Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
- Thread starter
- #161
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa watoto wa Irani watakua sio watu mkuu. Wallahi tenaIran ipo na Historia kubwa
Kampuni zote kubwa za magari za Iran zilianzishwa na kuanza kutengeneza magari miaka ya 1960 wakati wa utawala wa Shah Mohammed Reza Pahlavi uliopinduliwa mwaka 1979 na ma-AyatollahKama ilivyokawaida sisi tusiotishwa na propaganda mbalimbali huwa tunafanya utafiti kwanza kabla ya kuanza kupiga kelele. Leo nitaanza kuielezea Iran kuhusu Historia yake, Maendeleo yake na hali ya sasa ya kiuchumi.
HISTORIA
Iran(Uajemi au Persia) tunayoiona hivi leo imeanza kujengwa miaka zamani sana; aliye anzisha himaya hiyo ni Cyrus the Great (Koreshi Mkuu) miaka ya 559BC. Hawa watu wameanza Civilization miaka mingi sana.
Eneo lote kuanzia Pakstan na sehemu ya India mpaka Romania lilikuwa chini ya Utawala wa Waajemi
View attachment 2965168
UCHUMI WA IRANI KWA SASA
Kwa sasa uchumi wa Iran ni $1.726 trillion (PPP; 2023 est.)
Uchumi wa Iran unaendeshwa na Sector:
Petroleum, petrochemicals, fertilizers, caustic soda, car manufacture, parts, pharmaceuticals, home appliances, electronics, telecom, energy, power, textiles, construction, cement and other construction materials, food processing (particularly sugar refining and vegetable oil production), ferrous and non-ferrous metal fabrication, armaments.
VEHICLE MANUFACTURING COMPANY IN IRAN
Iran Khodro
View attachment 2965189
Naendelea kutoa madini sasa......
IEI ilianzishwa mwaka 1972 chini ya utawala wa Shah Mohammed Reza Pahlavi.
Hivi walikuwa wanavaa zamani wakati wa utawal wa Shah na kabla ya mapinduzi ya ma- Ayatollah mwaka 1979. Sasa hivi watoto wa hivyo wa KiIran wanapatikana nje ya Iran tu.
Sana.Kumbe tunapigwa?
Waache wajifariji mkuuSana.
Muhaho huo umeupata toka wapi?Hivi walikuwa wanavaa zamani wakati wa utawal wa Shah na kabla ya mapinduzi ya ma- Ayatollah mwaka 1979. Sasa hivi watoto wa hivyo wa KiIran wanapatikana nje ya Iran tu.
Ha ha ha haaMkuu unachelewesha utamu
Ruka sekta zote nenda kwenye nguvu ya kijeshi
Halafu usisahau kutuelimisha kuhusu alshaheed drones zinavyoleta balaa duniani.
Sawa mkuu binafsi ninakufuatilia na usisahau kuna wakimbizi 1M wa Iran nchini Germany
Wacheki watoto wa Iran hawa hapa. Naanza kukutajia na majina yao kabisa u googleHivi walikuwa wanavaa zamani wakati wa utawal wa Shah na kabla ya mapinduzi ya ma- Ayatollah mwaka 1979. Sasa hivi watoto wa hivyo wa KiIran wanapatikana nje ya Iran tu.
www.instagram.com
Usimsahau Christiane Amanpour wa CNNWacheki watoto wa Iran hawa hapa. Naanza kukutajia na majina yao kabisa u google
Elahe Hesari
View attachment 2967162
Login • Instagram
Welcome back to Instagram. Sign in to check out what your friends, family & interests have been capturing & sharing around the world.www.instagram.com
Hivi walikuwa wanavaa zamani wakati wa utawal wa Shah na kabla ya mapinduzi ya ma- Ayatollah mwaka 1979. Sasa hivi watoto wa hivyo wa KiIran wanapatikana nje ya Iran tu.
Usimsahau Golshifteh Farahani.
Labda kama huijui vizuri guidance patrol/morality police.Mimi ninakupatia wanaoshi Iran ndani ndani kabisa, wala usiogope.
Huyu hapa:
Nasim Fetrat
View attachment 2967177
View attachment 2967178
View attachment 2967180
Nadhani unaanza kuamisha magoli sasa. Naendelea kukupatia moto wa watoto kutoka IranLabda kama huijui vizuri guidance patrol/morality police.
Kama unataka watoto wazuri; twenzetu IranLabda kama huijui vizuri guidance patrol/morality police.
Maedeh Hojabri from Iran Tehran ndani ndani kabisaUsimsahau Golshifteh Farahani.