Kenya 2022 IEBC: William Ruto ameshinda Urais kwa 50.4% dhidi ya 48.8% za Raila Odinga

Kenya 2022 IEBC: William Ruto ameshinda Urais kwa 50.4% dhidi ya 48.8% za Raila Odinga

Kenya 2022 General Election
Uchaguzi wa kikabila kuliko chaguzi zote Kenya. Pamoja na progressive Uhuru kupigania kwa nguvu Raila kuchukua uongozi wa nchi,Kalenjini na wakikuyu wameungana kuhakisha miaka kumi utawala wa kalenjin(Ruto), baadaye miaka kumi utawala wa mkikuyu(Gachagua).Narrative ya UDA eti wakenya hatimaye wameshinda ukabila ni upuuzi mtupu-kenya itakuwa kwenye utawala wa Kalenjin/Mkikuyu kwa kipindi kisichopungua miaka 20.That is the way it is.
 
Uchaguzi wa kikabila kuliko chaguzi zote Kenya. Pamoja na Uhuru kupigania kwa nguvu Raila kuchukua uongozi wa nchi,Kalenjini na wakikuyu wameungana kuhakisha miaka kumi utawala wa kalenjin(Ruto), baadaye miaka kumi utawala wa mkikuyu(Gachagua).Narrative ya UDA eti wakenya hatimaye wameshinda ukabila ni upuuzi mtupu-kenya itakuwa kwenye utawala wa Kalenjin/Mkikuyu kwa kipindi kisichopungua miaka 20.That is the way it is.
Poa mchambuzi wa kutoka jimbo la Gwajima
 
Kenyatta akili kubwa sana alijifanya kumuunga mkono Odinga kumbe changa la Machoo.

Afrika kiongozi anayetoka madarakani ndiyo anaamua nani arithi kiti chake, Jaluo kwa mara nyingine changa la machoo. Hapa kwetu CCM Itaendelea kutawala miaka 100.
Suali moja la nyongeza-Je Kenyatta amepongeza Ruto?
 
Back
Top Bottom