Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
Mkuu kama hujui nini kinajadiliwa hapa, fanya mpango unawe mikono kwa maji au sanitizerpicha ipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kama hujui nini kinajadiliwa hapa, fanya mpango unawe mikono kwa maji au sanitizerpicha ipi?
Kabisa ,au nyumbani kwake aweke bendera kubwaAjiunge CCM haya mambo hatakaa ayasikie, hajifunzi kwa MUSIBA?
MBONA MUSIBA HAKAMATWI?
punguza imagination.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ule msuti unachekesha ndiyo
Anachekea Nini?..nauliza kosa lake ni lipi hawataki kujibu. ujinga mtupu nchi inaacha kudeal na mambo ya msingi inadeal na picha
kwa hiyo kosa lake ni kuicheka picha ya mkemia. sheria namba ngapi imevunjwaHuyu dogo ambacho hakijui, wengi tulicheka Sana Hadi machozi. Lakn unacheka kimya kimya kama ile ngoma ya Jay moe
Sent using Jamii Forums mobile app
NdioIdris ana miaka 27?ha ha haa kwahiyo BBA ya 2014 alishiriki akiwa na miaka 21?
Sent using Jamii Forums mobile app
halafu tai ipo nje ya msuti haaa haaa kama kitambaa cha mashineniUle msuti unachekesha ndiyo
In reality sisi tupo sawa tu na Korea Kaskazini.Watanzania akili zetu ndogo sana. Huyu ni comedian na anafanya for fun. Basi tunakua wajingaaaaq as if Magufuli hanyi wala hajambi!!! Hii sio North Korea bana.
Hii kitu niliona .....hatarudia tena yule mtoto.Matatizo ya kujitakia
Wakati wa utawala wa JK mwanzoni kuna Jamaa alikuwa anajiita Ze Utamu, akadhalilisha watu wengi sana mwishowe akajikuta anamdhalilisha Mkuu wa Nchi
Aliishi Michigan, watu walimtafuta kwa mbinu za medani akajikuta kaingia kwenye 18 za Nchi
Alikuja akapigwa pipe akarekodiwa then akaachiwa huru arudi zake US akaambiwa nenda kaendelee ku post, mpaka leo hajarudia, Baba yake alikuwa Waziri wakati wa Nyerere na sasa hivi mmoja wa ndugu zake wa karibu ni Mbunge
Sent using Jamii Forums mobile app
unajilisha matango pori mixxer madodoki.
yani watu wazima tukae tusubiri tuone role ya kigogo 2025 🤣 🤣 🤣
😂😂😂😂😂😂Idris ana miaka 27?ha ha haa kwahiyo BBA ya 2014 alishiriki akiwa na miaka 21?
Sent using Jamii Forums mobile app
Idris ni age mate wangu tumemaliza wote form six 2014 tumekwenda jeshini kwa mujibu wa sheria sema tu umaarufu umekuja mapemaIdris ana miaka 27?ha ha haa kwahiyo BBA ya 2014 alishiriki akiwa na miaka 21?
Sent using Jamii Forums mobile app