Ifahamu Mahenge (Ulanga, Morogoro) na siri zake

Mahenge Kuna uchawi wa kijinga sana
 
Unampata Mama mwana?? Dada Jane(RIP) na wale wamama wa pale UTU [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aahhhahhaah UTU
Ali Kiba jina la wimbo wake wa UTU atakuwa alilitoa Mahenge.

Nachopendea ni ule mnada wa Jumapili, tukitoka Kanisani tunapitia pale kununua ngadu wa kutosha na mihogo.
 
Aahhhahhaah UTU
Ali Kiba jina la wimbo wake wa UTU atakuwa alilitoa Mahenge.

Nachopendea ni ule mnada wa Jumapili, tukitoka Kanisani tunapitia pale kununua ngadu wa kutosha na mihogo.
ngadu ni kaa wanaishi kwenye mawe mtoni... kwa wadio fahamu jamani . . viumbe wana ganda km la yai na wana mikasi mikubwa mikali ya kubana.
 
Usisahau na wa Sri Lanka waliojazana mjini huku wazawa wakizidi kuwapisha nyumba..
Ni mji ambao wazazi hawana muamko sana wa elimu, asilimia 80 ya vijana wanapomaliza kidato cha nne huishia kaz za mgodini, hawajui shughuli zingine tokana na nature ya wilaya.
 
Tabia za wapogoro zikoje na tamaduni zao nataka kuoa upogoroni
Wakarimu sana na wana umoja, ila shida yao moja hawapendi kuona mwenzao kafanikiwa hawachelewi kukuloga. Machizi wengi wa huku wengi wao walilogwa na ndgu zao. Kwahyo uchawi upo na ukihisiwa basi unapelekwa kwa wataalamu unanyolewa nywele zote wanaamini hutakuwa na nguvu tena, na ukitaka kurudia uchawi tn basi utakufa. Unafiki pia haupo nyuma
 
Kuna kipindi huko nyuma kanisa katoliki lilikuwa na changamoto ya kufaeiki kwa maaskofu wake wanaoteuliwa kuongoza jimbo la Mahenge
 
upo mahenge madame??
 
Uzi umenirudisha 1996-1999 nikisomea upadri kukaa Kasita Friary pembeni ya Kasita seminary. Kimasiara sana watoto wa Uponera village. Siku mkitoka out kwa Mama Choma anatuficha Askofu asitukamate. Igota,
Lupiro , itete Mtimbira Kalengakero mpaka Malinyi mchaga Mimi nimekatiza nchi khaaa. Tanzania nzuri sana.
 
Kuna kipindi huko nyuma kanisa katoliki lilikuwa na changamoto ya kufaeiki kwa maaskofu wake wanaoteuliwa kuongoza jimbo kuu la Mahenge
hii hadithi mliwahi kuisikia na chanzo kilikuwa kiongozi wa kanisa katoloki wa hukohuko Mahenge.
 
Hao walikuwa wanapambana na O - Level, sisi Advance tulikuwa tunadeal na wadada na wamama wa mtaani kwanza walikuwa wanatuhonga misosi na penzi la bure hakuna kuhangaika[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] makubwaaaa khaaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…