Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii story nilishawahi kuisikia lkn,huyo siyo yule jamaaa anayevaaga makaptura makubwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana,hakuna kitu sahihi ulichoandika hapo.Rudi kasome ulicho quote
Nmeeleza baada ya kufanyishiwa 'akaachiwa' arudi zake Us.. hapo bado huelewi huo ushenzi alifanyiwa wapi?,
Rudia kusoma paragraph ya tatu
Punguza jazba unaposoma comments za watu usiowakubali ili uelewe
Sent using Jamii Forums mobile app
@Mshana unamaanisha nini hapa[emoji3166][emoji3166][emoji16]Umaarufu huu utamfikisha pazuri
Jr[emoji769]
ila hii suti jamani basi tuPicha yenyewe ni hii hapa naona member wote wameogopa kuiweka.View attachment 1454331
Sent using Jamii Forums mobile app
Celebrities hawakui aisee.Idris ana miaka 27?ha ha haa kwahiyo BBA ya 2014 alishiriki akiwa na miaka 21?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mdogo tu na shangaa watu wanasema kapunguza umri ila hajapunguza hata mwezi mmoja mkuuKumbe dogo ana miaka 27?
Ukiwa kwenye mapenzi na kitu sio rahisi kukoma.....Sijui kwanini hakomi
Alipata pesa na Umaharufu akiwa dogo sana. Dah kwa umri wake nilikua chuo nikishika hela kubwa ni laki 3 za boom.Ni mdogo tu na shangaa watu wanasema kapunguza umri ila hajapunguza hata mwezi mmoja mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ni form six yangu 2014 mimi mwenyewe ukiniona huwezi amini kama 27yrs tena saivi na kitambi ndo kabisa huwa na salimiwi ila jamaa nilikuwa naye jeshi kwa mujibuAlipata pesa na Umaharufu akiwa dogo sana. Dah kwa umri wake nilikua chuo nikishika hela kubwa ni laki 3 za boom.
Kuna ndugu yake mmoja hujamtaja.Matatizo ya kujitakia
Wakati wa utawala wa JK mwanzoni kuna Jamaa alikuwa anajiita Ze Utamu, akadhalilisha watu wengi sana mwishowe akajikuta anamdhalilisha Mkuu wa Nchi
Aliishi Michigan, watu walimtafuta kwa mbinu za medani akajikuta kaingia kwenye 18 za Nchi
Alikuja akapigwa pipe akarekodiwa then akaachiwa huru arudi zake US akaambiwa nenda kaendelee ku post, mpaka leo hajarudia, Baba yake alikuwa Waziri wakati wa Nyerere na sasa hivi mmoja wa ndugu zake wa karibu ni Mbunge
Sent using Jamii Forums mobile app
haaaa haaaa anashtakiwa kwa kosa la kuicheka hii picha?Tz kama Zimbambwe chini ya MugabePicha yenyewe ni hii hapa naona member wote wameogopa kuiweka.View attachment 1454331
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona kule mjengoni bba alidanganya umri,coz kwa 27 na muonekano huu hapanaIdris ana miaka 27?ha ha haa kwahiyo BBA y
a 2014 alishiriki akiwa na miaka 21?
Sent using Jamii Forums mobile app
Anatfut tention kwa lazim sana mjing huyu,sijui hat hivyo mchekeshaji sijui wanini,sijwahi kujiskia kuchek kwa jambo lake lolote lile wala kichekeshoSijui kwanini hakomi