Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Korea Kaskazini - ndio nchi pekee duniani ambayo raia wake hawaruhusiwi kuwa na dini yaani hakuna uislamu wala Ukristo marufuku.
Korea Kaskazini - ndio nchi pekee duniani ambayo vitabu vitakatifu vya dini haviruhusiwi kuingia nchini humo
- Hakuna vyama vingi.
- Hakuna uchaguzi wa rais hurithishana.
- Kuna style 18 tu za kunyoa nywele na kila raia anatakiwa anyoe style hizo.
Korea kaskazini - kuvaa Vimini marufuku,
-Raia hawaruhusiwi kuangalia movies za nje ya nchi.
Korea Kaskazini - ndio nchi pekee duniani ambayo vitabu vitakatifu vya dini haviruhusiwi kuingia nchini humo
- Rais anaheshimika kama Mungu
- Nchi Pekee duniani iliowahi kuiteka Nyambizi ya Marekani.
- Adhabu ya kifo ni adhabu ya kawaida mno.
- Hakuna vyama vingi.
- Hakuna uchaguzi wa rais hurithishana.
- Kuna style 18 tu za kunyoa nywele na kila raia anatakiwa anyoe style hizo.
Korea kaskazini - kuvaa Vimini marufuku,
- Kunyoa kiduku ni style anayo nyoa Rais tu.
- Ndio nchi inayoongoza kwakuwa na mabalozi wachache duniani.
- Ndio nchi inayoongoza kwa raia wake kutoroka nchi.
-Raia hawaruhusiwi kuangalia movies za nje ya nchi.
- Rais akiongea ukisinzia unapigwa risasi, mwaka juzi waziri wa ulinzi alipigwa risasi hadharani kwa kosa la kusinzia kwenye kikao wakati rais akiongea,
- Nchi Pekee duniani iliowahi kuiteka Nyambizi ya marekani.
- Adhabu ya kifo ni adhabu ya kawaida mno.
- Ni familia moja tu ndio inayoongoza nchi.
- Hakuna vyama vingi.
- Hakuna uchaguzi wa rais hurithishana.
- Kuna style 18 tu za kunyoa nywele na kila raia anatakiwa anyoe style hizo.
- Kunyoa kiduku ni style anayo nyoa Rais tu.
- Ndio nchi inayoongoza kwakuwa na mabalozi wachache duniani.
- Ndio nchi inayoongoza kwa raia wake kutoroka nchi.
- Haina ubalozi Tanzania.
- Raia hawaruhusiwi kuangalia movies za nje ya nchi.