Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Hapa tunazungumzia maslahi ya Taifa na sio mijadala ya kidini.Wewe tumia yako, unangoja nini.
Mama Samia ni Rais wa Tanzania.
Hivi umeshapewa hata jina la mtaa unaoishi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa tunazungumzia maslahi ya Taifa na sio mijadala ya kidini.Wewe tumia yako, unangoja nini.
Mama Samia ni Rais wa Tanzania.
Hivi umeshapewa hata jina la mtaa unaoishi?
Kuna maslahi zaidi ya kusomesha bure wanaofaulu vizuri?Hapa tunazungumzia maslahi ya Taifa na sio mijadala ya kidini.
Hatutetei mashekhe wa uamsho hapa.Kuna maslahi zaidi ya kusomesha bure wanaofaulu vizuri?
Hilo la dini umelitoa wapi? Unaota?
Punguani wahed.
Unatetea ujinga?Hatutetei mashekhe wa uamsho hapa.
Tunataka katiba mpya. Rais ana mamlaka makubwa sana mpaka sasa amefikia hatua ya kutumia fedha za serikali kujitangazia scholarship ambayo awali haikuwepo kwenye mipango na bajeti ya nchi. Sasa italazimika kuingizwa kwa manufaa binafsi ya kisiasa ya Rais.Kuna mambo mengi sana ya kurekebisha kwenye nchi yetu tatizo ni kila ukiangalia huoni mtu sahihi wa kuyafanya.
Hizi pesa zingewekwa kwenye mfuko wa bodi ya mikopo, watoto wengi sana wa masikini wangenufaika nazo.
Tunaendelea kubuni vitu nje ya mfumo wa kisheria wakati vile vilivyo kwenye mfumo wa kisheria tumeshindwa kuvitekeleza kwa japo 70%.
Kwa vigezo vya hiyo inayoitwa scholarship, wenye sifa karibu 98% ni watoto ambao wazazi wao wanaweza kuwasomesha bila mikopo. Hapa naomba isitafsiriwe kuwa watoto wa wenye nacho hawapaswi kutazamwa lakini tuangalie hali ya wanaopitia watoto wanaosoma shule ambazo haya sehemu ya kukaa ni ya kugombania. Je wanaweza kushindana na wale wanaofika shuleni na kukuta kila kitu huko?
Kila siku ukikaa na kujiuliza hii nchi ina matatizo gani, sidhani kama utaweza kupata afya.
In such institutions, is where the most bogus people, you will find.It's how we operate. How we treat our leaders. Godlike. It's as if every cent they approve it's coming from the pockets!
Try watching TBC just for 1 hr. I dare you!
If not wanting to smash your TV you will be depressed the whole day![emoji24][emoji855][emoji35][emoji34]
Lugha unayotumia inadhihirisha wewe huenda ndiye punguani. Kama una akili, japo kidogo, ujibu au ujadili hoja yake, na ndivyo wenye akili wote wanavyofanya.Kuna maslahi zaidi ya kusomesha bure wanaofaulu vizuri?
Hilo la dini umelitoa wapi? Unaota?
Punguani wahed.
Like Seriously?? Really?Daraja la Kijazi ama Mfugale ni fedha za Umma why yanaitwa hivyo?
Airport je?
Hostel ya JPM je?
Mkicomment narudi
Inasikitisha Sana kila jambo kufanyika Kisiasa Kwa nini pesa ya serikali itumike kwa Jina la mtu binafsi.Rais Samia pesa anatoa wapi za kuwapa watu ufadhili? Au sijaelewa? If it is government funds, why call it Samia scholarships?
Like Seriously?? Really?
Wazo la Samia? Acheni utani jamani!Samia scholarships maana yake ni wazo la Samia kaja na wazo la ufadhili Kwa vipanga wa paper ya kidato Cha SITA Kwa masomo ya science
Hiyo ni kawaida kwa sisi wa praise team.Rais Samia pesa anatoa wapi za kuwapa watu ufadhili? Au sijaelewa? If it is government funds, why call it Samia scholarships?
Ni idea yake ya kuweka hamasa everyone comes with their own motivations on multiple aspects along the line during their monstership .Wazo la Samia? Acheni utani jamani!
Haya unayoeleza ndo yananifanya nisione kama tuna waziri anayefaa. Wizara hii haijawahi pata waziri mzuri kwa kipindi kirefu. Huyu ni Profesa lakini pia yaonekana hana ubunifu wa kuinua elimu.
Haya uliyoyasema ni mazuri sana. Ongezea ukweli kwamba huwezi kuinua elimu vyuo vikuu wakati sekondari ziko hoi kiasi tunachokiona nchini. Hakuna maabara ikimaanisha hakuna practices za chemistry, biology na physics, na hakuna waalimu wa hesabu/hisabati. Yeye akiwa Waziri alistahili kuliona hilo, lakini naona shortsightedness haiondoki kwa kusoma PhD.
Mkuu, naona sasa umeanza kuelewa jinsi kampeni na propaganda zinavyofanyika. Hongera sana!Rais Samia pesa anatoa wapi za kuwapa watu ufadhili? Au sijaelewa? If it is government funds, why call it Samia scholarships?
Exactly, halafu wanasiasa wa kuliseme hili wamenyamaza.Huyu Katoa wapi hizo billions za scholarship. Kwa nini hizo pesa zisiende HESLB.
soma post #140 halafu nipe maoni yake dear!Why not?
soma post #140 and let me know your opinionKwanini tunaita stendi Magufuli wakati ni pesa ya umma au nyerere road wakati ni barabara ya umma