Idris Sultan: Nilipokuwa na Wema Sepetu nilikumbwa na Ukata

Idris Sultan: Nilipokuwa na Wema Sepetu nilikumbwa na Ukata

ALIKUWA na ukata gani huyu aliyekuwa anakula na kulala bure, HAWA huwa wanajisahau sana,HAWA ni vijana wa kuokota dodo ktk mwarobaini halafu hawastuki.
JINA la WEMA limewatoa vijana wengi sana ,LAKINI BAHATI mbaya vijana HAWA hawajui kuishi na WANAWAKE ,ILA kama wangejitambua wangefika MBALI zaidi.NADHANI KWA SASA WEMA ANA KILA SABANU YA KUPATA MWANAUME MWENYE MSIMAMO WA MAISHA ,DINI NA KUACHANA KABISA NA WASANII.
MIMI BINAFSI NAMTAFUTA WEMA NIPATE KUMUELEZA JAMBO !
WASANII NI KAMA WATOTO!

Umelipwa shs ngapi kumtetea wema
 
Dah.. Hivi mtu anaweza kushika milioni mia tano afu akarudi kuajiriwa tena kwa mshahara mbuzi!
Hata Mimi najiuliza swali hilohilo, Ila najiuliza kwa uchungu!!! But huenda ana uwekezaji wake sisi ndio hatujui
 
ALIKUWA na ukata gani huyu aliyekuwa anakula na kulala bure, HAWA huwa wanajisahau sana,HAWA ni vijana wa kuokota dodo ktk mwarobaini halafu hawastuki.
JINA la WEMA limewatoa vijana wengi sana ,LAKINI BAHATI mbaya vijana HAWA hawajui kuishi na WANAWAKE ,ILA kama wangejitambua wangefika MBALI zaidi.NADHANI KWA SASA WEMA ANA KILA SABANU YA KUPATA MWANAUME MWENYE MSIMAMO WA MAISHA ,DINI NA KUACHANA KABISA NA WASANII.
MIMI BINAFSI NAMTAFUTA WEMA NIPATE KUMUELEZA JAMBO !
WASANII NI KAMA WATOTO!
Yeye bado ana ndoto za Kumrudisha Diamond kwenye himaya yake!!Yaani hata kama wasipodumu ila nia yake ni kumkomoa Zari tu[emoji23][emoji23]Wema amechelewa sana kupata akili
 
Mshindi wa Shindano la Big Brother Africa
Idris Sultan ameamua kukiri wazi kuwa
kipindi yupo kwenye mahusiano na Miss
Tanzania 2006 Wema Sepetu alikumbwa na
ukata.
View attachment 464458
Kupitia kipindi cha Clouds e cha Clouds Tv
Idris Sultan amesema wakati yupo kwenye
mahusiano yake yaliyopita na mrembo
Wema Sepetu alikuwa kwenye Ukata hivyo
nilijikuta sifanyi vitu vya maana kuliko
kipindi hiki ambapo yupo Single.
“ Wakati nipo kwenye mahusiano yangu
yaliyopita niliyumba kidogo kiuchumi kwani
sikuwa nafanya mambo mengi ya muhimu
kuliko sasa hivi kwani hata watu wangu wa
karibu watakueleza hivyo,nafurahi niko
single na naendelea kupambana“Alisema
Idris.
Ikumbukwe idris alishinda tsh milioni 500 za kitanzania kwenye shindano la big brother Africa.
Idris sasahivi ni mtangazaji wa choice FM
Milioni 100 tu kati ya 500 alipata zingetosha kabisa kuwekeza kwenye kilimo cha mpunga mbarali huko sasa hivi angekua ana msogelea bakhresa kwa karibu kabisa,katapanya mapesa manina sasa hiv anaambulia kuwa mtangazaji wa karedio kakipuuzi puuzi
 
Binadamu bhana alizitafuta kwa jasho lake,hakuna aliyemkopesha wala kumpa,na sasa kama HANA bado yeye ndio muamuzi wa maisha yake kama ilivyo kwa wewe na mimi,kila mtu atapambana kwa ajili ya maisha yake.
Tulimpigia kura sisi
 
Kiukweli wala simlaumu idriss,kwa ule mzigo wa wema na Mimi nikipata hela lazima anifilisi kidogo.....ule mzigo hatari jamani ,nyie ujadilini tu hivihivi ktk mitandao usikutane nao live,,Mungu atusaidie
Ushawahi kuuona nn
 
habari za ndani zinasema wamerudiana
 
Back
Top Bottom