fidel castro wapili
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 3,497
- 2,911
Mbona Zimbabwe ilikuwa na vikwazo ilikuwa nann?Endelea mkuu kututoa tongotongo bwana
Nafkili uje uhitimishe kwa nini nchi ambazo hazina vikwazo hawaifikii Iran kwa uchumi na teknolojia hususani bara giza