bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Maendeleo sio utamaduni wetu waafrika ni mfumo wa MagharibiSisi tusione na vikwazo tunateseka sana tofauti na walio na vikwazo inafikirisha hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maendeleo sio utamaduni wetu waafrika ni mfumo wa MagharibiSisi tusione na vikwazo tunateseka sana tofauti na walio na vikwazo inafikirisha hii
Nakuongezea watoto wakali wa kiajemi. Wanamiguu hao 😘 😘 😘 😘Mturuki na muajemi baba mmoja mama tofauti.
Wanachangia ethnicity.
hii kitu ndio imemjambisha Leta Nyau akafanya vikao 30 chini ya saa moja🤣😅
Leo huyo jamaa hutamuona,ataumia sana na hizi pichaUmeuleta huu uzi angalia usije kuitwa mvaa kobazi ustazi.
Zelzal maana yake tetemeko.
aZelzal maana yake tetemeko.
Hiki ulichoandika ni Propaganda ya mashoga. Je wewe ni shoga?40% ya taarifa humu ni uongo ndugu yetu Venus Star na kwasababu tayari mkuu Scars tayari ameshakuumbua kwa 20% basi ibaki ivyo nisichangie kitu maana nitapoteza maana ya 'thread' yako.
Sio mbaya umejaribu lakini kuweka picha nzuri za warembo na zitasaidia watu katika shughuli zao za baadae.