Kenya 2022 IEBC: William Ruto ameshinda Urais kwa 50.4% dhidi ya 48.8% za Raila Odinga

Kenya 2022 IEBC: William Ruto ameshinda Urais kwa 50.4% dhidi ya 48.8% za Raila Odinga

Kenya 2022 General Election
Hongera kwa W. Ruto; Raila ni fungu la kukosa.
Note: Je hakuna rejected vote? Waliopiga kura wote ni ma-'genius'
 
Duh..kuna yule mzee mmoj ajafikisha hata vote laki moj[emoji1787][emoji1787]
 
Mbona Raila alisema yuko kwenye serikali, deep state, na kwa wazoefu na manguli wa siasa? Nini kimetokea tena huko? Au ameamua kumwachia mdogo wake?
Odinga maneno mengi huku matendo zero kabisa. Ananikumbusha enzi ya Lowasa aliposema yeye mfumo wote anaujua, kwahiyo vijana wake warelax hakuna atakaemuibia kura 😂😂😂
 
Kenyatta akili kubwa sana alijifanya kumuunga mkono Odinga kumbe changa la Machoo.

Afrika kiongozi anayetoka madarakani ndiyo anaamua nani arithi kiti chake, Jaluo kwa mara nyingine changa la machoo. Hapa kwetu CCM Itaendelea kutawala miaka 100.
Kenyatta alimuunga mkono Odinga kwa 100%.

Rutto kashinda kwa jitihada zake,Kenya Rais haamui wa kumpa nchi.

Ilitokea kipindi Moi anastaafu alimtaka Uhuru wakenya wakampa Kibaki. Mara hii Uhuru alimtaka Odinga wenye nchi wamempa Rutto.

Hata hao makamishina wanne walioyakataa matokeo ni influence ya Uhuru huyo huyo.
 
Yaani Tz mgombea anajaza nyomi lakini matokeo ya kura anapoteza kwa 89.99%
Au wanachakachua dokumenti mwenzake anapita bila kupingwa
Haya yalijitokeza kipindi cha jiwe tu, yule sheitwaini na wenye akili za kizezeta kama wewe unaamini, mfano ule uchaguzi serikali za mitaa eti 70% ya wagombea upinzani hawajui kusoma na kuandika
 
Unaelimu gani we binti?

Je, umewahi kujiuliza kwamba hata wakulima wanahitaji kuwa na maendeleo kutokana na jasho lao?

Unataka bei iwe chini ili wao maisha yao yawe ya chini miaka yote?

Huna adabu binti wewe, na mumeo anakazi kweli kweli
Ukorofi wa Magufuli ndio ulisababisha mahindi kupigwa marufuku, kipindi mahindi yanapigwa marufuku kenya mwaka 2021 kwa kudaiwa yana sumu, Ruto hakuwa na nguvu serikalini, alikuwa ameshatengwa na serikali ya uhuru tangu mwaka 2018

Protokali za kujikinga na Covid ndio zilileta ugomvi na sio Kenya tu, hata Burundi, Rwanda n Uganda walikuwa wakizuia mizigo yetu

Labda kama hufuatilii mambo, pia Magufuli ndio alipiga marufuku mahindi kuuzwa Kenya mwaka 2017 na kusema unga tu ndio uuzwe Kenya ili kulinda viwanda vya TZ

Toa fact kupinga niliyoandika na sio propaganda za kisiasa
 
Ukorofi wa Magufuli ndio ulisababisha mahindi kupigwa marufuku, kipindi mahindi yanapigwa marufuku kenya mwaka 2021 kwa kudaiwa yana sumu, Ruto hakuwa na nguvu serikalini, alikuwa ameshatengwa na serikali ya uhuru tangu mwaka 2018

Protokali za kujikinga na Covid ndio zilileta ugomvi na sio Kenya tu, hata Burundi, Rwanda n Uganda walikuwa wakizuia mizigo yetu

Labda kama hufuatilii mambo, pia Magufuli ndio alipiga marufuku mahindi kuuzwa Kenya mwaka 2017 na kusema unga tu ndio uuzwe Kenya ili kulinda viwanda vya TZ

Toa fact kupinga niliyoandika na sio propaganda za kisiasa
0658154533 tapeli wa mtandaoni wewe
 
Back
Top Bottom