If God knows the future (omniscient), can you change your destiny?


Mtu anapohoji kifo na jinsi mungu alivyoachia kifo, hahoji tu jinsi Adam alivyokufa.

Mimi nahoji ule uwezekano mzima wa kifo kuwezekana, ambao lazima uliumbwa na mungu katika original configurations za ulimwengu kwa mujibu wa worldview yenu. Kwa nini mungu aliachia uwezekano wa kifo kuwepo hata kabla Adam hajaumbwa?

Au unataka kusema mungu hakuumba uwezekano wa kifo, ulimshinda tu na kutokea wenyewe?

Unawezaje kuthibitisha kwamba mungu yupo, let alone yuko zaidi ya logic?

Huwezi kuanza kuzungumzia kwamba mungu yupo juu ya logic kabla hata hujathibitisha kwamba mungu yupo.

Hilo litakuwa ni sawa na kurahisisha argument yako by fiat.

Mtu mwingine anaweza kutumia non argument yako na kusema "Santa Claus exists and he lives at the North Pole, you can't really see him because he is beyond logic".

What is the difference between that and you saying mungu yupo juu ya logic?

Tutajuaje kwamba hili ni jambo la kweli na si hadithi tu?

Unaweza kuthibitisha?

Nishaongelea sana habari za "Deus ex machina" hapa. Inaonekana hii habari ya mungu kuwa juu ya logic ni classic "Deus ex machina".

http://en.wikipedia.org/wiki/Deus_ex_machina
 
Kwa taarifa yako tu humu mimi si mgeni. Nipo toka enzi za Jamboforums. Nadhani huu uzi utakuwa hauna maana tena kama umeanza kuhusisha matusi na kashfa na kutoka kwenye mantiki yenyewe. Lakini kwa mtu mwerevu ataelewa nani analeta ushoga hapa.
Taratiibu mchoma mkaa, lakini bado hujaelezea na au pinga kwanini most of non theists are gays. Zaidi ya hapo, kuwa gay sidhani kama ni matusi zaidi ya kuwa ni tabia ya mtu kama ile ya kupinga kuwa hakuna Mungu. Zote hizo ni tabia.
 
Last edited by a moderator:

Kwanini mtumie mali ya Kanisa, yaani unaniambia kuwa, Wana sayansi, wana filosofia, na wapinga Mungu, wameshindwa na Kanisa? Kumbe Kanisa ni kila kitu.

Kalenda inayo tumika mpaka kwenye PC ni ya Kikristu na aliye sababisha hayo unamfahamu. NI YESU. Hayo mautumbo ya miaka ya 90's kujaribu kuunda BCE ambayo mimi naweza kusema ni Before Christ Error vile vile. Still there is a reason to think, WHY JESUS CHANGED THE WAY OF LIVING. Hili sio swali la kukimbiwa bali ni swali la Msingi.
 

1;Kwanini unataka ushahidi wa uwepo wa Mungu?
2;Wewe unajua Mungu yupo au hayupo?
 
Huu wimbo wako unaweza kuwa na maana au usiwe na maana hadi ujibu hilo swali hapo chini

Kwako wewe Mungu yupo au hayupo?
 
1;Kwanini unataka ushahidi wa uwepo wa Mungu?
2;Wewe unajua Mungu yupo au hayupo?

1. Kwa sababu kuna wengi wanasema yupo bila ushahidi.

2. Kwa ushahidi gani? Kwa ushahidi huu mnaotupa hapa, hauonyeshi kwamba mungu yupo. Unaonyesha mungu ni hadithi tu.
 
Huu wimbo wako unaweza kuwa na maana au usiwe na maana hadi ujibu hilo swali hapo chini

Kwako wewe Mungu yupo au hayupo?

Kwa hiyo unakubali kwamba inawezekana habari za mungu ni hadithi tu?
 
1. Kwa sababu kuna wengi wanasema yupo bila ushahidi.

2. Kwa ushahidi gani? Kwa ushahidi huu mnaotupa hapa, hauonyeshi kwamba mungu yupo. Unaonyesha mungu ni hadithi tu.
Hawezi kukujibu zaidi ya kukupa ngonjera.
 

Kazi tunayo hadi mtakapoelewa

Unatakiwa ujue kuwa Mungu hakuumba dunia iliyopungua bali iliyokamilifu lakini ili iendelee kuwa hivyo mamlaka hayo yalikuwa mikononi mwa Adam

Pale alipochemka tu na kumkubalia Shetani kumdanganya hiyo ilimaanisha kuwa alimkabidhi mamlaka aliyopewa na Mungu ya kutawala kila kitu na kumkabidhi shetani

Tangu siku ile kuna mambo ambayo yanatokea kwasababu ya Shetani,mfano wa hili ni kifo chenyewe na nyoka kukosa miguu

Mungu alimuumba binadamu bila ya kifo lakini kifo kilikuja kwasababu ya shetani
Mungu alimuumba nyoka akiwa na miguu lakini alikosa miguu kwasababu ya shetani!
 
1. Kwa sababu kuna wengi wanasema yupo bila ushahidi.
Kwahiyo unataka ushahidi kwaajili ya wengine na sio wewe?
2. Kwa ushahidi gani? Kwa ushahidi huu mnaotupa hapa, hauonyeshi kwamba mungu yupo. Unaonyesha mungu ni hadithi tu.
Hujaibu nilichokuuliza

Nimekuuliza wewe unajua Mungu yupo au hayupo,sijakuambia kwa mujibu wa ushahidi wowote ule

Jibu swali!
 
Kwa hiyo unakubali kwamba inawezekana habari za mungu ni hadithi tu?

Yaani badala ya kujibu unauliza,tena unauliza swali ambalo hata halihusiani na nilichokuuliza

Sijasema kama nakubali au nakataa chochote,nimekuuliza kama kwako wewe Mungu yupo au hayupo
Jibu swali tafadhali!
 
Kwahiyo unataka ushahidi kwaajili ya wengine na sio wewe?

Hujaibu nilichokuuliza

Nimekuuliza wewe unajua Mungu yupo au hayupo,sijakuambia kwa mujibu wa ushahidi wowote ule

Jibu swali!

Anayesema anajua hajui maana ya kujua.

Anayejua maana ya kujua, atajikita kwenye kuchunguza.

Kujua ni nyumba ya ujinga.
 

Ahsanta! God Jesus Christ bless you
 
Anayesema anajua hajui maana ya kujua.
Kwanini unasema hapa kila uchao kuwa unataka kujua?
Anayejua maana ya kujua, atajikita kwenye kuchunguza.
Kauli kama "Mungu hayupo","Mungu ni story tu" ni za kutafiti?
Kujua ni nyumba ya ujinga.
Kwamaana hiyo wewe unautaka ujinga kwakuwa unadai hapa kila leo unataka kujua

Hii ina maana kuwa hata ujinga huujui maana ungekuwa unaujua usingeuhitaji
Hivyo wewe ni mjinga,right?
 
Kwanini unasema hapa kila uchao kuwa unataka kujua?

Kwa sababu hakuna kujua hata kwamba hakuna kujua.

Kauli kama "Mungu hayupo","Mungu ni story tu" ni za kutafiti?

Hakuna utafiti usio na challenge question/ premise. My challenge to you is that premise. Mungu hayupo, kama yupo thibitisha.

Hujaweza mpaka sasa kuthibitisha.

Kwamaana hiyo wewe unautaka ujinga kwakuwa unadai hapa kila leo unataka kujua

The convergence from ignorance is worthwhile even as perfect knowledge may remain illusive due to the fact that the mere act of seeking perfect knowledge interferes with the perfect state of that knowledge.

I doubt you can wrap your head around that.

Hii ina maana kuwa hata ujinga huujui maana ungekuwa unaujua usingeuhitaji
Hivyo wewe ni mjinga,right?

Wrap your head around the above first and then maybe you could aspire to dream to think of shining the boots of those who understand me.
 

Wacha maneno mingi kwani haikusaidii chochote

Kama hutaki kujua unataka nini hapa kwenye huu uzi?
 
Wacha maneno mingi kwani haikusaidii chochote

Kama hutaki kujua unataka nini hapa kwenye huu uzi?

Wapi nimeandika sitaki kujua?

I told you, you just cannot wrap your head around what I write here, and therein lies the first problem.
 

Ishmael Do you accept reasoning or do you frown upon reasoning?
 
Last edited by a moderator:

Umemshika pabaya huyu. Huyo anasifa zote mbili: Za Ujinga na Upumbavuh, maana ndio navyo itwa kwenye Zaburi 14:1
 
Wanazuoni:

Kuna sababu kuu ambayo ilimfanya Mwenyezi Mungu kusema kuwa, "Mpumbavuh" kasema kuwa hakuna Mungu moyoni mwake (Ushaidi upo ndani ya Zaburi ya Daudi). Sasa basi leo tujiratibu na maneno haya mawili: Tofauti baina ya Mpumbavuh na Mjinga.

Wanazuoni, elewa kuwa kusoma kwingi sio kuufuta ujinga kama wanavyo dai wapinga Mungu, bali ni kuupunguza ujinga ulio kuwa aufahamu. Wanadunia wote wana ujinga wa jambo moja au kadhaa, haijalishi elimu yako ni ya wapi au imani yako ni ipi. Wapenzi wa dini kuwa na ujinga wa jambo si kosa, hata Profesa wa Fizikia wa Marekani anaweza asijue namna ya kupika Ugali lakini Binti wa kutoka Kijiji cha Nangurukuru anaweza kuwa hodari wa jambo hilo kumshinda Profesa. Hilo si kosa wala dhanbi.

Lakini "mpumbavuh" upumbavuh ni ile hali ya binadamu kufanya jambo isivyotakiwa huku akiwa na uelewa na au ufahamu wa namna ya kufanya inavyotakiwa na au huna ueleo kuwa ufahamu wako si ukweli/kweli, na kung'ang'ania kuwa unacho elewa ndio sahihi, kisa, eti, mimi nimefuta ujinga zaidi ya yule mpenzi wa dini. Huo ndio upumbavuh wa Non Theists. Kila mmoja wetu ana ujinga wake. Kuwa na ujinga wa jambo fulani ni kutoelewa jambo hilo. Ni nani anayeelewa kila jambo hapa duniani zaidi ya Yesu Kristo? Lakini Non-theists wao wanafikiri kuwa wanaelewa kila kitu huku wakifahamu kuwa wao bado hawana majibu ya kivipi jiwe litengeneze "maisha" au life.

Allahamdullilah, wanadunia tumejaliwa akili ili tuweze kufikiri na kuongeza ufahamu kwa kukubali kujifunza. Inakuwaje basi mwanadamu anapoacha kufikiri na kudai kuwa eti Fulani hayupo au hajawai kuwepo kwasababu sijawai kumuona?

Mwenyezi Mungu Subhanahu wa Taala anasema kuwa, Mpumbavuh kasema moyoni mwake kuwa Mungu hayupo. Hili ni jambo lakujiuliza, kwanini Mungu awaite wale Wapumbavuh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…