na hiyo 27 ,jamaa hata chuo hakwenda yeye alikwenda bbaYule mkubwa hata kwa macho anaonekana tu. Si chini ya 31.
Ila wana kasumba sana ya kujipunguza umri hawa mastaa.
Sent using Jamii Forums mobile app