Ya ni kweli mungu anavisa na tena visasi kweli kweli na pia mungu anahuruma sana na anasamehe sana,. Ipo ivi mungu Amekupa utashi na akili., mungu mfano an asema Fanya A usifanye B.. But wewe unafanya B mungu atakasilika sana na ukifika name dhambi hiyo lazima akuchome tu but ukitubu mungu anakusamehe hapo hapo
Mungu ni uoga wako tu, hayupo na wala hajawahi kuwepo.. Uwezo mdogo wa kufikiri na kupambanua mambo wakati ule ulifanya watu kutafuta visingizio katika maisha. Kiukweli mtu anayeshadadia hizi dini zilizokuja na meli na kutua hapo bagamoyo na kujifanya ana uchungu nazo na yuko tayari kudhuru hata wenzake namuona punguani tu. Babu zenu wameletewa bila kuhoji wakameza na wazazi wenu nao wakawamezesha tu. Wengi wenu hamjui hata kwanini mnaabudu. Cha ajabu zaidi waliowaletea hizo nusu kaputi za uwezo wa kufikiri a.k.a DINI wanawashangaa tu huku wakipiga mvinyo.
Hivyo vitabu mnavyoviamini vimeandikwa na watu kama sisi tena wao walikuwa frustrated vibaya mno maana kuna contradiction zisizohesabika
Mungu anadai anakupenda ila atakuchoma moto bila huruma ingawa ulikuwa huna hiyari ya kuzaliwa
Huyo huyo mungu anadai amekuumba uko perfect baadae anakumbuka kuna kitu alizidisha kwenye mwili wako anakuambia ukikate kwa njia ya tohara.
Mungu huyu huyu anaedai anakupenda anashusha magonjwa kuadhibu na kuleta gharika za ajabu..
Vitabu vya dini ni just work of art basi kama zilivyo kazi za kina Bawji na Shafi Adam...
TUAMKE!
Kiranga, before I answer your questions, can you please answer me this one.. Do you believe in the presence of God or not?
*I need a simple YES or NO.
Before asking your question you should specify, which god?
If you are talking about the Judeo Christian godhead, the personal.god who is omnipresent, omniscient, omni benevolent and omnipotent, the answer is I do.not have any reason.to believe in that fiction, because it is logically not consistent.
He just said "God".. do you believe in any God at all?
I pee on believing.
I shit on gods.
Mungu ni uoga wako tu, hayupo na wala hajawahi kuwepo.. Uwezo mdogo wa kufikiri na kupambanua mambo wakati ule ulifanya watu kutafuta visingizio katika maisha. Kiukweli mtu anayeshadadia hizi dini zilizokuja na meli na kutua hapo bagamoyo na kujifanya ana uchungu nazo na yuko tayari kudhuru hata wenzake namuona punguani tu. Babu zenu wameletewa bila kuhoji wakameza na wazazi wenu nao wakawamezesha tu. Wengi wenu hamjui hata kwanini mnaabudu. Cha ajabu zaidi waliowaletea hizo nusu kaputi za uwezo wa kufikiri a.k.a DINI wanawashangaa tu huku wakipiga mvinyo.
Hivyo vitabu mnavyoviamini vimeandikwa na watu kama sisi tena wao walikuwa frustrated vibaya mno maana kuna contradiction zisizohesabika
Mungu anadai anakupenda ila atakuchoma moto bila huruma ingawa ulikuwa huna hiyari ya kuzaliwa
Huyo huyo mungu anadai amekuumba uko perfect baadae anakumbuka kuna kitu alizidisha kwenye mwili wako anakuambia ukikate kwa njia ya tohara.
Mungu huyu huyu anaedai anakupenda anashusha magonjwa kuadhibu na kuleta gharika za ajabu..
Vitabu vya dini ni just work of art basi kama zilivyo kazi za kina Bawji na Shafi Adam...
TUAMKE!
There's no point on answering ur questions then. Unachokifanya wewe ni kupinga tu, na sio kutafuta ukweli/majibu.
There's no point on answering ur questions then. Unachokifanya wewe ni kupinga tu, na sio kutafuta ukweli/majibu.
Kama ningepinga tu, nisingetaka ufafanuzi.
Maadam nataka ufafanuzi, sipingi tu.
Naweza kusema I pee on a known current cure for AIDS, and shit on quacks.
That doesn't mean if there is an actual cure, I will not investigate it's veracity in detail.
Kama kifaa kidogo kama saa kimeundwa na binadamu.. what abt a complex entity as a human being do u think your existence is a result of probability???
I have been suicidal some time back in my life. I was just not interested in living. I thought it was my choice
Untill a friend showed me this 1Corinthians 3:17 If anyone destroys God's temple, God
will destroy him. For God's temple is
holy, and you are that temple
So its not one's choice to live. YOU SHOULD LIVE. WHETHER U ON EARTH, PARADISE OR HELL. YOU SHOULD BE SOMEWHERE. ITS LIKE A UNIVERSAL LIFE CONSTANT.
God had forseen everything before creation. Even the existence of the universal life constant was his idea.
I refuse to see how anything is anyones choice. Not your existence or your lifestyle. Yes, you can choose to fornicate or not but there are painful consequences if you do. Its not really a choice now is it?
Roman 14:8 If we live, we live for the Lord; and if
we die, we die for the Lord. So,
whether we live or die, we belong to
the Lord.
I call upon the almighty to destroy the universal life constant and let the ones who want to permanently vanish from existence to do so. IT WILL BE FOR YOUR GLORY. In Jesus' name.....everybody say AMEN
[h=3]Why are there so many gay atheists?[/h]
Does one tendency help cause the other?
For easy of reference enter here: Gay Atheists - Think Atheist
Most of those guys if not all belongs to that group. Huoni wapo kimya hapo.LOL imenibidi nicheke
Why would an all knowing, all loving, all capable god create a universe in which suicide is possible?
Kama ningepinga tu, nisingetaka ufafanuzi.
Maadam nataka ufafanuzi, sipingi tu.
Naweza kusema I pee on a known current cure for AIDS, and shit on quacks.
That doesn't mean if there is an actual cure, I will not investigate it's veracity in detail.
Most of those guys if not all belongs to that group. Huoni wapo kimya hapo.
Afadhali umejua hili
Natumai na wengine watakuwa wanaona hii!