Idris Sultan akamatwa na Polisi, anahojiwa na Kitengo cha Makosa ya Mtandaoni

Idris Sultan akamatwa na Polisi, anahojiwa na Kitengo cha Makosa ya Mtandaoni

Kuna siku alihoji freedom of speech uko Twitter, shortly idrisa sultan siyo praise team yeye anasimamia kwenye ukweli tofauti na celebrities wengine uchwara

Sent using Jamii Forums mobile app
Hili ndo tataizo lakw yuko very positive sana jamaa yule hata ukimsikiliza kwa makini brain ipo huwa ana hoji mambo mengi ya kimsingi!!sasa kwa nchii kwa muda siyo rafiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jamaa acha uongo yaani Uingie USA ufanye unyama halafu utoke kirahisi kwa hawa watu wetu..nasema HAPANA
Matatizo ya kujitakia

Wakati wa utawala wa JK mwanzoni kuna Jamaa alikuwa anajiita Ze Utamu, akadhalilisha watu wengi sana mwishowe akajikuta anamdhalilisha Mkuu wa Nchi

Aliishi Michigan, watu walimtafuta kwa mbinu za medani akajikuta kaingia kwenye 18 za Nchi

Alikuja akapigwa pipe akarekodiwa then akaachiwa huru arudi zake US akaambiwa nenda kaendelee ku post, mpaka leo hajarudia, Baba yake alikuwa Waziri wakati wa Nyerere na sasa hivi mmoja wa ndugu zake wa karibu ni Mbunge

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Write your reply...kuna haja ya kutoa elimu zaidi ya hii sheria ya makosa ya mtandaoni
 
Ulipaswa uulize mbinu gani za medani zimetumika kabla ya kukurupuka

Watu wengi sana wanafanyiziwa huko huko US labda kama si mfuatiliaji

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiongozi acha kutupiga Sound,vyote ulivyoandika ni vya kufikirika tu.

INTERPOL ndio waliofanikisha zoezi hilo na sio nani wala nani.

Ndio,US watu wanafanyiziwa kwa sana tu lkn CONSEQUENCE za Kufanyia upuuzi huo ndani ya ardhi ya US unajulikana na wala hatuwezi kuthubutu kufanya hayo uliyoyasema.

Na tukio la bwana huyo kukamatwa lilitokea UK na sio US.
 
Picha yenyewe ni hii hapa naona member wote wameogopa kuiweka.
Screenshot_20200519-191737.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1454271

Mchekeshaji huyo mwenye miaka 27 anashikiliwa katika Kituo cha Polisi Oysterbay Jijini Dar na anahojiwa katika Kitengo cha Makosa ya Mtandaoni

Anashikiliwa baada ya kuwasili Kituoni hapo kufuatia wito wa Polisi na inadaiwa atahamishiwa Polisi Makao Makuu

Oktoba 2019, alikamatwa kwa kuhariri picha ya Rais Magufuli na alihojiwa kwa saa 5 katika Kituo cha Polisi Central, kisha kuachiwa kwa dhamana

Aidha, Idris aliyewahi kushinda tuzo ya Big Brother Africa mwaka 2014, Machi mwaka huu alifikishwa katika Mahakama ya Kisutu kwa kuweka maudhui mtandaoni bila leseni
Hii ndio Tanzania......... sio kama US vile anavofanya Travor Noah. Hope mnaelewa.
 
Kambaku,

Hukuna kosa alilofanya. Sema CCM mmeamua kutunga makosa yenu. Mtu hata akikuambia " sura yako" akaishia hapo. Basi mnaona ni tusi mnakimbilia kumpeleka mahakamani.

Hizi ndizo kesi alikutana nazo sana tundu lisu ila aliwashinda mpaka wakamtafta kivingine
Mkuu usinihusishe na upande wowote wa kisiasa, mimi ni pure mTanzania na kwa sasa ndani ya nafsi yangu sifungamani na upande wowote. Ninachosema, narudia tena, bila kujali kama kufanya hivyo ni kosa au si kosa kwa jamii zingine kulikuwa na ulazima gani kurudia kosa lile lile kwa maudhui yale yale? Wewe unaweza kufanya hivi alivyofanya Idris mkuu baada ya kuponyoka mara ya kwanza? Hebu tuweke ushabki wa siasa pembeni, wewe unaweza fanya kitu ukakamatwa kisha ukaonywa ukaachiwa kisha ukakirudia kitu kile kile hata kama kwa wakati huo huoni kosa lake, na ikiwa kitu chenyewe hakina ulazima wowote? Simtetei serekali ala simtetei Idris ila namshangaa kwanini analazimisha kukamatwa!
 
Back
Top Bottom